Umeshawahi kumsikia nyoka aitwaye Kifutu?

Umeshawahi kumsikia nyoka aitwaye Kifutu?

mkuu ukiwa unachunga mifugo porini kuonana na nyoka mnapishana kama swila, kifutu, chatu ni vitu vya kawaida na ikitokea chatu kakamata mbuzi inabidi upambane nae ile mbaya, kuna kitu nakumbuka chatu alikosea step akaenda mdaka ng'ombe sasa ng'ombe nahisi alimuona, chatu kufyatuka na ng'ombe karuka hivyo chatu akaambulia kudaka miguu, ili amuangushe si ng'ombe akakojoa, ule mkojo kumdondokea chatu, aisee alifyatuka kama radi, nikahisi mkojo wa ng'ombe inawezekana ni sumu kwa joka lile, nilitafuta sehemu nyingine yenye jani nikachamba, ukiwa mwoga porini huwezi kwenda, yani inafikia kipindi unaona kawaida tu, kuna nyoka wengine nao sijawahi kuwaona mpaka leo lakini kule wapo, sijui siku hizi manake naona mapori mengi watu wamelima na yashakuwa makazi ya watu,
Mifugo bado ipo?
 
kweli huyu nyoka mpaka umkanyage, niliwahi kuchunga ng'ombe utotoni nikabanwa na haja kubwa porini, nilipomaliza kukata gogo natafuta jani nichambe, kumbe pale karibu kabisa na niliposhusha gogo alikuwa katulia ananichora tu, ilibidi niondoke taratibu, nikaenda chambia sehemu nyingine, kumsimulia babu akasema huyo sio swila, huyo mpaka umkanyage, ndio akung'ate, na vile vile inasadikika katika kabila langu ukiwakuta kwenye shamba lako la mihogo basi mihogo itanenepa kama lenyewe na inakuwa hivyo, hizo ni imani tu za wahenga

Mkuu una bahati sana! Ungeng'atwa tako yani sijui ungefunga wapi.
 
We kuna nyoka nao ni aina ya vifutu yaani viper wanaitwa rattle snake wao wanaspika kwenye mkia yaani wakiona hatari wanawasha spika ukisikia inabidi ukimbie ni hatari hao. Ndio lipumba anataka akaimport amweke nyumbani kwa lipumba
Duuh hii ni kweli mkuu?
 
mkuu ukiwa unachunga mifugo porini kuonana na nyoka mnapishana kama swila, kifutu, chatu ni vitu vya kawaida na ikitokea chatu kakamata mbuzi inabidi upambane nae ile mbaya, kuna kitu nakumbuka chatu alikosea step akaenda mdaka ng'ombe sasa ng'ombe nahisi alimuona, chatu kufyatuka na ng'ombe karuka hivyo chatu akaambulia kudaka miguu, ili amuangushe si ng'ombe akakojoa, ule mkojo kumdondokea chatu, aisee alifyatuka kama radi, nikahisi mkojo wa ng'ombe inawezekana ni sumu kwa joka lile, nilitafuta sehemu nyingine yenye jani nikachamba, ukiwa mwoga porini huwezi kwenda, yani inafikia kipindi unaona kawaida tu, kuna nyoka wengine nao sijawahi kuwaona mpaka leo lakini kule wapo, sijui siku hizi manake naona mapori mengi watu wamelima na yashakuwa makazi ya watu,
daah mkuu si mchezo ila ni moja experience unayo, kuna jamaa yangu ni mgogo nae alinipa maisha ya pori si mchezo mkuu
vipi kuhusu majani ya kufukuza nyoka au ni rumors ????
 
I hate all kinds of snakes. Popote mm nampoteza tu

Sent using Jamii Forums mobile app
But ujue sumu ya nyoka (snake venom) ina thamani kubwa kuliko almasi. Sumu ya nyoka inatumika kutengeneza dawa za hospitali hususan dawa za ganzi na dawa za kuwatibu watu walioumwa na nyoka yaani hutumika kutengeneza antivenom. Kwa hiyo don't hate them as long as they don't harm you. Waache waishi. Iko siku wataokoa maisha yako au jamaa yako.
 
Duuh hii ni kweli mkuu?
Rattle snake ni kweli anatoa sauti ya ONYO ili usimkaribie au tuseme anakushtua kana kwamba "wewe rudi usije huku ni hatari kwako" kwa kutumia vikasha viwili vilivyo katika mkia wake. Yeye huvitikisa Vikasha hivyo mithili ya vile vikopo vyenye kokoto au...wanavyotumia wauza karanga kudraw attention ya watu (samahani wauzaji karanga) na sauti hiyo sio kubwa sana kama ya spika. Ni sauti kama vile kusema ch.ch.chi ch. kwa haraka. Ukiwa mkaidi au mdadisi kwamba hicho ni nini na kuendelea kumkaribia zaidi basi atakudhuru.
 
kweli huyu nyoka mpaka umkanyage, niliwahi kuchunga ng'ombe utotoni nikabanwa na haja kubwa porini, nilipomaliza kukata gogo natafuta jani nichambe, kumbe pale karibu kabisa na niliposhusha gogo alikuwa katulia ananichora tu, ilibidi niondoke taratibu, nikaenda chambia sehemu nyingine, kumsimulia babu akasema huyo sio swila, huyo mpaka umkanyage, ndio akung'ate, na vile vile inasadikika katika kabila langu ukiwakuta kwenye shamba lako la mihogo basi mihogo itanenepa kama lenyewe na inakuwa hivyo, hizo ni imani tu za wahenga
daaah aiseee ukanyanyuka na mavi yako bhana aiseeee
 
kweli huyu nyoka mpaka umkanyage, niliwahi kuchunga ng'ombe utotoni nikabanwa na haja kubwa porini, nilipomaliza kukata gogo natafuta jani nichambe, kumbe pale karibu kabisa na niliposhusha gogo alikuwa katulia ananichora tu, ilibidi niondoke taratibu, nikaenda chambia sehemu nyingine, kumsimulia babu akasema huyo sio swila, huyo mpaka umkanyage, ndio akung'ate, na vile vile inasadikika katika kabila langu ukiwakuta kwenye shamba lako la mihogo basi mihogo itanenepa kama lenyewe na inakuwa hivyo, hizo ni imani tu za wahenga


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom