EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,356
Hapa tunadiskasheni niini tena?
Sidhani kama watu wanadiskusi hapa, bali wanahashauana.
Hapa tunadiskasheni niini tena?
hubby jana umenipa dozi ambazo hata ILENGE HERBALIST hawana!! mi luv u hubby wangu, ni wewe tu na hakuna mwingine! PERIOD! niache kuflirt, si nitaumwa bone marrow!!Heheheheeh!
Na wewe Brajec si ulisepa na charminglady?
Yaani ilikuwa ni full mapoudaaa..... cacico Vs Mtambuzi, Nicas Mtei vs charminglady, Madame B vs Masimu kibaaaao.
Ni mimi tu nilibakia, ni mimi tu kuwaleteeni habari.
Inaonekana celibacy is the only way forward then.
Dr leo umeongea kitu muhimu and very relevant. Hebu chukulia situation hii, uhusiano umepungua mvuto kwa sababu mbalimbali, na mwenza hataki kuflirt na mwenzawe.
1. Lakini yuko busy tu na mambo yake mengine. Wakati mwingine hata ukitumiwa msg you are too busy kujibu, or else unajibu ok, au sawa! Ni mbaya kuwa in a boring relationship.
2. Mwenza hata akiwepo nyumbani yuko busy na mambo yake, hata kuongea hataki. Kuna mtu hana hata nafasi ya kuongea na familia, akiwepo kama hayupo.
3. Hii kina Asprin watabisha, ila unakaa na mashosti hukoo bar na umemtelekeza bibi home alone. Shukuru Mungu kama hana maujanja ya nokia asha aisee, lazma awekwe busy. Ili walau ukitokea saa sita za usiku mwenzio keshakupunguzia kazi ya maandalizi. Bila hivyo kila siku utakuta kavuta mdomo na ndo inakuwa vile tena.
Kama Kongosho, mie nikikukuta unaflirt lazma niflirt kukupiku,lol. Ila flirting is a new way of not cheating all the way. Na ukimkuta mwenza anaflirt haijustify kuachana (kama ni ndoa). Ila sasa kununa na kujidai mkali haisaidii. Kama uko interested swallow it, anza kuflirt nae ili umuweke busy. Ukitumiwa msg lunch njema darling, does it take a century kusema thanks sweetie, as compared to ok? Au poa? If you dont make your lady feel beautiful, someone else will aisee.
Bahati mbaya sana, wadada wa JF wote (ukimwondoa chizi Kongosho na wenye vichwa kama chake) ni St. Watakatifu!
Hawapendi kusema ukweli hasa linapokuja swala la cheating. Sisi wanaume ndo tunaflirt na baadae kungonoka nao. Lakini wote wanasema wanaflirt tu, ila hawangonoki.... Sasa huwa tunangonoka na mitetea inayotumia ID zao kuflirt?
Mi huwa nakasirikaga sana asee
[/COLOR]
Naomba niongezee kidogo hapo a : A man's biggest mistake is giving another man an opportunity to make his woman smile!
Bora u-celibacy tu
Zile formula zako ngumu kama rokeki sayansi
babu DC, mstari wetu tunauchora kwenye maneno ya nje nje tu.
Ukiona mtu anauliza una macho yakoje, ripoti haraka kwa mod.
Ama akianza kuuliza unaingiza kiasi gani kwa siku, repoti haraka.
Ujue hata kuhashuana kuna kuhongana.
Kama like, kuku-tag na quote.
🙂 hujagundua nakuhonga sana siku hizu?
he he he, mzee mwenzangu
bora tuendelee kuhashuana kizamani.
Mie sijaelewa hata kidogo.
Hahahahaha!
Hiyo red nadhani mwalimu wangu snowhite ataisoma katikati ya mistari LOL
Kuna uandunje wa vitu vingi ujue....:glasses-nerdy:
dat ryt lakin, mh! Matatizo ma2pu mwisho wa ck watafanya kweli. Kwangu mi ni marufuku!!