Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Picha ya siku!!
1700544760433.jpg
 
Hivyo vinaitwa ''ni mateso bila chuki''🤦🤦🤦
Haipana banaaa
Vina maeneo yake hivyo
Nikiwa na Shem wako nae katupia🙌
Halafu mrefu kwangu anashika kiuno tu,Kwa Raha zetu
Utakua hujui
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom