Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

But ametaka kiatu
Kasema wanaume mje mninunulie kiatu, yani mumpe pesa ya kiatu!!
Sio mkanunue mumtumie!
Afu mbona CAPTO hiyo pesa unaanza utata?! Me nakuonaga mzungu hizo mambo kwako ndogo sana!! Hebu mwambie Tayana akupe account umuingizie mpunga huo😂😂😂😂
 
PXL_20231121_081744772.jpg
 
Napotea
Yaani nishakua taoeli jmn🤣🤣
Unajifanyaga una mambo mengi wewe ukishapokea kibunda!!! Mara niko Mwanza kwenye kongamano simu haziruhusiwi!!
Kwa Kantry nisingekaza mpk leo msingenipa zile pesa za mgao 😂😂😂
Sasa CAPTO atume afu ole wako uanze kusema tuko kwenye maombi ya mwezi Dodoma ntakufata uko uko 🤣🤣🤣🤣
 
Kasema wanaume mje mninunulie kiatu, yani mumpe pesa ya kiatu!!
Sio mkanunue mumtumie!
Afu mbona CAPTO hiyo pesa unaanza utata?! Me nakuonaga mzungu hizo mambo kwako ndogo sana!! Hebu mwambie Tayana akupe account umuingizie mpunga huo

Oooh she wanted money? Oooh sorry can’t do that, cause i am broke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom