Umeshawahi kumsikia nyoka aitwaye Kifutu?

Umeshawahi kumsikia nyoka aitwaye Kifutu?

Slow but deadly snake. Huyu hafai kabisa kumpa sifa zozote zile. By the way, nyoka ni nyoka tu, akionekana sharti apondwe kichwa. mimi ningefurahi kila mara nyoka akionekana apondwe tu kichwa no way!
 
Huyu nyoka nimeshalala nae sana maporini, ukiwa mtu wa kulala vichakani lazima utadamke nae asubuhi.
 
Nasikia sumu yake haina tiba ila ni kipindi cha utoto tuliambiwaga hivyo ila kwasasa itakuwepo tiba yake.
 

Attachments

  • snake-and-dog.png
    snake-and-dog.png
    112.5 KB · Views: 218
Nasikia sumu yake haina tiba ila ni kipindi cha utoto tuliambiwaga hivyo ila kwasasa itakuwepo tiba yake.
unapona lakini lazima kuna mawili either utembee kama kilema, au mguu unaweza ukavimba au mkono usirudi katika hali yake ya kawaida, au ukatwe kabisa, manake sumu yake ni kama ina kansa huyu kifutu, na ukimuona tembea yake kama kinyonga hana haraka
 
mkuu kwanini akitaka kukung'ata sharti awe mkao wa kifo cha mende, yani lazima ageuke awe chali ndio akutusue, kwanini, kama mtaalamu unaweza ukaja na jibu mubashara
 
Unahurumia snake!? Yeye hawezi kukuhurumia jombaa... Na tumeagizwa tuwaponde vichwa, hivyo hao jamaa walitimiza maandiko....

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
Akili finyu hizi

Naomba waungwana tumpuuze huyu jamaa.
 
Kwanza huyu nyoka ni mpole.

Kinachomfanya aue sana na harak ni sumu yake kuwa nyepesi sio nZito so inasafiri kwa urahisi sana

Kingine huyu jamaa ni mlain sana, nimewah wapiga na jembe unawakat vizuri, wana body laini
Dah kuna binadamu mna roho ngumu sana!unavyomuongelea utadhani ka mnyama kama ka chura hivi
 
Slow but deadly snake. Huyu hafai kabisa kumpa sifa zozote zile. By the way, nyoka ni nyoka tu, akionekana sharti apondwe kichwa. mimi ningefurahi kila mara nyoka akionekana apondwe tu kichwa no way!
Na naomba Mungu pindi nyoka akikuona akugonge tena wale deadliest snake.

Na mtu ni mtu tu kila akimuona nyoka katulia anaenda kumvamia na kumshambulia bila ya sababu ya msingi halafu unaanza kuwatuhumu na kuwasema vibaya wakati ww ndiye katili nambari moja
 
Mleta mada, huyo nyoka kweli anaitwa Kifutu au Moma?.
Kwa uelewa wangu na miaka yote ambayo niko porini, namfahamu kama Moma.
Kifutu ni nyoka wengine wana rangi ya brown ambao nao ni wapole lakini wana sumu kali zaidi.
Mimi ninavyojua kifutu ndio moma, sijui kama nakosea..... Wenye kujua tafadhali.

"A voice of one calling in the wildernes"
 
Onto kwa taarifa yako kumuona kifutu tangu kichwa hadi mkia anakatiza njia yako kama unaenda mwenye biashara au Kazi ya kukupa kipato ni mkosi babu kubwa kuna lolote litatokea hadi kufilisika si nyoka mzuri
Mila potofu.
 
Back
Top Bottom