Kwamba ndo walikuwa wanamwambia mwamba yote achukue? LahaulaaJuice yenyewe ni hii?View attachment 2821265
Kwamba ndo walikuwa wanamwambia mwamba yote achukue? LahaulaaJuice yenyewe ni hii?View attachment 2821265
Hivi wewe umelogwa au? Toka lini umeanza hiyo tabia! Eti ipi! Si hiyo ya kuwa unalala na watu usiowajua?!Wee tuheshimiane ni kaka angu huyo
Nina baby mmoja tyuu!! Yupo pembeni hapa anakoroma ana hasira Taifa stars imefungwa
Itakuwa umelewaKhaahhh wewe na Demi mlitafutwa sana. Sasa,wakati mnatoka tuliwaona na vikombe vya juice. Vikubwa hivyoooo kama diabaaaa. Basi, tukapita mitaa ile,sauti yako ikasikika unamwambia mtu eti chukuwa yote. Tukajua ni ile juice. Badae tena,eti unaniuaaaa. Si tukasema hii murder case sasa! Tukasepa
😅😅😅😅JamaniVaa tu skonkonko zako wii
Hatuna hela za kukupeleka kuweka POP![]()
😅😅😅😅Mbavu zangu, kwenye kumsumbua mtumishi hapo Sasa🙌🙌🙌Nimekuja kusikia kuna maokoto yanamwagwa huku 😂😂😂
Tayana unaniboa sana ujue??
Pm kwanza umefungua tajiri aingie??
Unachezea bahati afu baadae unamsumbua Mwakasege akuombee
Umenikumbusha singeli kiitikio chake wanaimba “sema kweli”




Una hatari weyeeeNo
Mi navaa high heels shooo na Niko very comfortable
Kwahiyo Kuna maeneo hunikuti na flat shoe, never![]()
Joberg ya KigamboniKataa hivo hivo!!!
Mwenzio yuko Joberg we unapiga domo kwa Melo![]()




shem tunaye!!
Jpili akienda mnadani mwambie aninunulie cap ya Manchester nataka nimpe Kantry zawadi ya bday yake!!![]()





Wewe mbona umemuacha. Country kitandani na baridi hii😂😂😂Zulu na ms eyes nyie couple mnaacha kukumbatiana mko busy kutoa like za vicheko 😂😂😂😂
Watoto mnatafuta saa ngapi?!
Hivi wadada w siku izi wanaweza beba kikapu cha ukili kweli? Hongera sana kwa mwonekano wa kiafrica