Girls you're right. I think you like kuhashuliwa.
Niwape mfano mmoja
Nilienda kwenye store moja nikahudumiwa na mdada mmoja.
Akaniuliza: "You fine?"
Nikamjibu: No! (huku nikiwa very serious usoni).
Akauliza: "Why?"
Nikamjibu: "Because I hate to to be served by you whenever I come to shop in this store!"
Akashtuka kidogo kisha akauliza: "Why?"
Nikamjibu: "Because you're too pretty and I find it difficult to stand in front on you week in, week out".
Akatabasabu, nikatabasamu kisha nikachukua mzigo wangu na kuanza.
Basi nikienda kwenye hiyo store najifanya kumkwepa makusudi, au najifanya kama nimejisahau naenda kwenye teller lake, halafu nasema: "Shit! Not again" na kwenda kwa teller la mdada mwingine.
Basi anafurahi, anachekaaa. Naona ameshawaambia na wadada wengine pale, basi nao wanajifanya wako busy ili nihudumie na huyo mdada.
Ila wapo baadhi ya wadada unawahashua wao wanadhani unawatongoza.
Na waume zao wanakuja juu:
Richard Gere Accused of Flirting with Married Woman - Entertainment & Stars