Unafanyaje mpenzi wako aki'FLIRT'?

Unafanyaje mpenzi wako aki'FLIRT'?

Hata maneno yenyewe mnayotumia yako beyond my dictionary.

Labda uanze kutoa demo ya maneno na vituko mnavyotia kwenye hiyo kazi yenu ya kuflirt!
🙂 nitatoa demo bure

Babu DC kuflirt nae unahitaji sanduku la barua aka S.L.B 737, nachingwea. Humuwezi huyo utamaliza kuni buree

Tena kwa barua ndio tamu zaidi, imagine namtumia maneno hata Babu, lazima atabasamu mwezi mzima

'Ewe Babu, mwenye shingo shupavu, kifua kama Okonkwo. Nakula tonge saba naangusha kwa ajili ya kukuwaza, kila nikienda kisimani najikwaa. Kweli umeucharanga charanga moyo wangu vipande milioni moja. Ukija mjini usisahau togwa.

Wasalaamu, mjukuu wako Konnie'

Kwenye bahasha sehemu ya kufungua naandika 'wanikondesha' bado sijatia poda kwa ajili ya harufu ilikuwa inaitwa binti Zanzibar

Babu utaona vimapengo tu nje nje siku nzima

But what is the limit? au ni 'free style' tu...no limits!
Heh, free style si wataishia gesti??


Bora umenisaidia King'asti,

Huyu Kongosho anajaribu kutengua nadhiri za wazee bila kujua kuwa anafanya attempt ya kupanda mbegu kwenye mwamba. Atavuna kitu?

He he he he, no komenti
 
Sasa naona wewe una hiyana, hata kuhashuana hakuna??
Nitapasuka kichwa lol

Nilisahau kusema kule strictly no flirting.

Ila kwa sisi wengine flirting is healthy.
 
hapo kwenye limit ndo mgogoro unapoanzia.......
siku moja nilipata sms toka kwa rafiki yangu (mkaka na mume wa mtu).
mimi pia mke wa mtu.....
ilikuwa birthday yangu na akanisms kuni-wish happy birthday.....
nilimjibu an innocent sms "Thank you my dear"
hilo lilikuwa kosa kubwa sana...... wife pande ya pili alipoiona moto uliwaka....

huyo mwanamke huenda hajawahi hata kuandika barua ya kiingereza...mie ndio nilikojifunzia kuwa "dear" haina noumer...
 
nitakuja kukuona jioni!! Nabanwa na mkoloni mwanzo mwisho!! Rumande nilitoka nakula bata tu na 'secret admirer wangu'

mmmh yaani siwezi subiri kukuona dear...
huyo mkoloni wako atakua anafuata ukoloni mamboleo, anakaba hadi penati "lunch time"...
 
Ndio tabu yako, ukionjeshwa unakuja kusema huku
Sikupi tena

Kuna watakatifu na watakavitu, think ODM, think!

Bahati mbaya sana, wadada wa JF wote (ukimwondoa chizi Kongosho na wenye vichwa kama chake) ni St. Watakatifu!

Hawapendi kusema ukweli hasa linapokuja swala la cheating. Sisi wanaume ndo tunaflirt na baadae kungonoka nao. Lakini wote wanasema wanaflirt tu, ila hawangonoki.... Sasa huwa tunangonoka na mitetea inayotumia ID zao kuflirt?

Mi huwa nakasirikaga sana asee
 
Afu kweli

Kuna watu mabingwa wakutuma picha za watu ama naked ama half naked
Unamuuliza, why? Simu zenyewe hizi ziko wazi

Huogopi? Huna reputatuion hata ndogo yakuilinda? Hata kwa familia tu

Imagine watoto wanaona picha za watu naked kwenye simu yangu, yelewiii

Hao ndio wabaya haswa.

Unakuta ana picha za nusu uchi toka kwa vibinti mpaka inatisha.Akiulizwa "oh haimaanishi chochote, kwanza walituma wenyewe mie sijaomba." Alafu watu wanashangaa inakuwaje mtu atake kumuacha mke kisa kanenepa kipindi cha uzazi.
 
Sasa naona wewe una hiyana, hata kuhashuana hakuna??
Nitapasuka kichwa lol

Kumbe ku-flirt ndiyo kuhashuana?

Ndo maana yule naibu waziri wa elimu aliamua kupiga kimombo kuke south potelea mbali.
 
hahahha! nishaona hapa kuna hatari ya watu kupata outing za xmas wengine wakifungiwa ndni lol!

mkae na amani ya bwana. leo niko tech and gadgets.........
 
Ndio,ku-flirt ni kuhashua

Rejea post ya Gaijin uzi huu huu, kaeleza kwa kirefu
Nimeongeza msamiati wa kiswahili

He he he, yule Waziri alijihashua na kujishaua mwenyewe kutumia kingereza

Kumbe ku-flirt ndiyo kuhashuana?

Ndo maana yule naibu waziri wa elimu aliamua kupiga kimombo kuke south potelea mbali.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Ndio,ku-flirt ni kuhashua

Rejea post ya Gaijin uzi huu huu, kaeleza kwa kirefu
Nimeongeza msamiati wa kiswahili

He he he, yule Waziri alijihashua na kujishaua mwenyewe kutumia kingereza

Mweee! Mie sipo na nimebadilisha signature yangu fasta usije ukadhani najihashua nae.
 
hahahha! nishaona hapa kuna hatari ya watu kupata outing za xmas wengine wakifungiwa ndni lol!

mkae na amani ya bwana. leo niko tech and gadgets.........
usikimbie bana! au Kaizer keshakugonga?? maana we na Kaizer ni wahanga wa hayo makitu!! waliogongwa wote wanakimbia hapa, njoo bana utoe ma-essay hiyo makitu, lol!
 
Last edited by a moderator:
Ndio,ku-flirt ni kuhashua

Rejea post ya Gaijin uzi huu huu, kaeleza kwa kirefu
Nimeongeza msamiati wa kiswahili

He he he, yule Waziri alijihashua na kujishaua mwenyewe kutumia kingereza

Kuna mijanaume mengine haijui hata kuhashua.

Mimi siwasemei wanawake wote, ila wanawake wengi wanapenda kuhashuliwa.

Sasa wewe usipomhashua mara atafuta mwengine amhashue
 
mmmh yaani siwezi subiri kukuona dear...
huyo mkoloni wako atakua anafuata ukoloni mamboleo, anakaba hadi penati "lunch time"...
shshshshshs Asprin asisikie kama tuna ki-date, lol!! nakungoja pale kwenye kona ya kwa mwalimu mndolwa chini ya mzambarau, nitakuwa na kanga ya kopakopa! lol
 
Last edited by a moderator:
tena usithubutu babu..... wajukuu wa siku hizi hawakawii kukudhalilisha mzee mzima

Haiwezekani Mzee mwenzangu!

Mie nilishafanyiwa vasectomy ya zile glands za mihemko inayowafanya watu waflirt/wacheat!
 
shshshshshs Asprin asisikie kama tuna ki-date, lol!! nakungoja pale kwenye kona ya kwa mwalimu mndolwa chini ya mzambarau, nitakuwa na kanga ya kopakopa! lol

Babu ODM hawezi soma hizi coded messages, ye na babu DC iko kitu moja walizaliwa wakati wa simu za kuzungusha...
mie nitakua na pensi ya khaki yenye mifuko sideways, sandles chini na form six polo white...lol
 
Last edited by a moderator:
Kuna mijanaume mengine haijui hata kuhashua.

Mimi siwasemei wanawake wote, ila wanawake wengi wanapenda kuhashuliwa.

Sasa wewe usipomhashua mara atafuta mwengine amhashue

Ukikutana na mwanaume anayejua kuhashua unawezajikuta unaadika maruweruwe humu JF.

Kama huyu lazima alikuwa anahashuliwa wakati anaandika hii barua. lol.

Chezea kuhashuliwa.

a96772_a488_dear-ruth.jpg
 
Kuna mijanaume mengine haijui hata kuhashua.

Mimi siwasemei wanawake wote, ila wanawake wengi wanapenda kuhashuliwa.

Sasa wewe usipomhashua mara atafuta mwengine amhashue

Kama wanahashua na kubanjuana basi hiyo sawa. Mimi wanaoniudhi ni wale wanahashuana na kutelekezana hewani.

Ndiyo maana madogo wamepungukiwa horsepower tunabaki kulalamika. Hata zile dalil za asubuhi za kumhakikishia mama wajukuu zimeadimika utadhani ulanguzi wa uchumi umerejea!
 
Back
Top Bottom