Pamoja na kwamba tumejadili mengi sana kuhusu haya mambo ya kuhashuana, ila nadhani ni vizuri tukasaidiana kwa kuchora mstari (arbitrary and imaginary) kama inawezekana ili na sie wa 1947 tujue hasa tumesimama wapi...
Sina mashaka na mahashuo yetu ya zamani..., ila haya vijana wa dotcom inawezekana ni editions mpya kwa sababu hawa jamaa wameamua kucustomize kila kitu.
Naomba sasa mnisaidie kwa kuniwekea mambo ambayo mtu akiyafanya basi tusema na kujua kuwa huyu sasa anafanya hashuo la kileo (flirting)!!
Wapi dada mkuu
Kongosho, teachers
gfsonwin Gaijin, system analyst
EMT, Komando wa AK47
King'asti, wazee wenzagu
Asprin, @FP,
snowhite,
Mtambuzi,
Blaki Womani na wajukuu wote ..
Madame B, Erickb52,
Preta,
Mamzalendo na pacha wake
Arushaone,
Lily Flower (usijekusema zile habari za nyuki wa bucha)....
Twende kazi sasa....
Babu DC!!
Babu nikujulishe tuu kuwa kuna "rules" mpya za kuhashua katika dunia ya sasa. Nitaelezea tuu rules mpya za upande kiume. Akina
Gaijin na
Kongosho wataelezea za upande wa kike.
Kwa kifupi sheria zimebadilika ili kwenda fasta na "politically correct" ya "wild and woolly dating" ya dunia ya leo. Unaweza kumsifia mfanyakazi mwenzako kuhusiana na nguo aliyovaa, macho yake, alivyoumbika kwa nyuma? Wakati unamsifia unaweza kumgusa kwa nyuma? Vipi kifuani kwake? Ni zipi hizo sheria mpya?
Kwanza kabisa kabla ya kwenda kwenye hizo rules mpya kuna preliminary issues need to ironed out. Kwanza, inabidi kutofautisha kati ya "creepers" na "flirt". Whilst creepers stalk you down, flirt "plays" with your mind to arouse your interests. Flirts are self-aware and know when they've crossed a line. Creepers are not aware or don't care about crossing the line. Babu enzi zenu kulikuwa na creepers?
Pili you have to play it very cool. Huwezi kumrukia bibi kizee na kusema "Wow! Umeumbika kwa nyuma! Can we blah blah?" Pia tofauti na zamani wanawake wa kizazi cha leo wana-drive na wanapiga kura pia. Kwa hiyo, kuwa makini sana unapovuka barabara. Hakikisha green light za kuvukia ziko on.
Tena tofauti na zamani ambako hata hukukuwa na green lights, siku hizi zimewekwa wazi kabisa. Ugongwe mwenyewe. Pia ukitaka kupigiwa kura ya ushindi achana na uhashuo wa majukwaani. Uhashuo wa one to one ndiyo mpango wa kileo. Twende kwenye rules.
Rule namba moja, tumia strengths (siyo weaknesses) za mwanamke against her. Kama akisema ana boyfriend, mwambie wewe ndiyo boyfriend wake. Kama akisema ameolewa na akikuonyesha pete yake, itoe pete kwenye kidogo, ivalishe kwenye kidogo chako, halafu mwulize nani sasa ameoa? (huko ukiflash kidole chako chenye hiyo pete). Kama una kidole kikubwa mno, I am afraid, wahusika will have consider amending the new rules. lol.
Kama akisema kuwa uache kuwa "creep", mwimbie verses zote za wimbo wa TLC unaoitwa "Creep". Babu mpaka hapo, naona hii rule mpya inaweza kukushinda. lol. Kama akisema ataita polisi mwambie, wewe mwenyewe ni polisi na kuwa yuko under arrest, kwa kuwa too sexy. Ila hii ya under polise arrest nasikia wadau wanataka kuifanyia mabadiliko iwe "umetekwa na nakupeleka kwenye ule msitu wa….." Still debate kwa wadau kama hiyo amendment inafaa.
Kwa hiyo babu nasikia zamani mlikuwa mna-approach mwanamke kwa kuangalia their weaknesses halafu mnazichakachua na kuwa strengths. Vijana wa kileo wana-attack kwa kutumia strengths za mlengwa. Kamwe usimvike mwanamke strength ambayo hana. Kila mwanamke ana strength Fulani. Take your time to look for it and use it effectively.
Rule namba mbili, keep it simple. Forget about the pick up lines. Msalimie tuu kawaida, mwulize jina lake (of course utakuwa tayari unajua jina lake). How does it feel to have her in the palm of your hand? Good I bet.
Rule namba tatu, what do you share in common with the woman? Hutajua unless umwulize. Anapenda ngono? Hey, nauliza tuu. Lol. Aina gain ya ngono? Babu tofauti na zamani siku hizi kuna aina nyingi za ngono. So, the more specific she is the better, usije ukakuta anapenda ambazo hupendi halafu mkashindwa kuhashuana.
Wanawake wa sasa siyo wale wa wakati wenu Babu, na wengi hawataogopa kukuambia aina za ngono wanazopenda. We are talking about women emancipation here. It is everywhere mpaka kwenye ngono.
Rule namba nne, changanua intensity ya uhashuo wako uendane na intensity ya mwanamke. Dunia ya leo wanawake wanatofautiana sana. Ni mwanamke mwenye aibu kwa nje lakini kwa ndani ni chui kwenye sita kwa sita? Mwulize mapema kabisa if this is the case. Ni "party girl" ambaye anaonekana mtu ambaye mnaweza kulewa wote na kusahau anakupenda au kukuchukia kiasi gani? Tafuta majibu ya haya maswali toka kwake directly.
Ni mwanamke ambaye anaweza tuu kuwa amebeba tochi ya "free love" kama ilivyokuwa inafanyika kwenye "orgies" enzi zenu Babu? Hutajua unless umwulize. Uliza, uliza, uliza na uliza tena kuhusiana fantansies zake za kimapenzi na uwezekano wa yeye kuzitimiza na wewe. Hii itakusaida ku-draw a line mapema kabisa. Always kumbuka kutabasamu.
Rule namba tano, kumbuka kucheza na scenarios za kuhashua kichwani mwako kabla ya kutumia kwa mwanamke in real life. Hii itakusaidia kujiandaa. Kwa mfano, umemwa approach mwanamke na kumwambia in a flirting way, "Wanna f**k?" halafu akajibu "HELL NO" au akakupa jibu baya zaidi (unajua uswahilini kwetu tena). Utafanya nini? Kama unajua niambie.
Rule number sita, always keep youself updated na codes zinazotumika kwenye uhashuo wa kileo.
Rule namba saba, hii ni rule ya enzi zenu babu. Bado relevant kwa kizazi cha sasa. The rule is wanawake wanapenda sana dolphins. Natumaini unailewa hii rule.
Mwisho niongezee tuu kuwa with the fast changes in the flirting industry, hizi zinaweza kuwa outdated by kesho au kesho kutwa. So, keep youself updated. Kuwa close na wajukuu zako.