Unaonekana ni mwenye upendo hata kwa walioonyesha uadui kwako, ulidiliki kumpigia simu ndugu yako kumsihi juu ya mwenendo wake usio mwema kwa jamii, akakusikia na kukujibu kwa dharau, akaendelea kufanya atakalo kwa sababu yeye ni kipenzi cha Baba.......sasa yanampata. endelea kumwombea. neema za Mungu zimpate, na aweze kutubu na kutumika kwa kusudi zuri la Allah. Amina!
Uliwahi sema umeona kwenye maono ndotoni ya kuwa baba akiendelea kuwa na kiburi atatutoka ghafla..... sisemi.....tumwombee Sabaya awe kiumbe kipya ....kama SAULI alivyowatesa watu Mungu na kuwafunga lakini akaja kutubu na Mungu kumtumia kwa ufanisi katika ufalme wake hapa duniani na hivyo ikawe kwa Sabaya
Uliwahi sema umeona kwenye maono ndotoni ya kuwa baba akiendelea kuwa na kiburi atatutoka ghafla..... sisemi.....tumwombee Sabaya awe kiumbe kipya ....kama SAULI alivyowatesa watu Mungu na kuwafunga lakini akaja kutubu na Mungu kumtumia kwa ufanisi katika ufalme wake hapa duniani na hivyo ikawe kwa Sabaya