Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Tulingishieni picha wapendwa wambea tuone wivu🙇🏿
Wambea tuone wivu 😁😁😁🤣🤣🤣!

Tanzania tushafungwa moja huko wacha nirare tu naona kabisaaaa tunaongezewa jingine 😂💤😴💤💤💤😴
 
FB_IMG_1700606997558.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi, Mshana Jr ,saa moja kasolo, na mada hii,alilala wapi? Na nani? Wakifanya nini? Ili iweje? Badae kitatokea nini? Wazazi wa alielala nae wanajua mtoto wao alikuwa wapi( mtoa mada mwenyewe simuongelei alishashindikana hadi kufukuzwa kwao).
Wakati anawaza haya,alikuwa amevaa nini yeye? Mpaka anaandika,alikuwa anajisikiaje? Nakaona kwa mbali amesimama mbele ya kioo mwenzie amelala anapigwa picha bila kujua.
Mshana huyu tunayemfahamu?
 
Hivi, Mshana Jr ,saa moja kasolo, na mada hii,alilala wapi? Na nani? Wakifanya nini? Ili iweje? Badae kitatokea nini? Wazazi wa alielala nae wanajua mtoto wao alikuwa wapi( mtoa mada mwenyewe simuongelei alishashindikana hadi kufukuzwa kwao).
Wakati anawaza haya,alikuwa amevaa nini yeye? Mpaka anaandika,alikuwa anajisikiaje? Nakaona kwa mbali amesimama mbele ya kioo mwenzie amelala anapigwa picha bila kujua.
Hivi, Mshana Jr ,saa moja kasolo, na mada hii,alilala wapi? Na nani? Wakifanya nini? Ili iweje? Badae kitatokea nini? Wazazi wa alielala nae wanajua mtoto wao alikuwa wapi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom