- Thread starter
- #21
anatudekeza lakini watu tumekuwa wagumum kiama chaja na hukumu itasindikizwa na maumivu makali sana na vilio watu wakisaga menoMungu angekua katili kama unavyomuelezea hapo, dunia ingekuwa chungu sana kwa wakosefu. Ndo maana tunaambiwa M/Mungu ni mwingi wa Neema na Rehema. Pia M/Mungu ni baba wa wote.