Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,904
Unajua kwanini tuna vioo majumbani na wengine kwenye mapochi? Kupendeza!

Unajua ni kwanini mara nyingi huchagua viwalo? Kupendeza!

Unajua kwanini baadhi yetu hupenda watu watuangalie na kutusifia? Kupendeza!

Hebu tupia ulichovaa leo iwe saa, miwani, wigi, kiatu ama nguo yoyote ile na urembo wowote ule..

Kama huna basi tupia hata cha mtandaoni unachoona aliyevaa kimemtoa kwatu na kupendeza sana
793b061b-02fa-4a80-952e-e5ab4f727cd9.jpg




Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2817248
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom