jayec
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 599
- 477
Hahahaha nenda kaishi Austalia ,nyoka wa huko wakikung'ata unaongeza umri wa kuishiKila mchangiaji hapa amekumbana kwa namna moja au nyingine na nyoka huyu hatari porini au shambani ..NI RISK SANA KUISHI AFRIKA!!
Sent using Jamii Forums mobile app
