Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,691
Nilisha wai muuwa kifutu. Ila mgumu kufa. Alinishangaza pale nlpokuwa nikimpiga yeye ananifata badala ya kukimbia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo bahati mbaya mkuuKila mchangiaji hapa amekumbana kwa namna moja au nyingine na nyoka huyu hatari porini au shambani ..NI RISK SANA KUISHI AFRIKA!!
Mifugo bado ipo?mkuu ukiwa unachunga mifugo porini kuonana na nyoka mnapishana kama swila, kifutu, chatu ni vitu vya kawaida na ikitokea chatu kakamata mbuzi inabidi upambane nae ile mbaya, kuna kitu nakumbuka chatu alikosea step akaenda mdaka ng'ombe sasa ng'ombe nahisi alimuona, chatu kufyatuka na ng'ombe karuka hivyo chatu akaambulia kudaka miguu, ili amuangushe si ng'ombe akakojoa, ule mkojo kumdondokea chatu, aisee alifyatuka kama radi, nikahisi mkojo wa ng'ombe inawezekana ni sumu kwa joka lile, nilitafuta sehemu nyingine yenye jani nikachamba, ukiwa mwoga porini huwezi kwenda, yani inafikia kipindi unaona kawaida tu, kuna nyoka wengine nao sijawahi kuwaona mpaka leo lakini kule wapo, sijui siku hizi manake naona mapori mengi watu wamelima na yashakuwa makazi ya watu,
kweli huyu nyoka mpaka umkanyage, niliwahi kuchunga ng'ombe utotoni nikabanwa na haja kubwa porini, nilipomaliza kukata gogo natafuta jani nichambe, kumbe pale karibu kabisa na niliposhusha gogo alikuwa katulia ananichora tu, ilibidi niondoke taratibu, nikaenda chambia sehemu nyingine, kumsimulia babu akasema huyo sio swila, huyo mpaka umkanyage, ndio akung'ate, na vile vile inasadikika katika kabila langu ukiwakuta kwenye shamba lako la mihogo basi mihogo itanenepa kama lenyewe na inakuwa hivyo, hizo ni imani tu za wahenga

Duuh hii ni kweli mkuu?We kuna nyoka nao ni aina ya vifutu yaani viper wanaitwa rattle snake wao wanaspika kwenye mkia yaani wakiona hatari wanawasha spika ukisikia inabidi ukimbie ni hatari hao. Ndio lipumba anataka akaimport amweke nyumbani kwa lipumba
daah mkuu si mchezo ila ni moja experience unayo, kuna jamaa yangu ni mgogo nae alinipa maisha ya pori si mchezo mkuumkuu ukiwa unachunga mifugo porini kuonana na nyoka mnapishana kama swila, kifutu, chatu ni vitu vya kawaida na ikitokea chatu kakamata mbuzi inabidi upambane nae ile mbaya, kuna kitu nakumbuka chatu alikosea step akaenda mdaka ng'ombe sasa ng'ombe nahisi alimuona, chatu kufyatuka na ng'ombe karuka hivyo chatu akaambulia kudaka miguu, ili amuangushe si ng'ombe akakojoa, ule mkojo kumdondokea chatu, aisee alifyatuka kama radi, nikahisi mkojo wa ng'ombe inawezekana ni sumu kwa joka lile, nilitafuta sehemu nyingine yenye jani nikachamba, ukiwa mwoga porini huwezi kwenda, yani inafikia kipindi unaona kawaida tu, kuna nyoka wengine nao sijawahi kuwaona mpaka leo lakini kule wapo, sijui siku hizi manake naona mapori mengi watu wamelima na yashakuwa makazi ya watu,
But ujue sumu ya nyoka (snake venom) ina thamani kubwa kuliko almasi. Sumu ya nyoka inatumika kutengeneza dawa za hospitali hususan dawa za ganzi na dawa za kuwatibu watu walioumwa na nyoka yaani hutumika kutengeneza antivenom. Kwa hiyo don't hate them as long as they don't harm you. Waache waishi. Iko siku wataokoa maisha yako au jamaa yako.
Mungu.Mbona ana rangi nzuri hivyo ? Nani kam paint???

Rattle snake ni kweli anatoa sauti ya ONYO ili usimkaribie au tuseme anakushtua kana kwamba "wewe rudi usije huku ni hatari kwako" kwa kutumia vikasha viwili vilivyo katika mkia wake. Yeye huvitikisa Vikasha hivyo mithili ya vile vikopo vyenye kokoto au...wanavyotumia wauza karanga kudraw attention ya watu (samahani wauzaji karanga) na sauti hiyo sio kubwa sana kama ya spika. Ni sauti kama vile kusema ch.ch.chi ch. kwa haraka. Ukiwa mkaidi au mdadisi kwamba hicho ni nini na kuendelea kumkaribia zaidi basi atakudhuru.Duuh hii ni kweli mkuu?
daaah aiseee ukanyanyuka na mavi yako bhana aiseeeekweli huyu nyoka mpaka umkanyage, niliwahi kuchunga ng'ombe utotoni nikabanwa na haja kubwa porini, nilipomaliza kukata gogo natafuta jani nichambe, kumbe pale karibu kabisa na niliposhusha gogo alikuwa katulia ananichora tu, ilibidi niondoke taratibu, nikaenda chambia sehemu nyingine, kumsimulia babu akasema huyo sio swila, huyo mpaka umkanyage, ndio akung'ate, na vile vile inasadikika katika kabila langu ukiwakuta kwenye shamba lako la mihogo basi mihogo itanenepa kama lenyewe na inakuwa hivyo, hizo ni imani tu za wahenga
kweli huyu nyoka mpaka umkanyage, niliwahi kuchunga ng'ombe utotoni nikabanwa na haja kubwa porini, nilipomaliza kukata gogo natafuta jani nichambe, kumbe pale karibu kabisa na niliposhusha gogo alikuwa katulia ananichora tu, ilibidi niondoke taratibu, nikaenda chambia sehemu nyingine, kumsimulia babu akasema huyo sio swila, huyo mpaka umkanyage, ndio akung'ate, na vile vile inasadikika katika kabila langu ukiwakuta kwenye shamba lako la mihogo basi mihogo itanenepa kama lenyewe na inakuwa hivyo, hizo ni imani tu za wahenga
Huyo nyoka ni noma akikung'ata usipotibiwa vizuri pale ulipong'atwa huwa panaoza kabisa.
-Ndumilakuwili-
Mimi na nyoka ni vitu viwili tofauti, awe mpole au mkali ila mimi NYOKA yoyote yule NINAUA.