Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Wee tuheshimiane ni kaka angu huyo
Nina baby mmoja tyuu!! Yupo pembeni hapa anakoroma ana hasira Taifa stars imefungwa
Hivi wewe umelogwa au? Toka lini umeanza hiyo tabia! Eti ipi! Si hiyo ya kuwa unalala na watu usiowajua?!
 
Khaahhh wewe na Demi mlitafutwa sana. Sasa,wakati mnatoka tuliwaona na vikombe vya juice. Vikubwa hivyoooo kama diabaaaa. Basi, tukapita mitaa ile,sauti yako ikasikika unamwambia mtu eti chukuwa yote. Tukajua ni ile juice. Badae tena,eti unaniuaaaa. Si tukasema hii murder case sasa! Tukasepa
Itakuwa umelewa
 
20231122_073253.jpg
20231122_073229.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] shem tunaye!!
Jpili akienda mnadani mwambie aninunulie cap ya Manchester nataka nimpe Kantry zawadi ya bday yake!! [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom