hayo maua yanaitwajeKuna maua yake ukipanda huwa hafiki maeneo hayo. Ningekushauri umwage Petroli au Mafuta ya taa ila ndo hivyo ni gharama kisha sio dawa nzuri kuliko hayo maua.
Eeh! Kazi imeanza usifanye watu wanze kuvamia mstuni mkuuHahaaaa ukatili mkubwa sana kifutu pia ni dawa ya kukuza kibamia ukichanjia mkia wa kifitu ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh hii ni kweli mkuu?
mbona unacheka mkuu pale mbele ya uchira
AaAah! We bhana; Hapo No. 10 ulitakiwa umalizie sentensi yako hivi kwamba Halafu unashushia na ki.r.baNamna ya kuandaa nyamachoma ya nyoka kifutu:
1. Mkamate kifutu aliekomaa (mwenye umri wa miaka sita na kuendelea).
2. Mshike mkia halafu mchape kwenye ardhi kavu kwq nguvu (Hapo atavunjika uti wa mgongo na kuwa hajiwezi au kufa kabisa).
3. Mkate kichwa na ukitupilie mbali. Kichwa pekee ndio kiungo chenye sumu kwenye mwili wa nyoka, kiwiliwili hakina sumu yoyote.
5. Mchune ngozi.
6. mkate katika vipande vidogovidogo.
7. Ondoa steki za nyama kutoka kwenye uti wa mgongo wa nyoka. (Unaweza kuuuacha pia, chaguo ni lako)
8. Vitie hivyo vipande vya nyoka ndani ya maji ya uvuguuvugu yaliyotiwa chumvi, ndimu, tangawizi na viungo vyovyote unavyovipenda kuandalia nyama choma. Viache hivyo vipande vikae humo kwa masaa yasiyopungua sita.
9. Baada ya hapo vitoe hivyo vipande kutoka kwenye maji kisha vipake mafuta kiasi halafu vitupie kunako motoni/oven kwa ajili ya kuvichoma.
Nyama ya kifutu ni laini sana kwahiyo usiache hiyo nyama ikakaa muda mrefu kwenye oven hadi ikawa ujiuji.
10. Baada ya hapo iandae nyamachoma yako. Inafaa zaidi kuliwa na ugali au ndizi choma huku ukishushia na juisi ya ukwaju ama machungwa.
Kila la kheri!!!
Nikweli kabisa au unamshika mzima unamweka ili akung'ate kibamia akishakung'ata tu kibamia kinaanza kukua ndani ya masaa matatu tu
life is warblack mamba au puff adder viper? deadly snakes wote wako poa tu mkizoeana.
Haswaa Mkuu. Tena usimstue kwani atajihami mara moja haraka - ama atakukimbia au kukutemea e.g. spitting cobra (kule kwetu tunamwitaga nyamwilu) anaweza kulenga shabaha sahihi(Range timamu) 3 metres kwenye macho au puani. Na wewe kwa upande wako ukimwona usipanic kwani ukipanic mwili wako utatoa majimaji (Adrenaline) yatakayosababisha harufu ya kuashiria mapambano.Uwe mtulivu halafu ondoka hapo au pita hivi umwache na hamsini zake.black mamba au puff adder viper? deadly snakes wote wako poa tu mkizoeana.
Hey! Mabungo?mbona unacheka mkuu pale mbele ya uchira