Umeshawahi kumsikia nyoka aitwaye Kifutu?

Umeshawahi kumsikia nyoka aitwaye Kifutu?

Very interesting story,I wish wangemleta pale kwenye maonyesho ya sabasaba ningemwona manaake paliwekwa nyoka wa aina nyingi hata black mamba alikuwepo lakini kifutu hakuwepo. pia inasemekana kifutu wanapatikana kwa wingi kwenye mashamba ya miwa .
 
Very interesting story,I wish wangemleta pale kwenye maonyesho ya sabasaba ningemwona manaake paliwekwa nyoka wa aina nyingi hata black mamba alikuwepo lakini kifutu hakuwepo. pia inasemekana kifutu wanapatikana kwa wingi kwenye mashamba ya miwa .
 
Mleta mada, huyo nyoka kweli anaitwa Kifutu au Moma?.
Kwa uelewa wangu na miaka yote ambayo niko porini, namfahamu kama Moma.
Kifutu ni nyoka wengine wana rangi ya brown ambao nao ni wapole lakini wana sumu kali zaidi.
 
kweli huyu nyoka mpaka umkanyage, niliwahi kuchunga ng'ombe utotoni nikabanwa na haja kubwa porini, nilipomaliza kukata gogo natafuta jani nichambe, kumbe pale karibu kabisa na niliposhusha gogo alikuwa katulia ananichora tu, ilibidi niondoke taratibu, nikaenda chambia sehemu nyingine, kumsimulia babu akasema huyo sio swila, huyo mpaka umkanyage, ndio akung'ate, na vile vile inasadikika katika kabila langu ukiwakuta kwenye shamba lako la mihogo basi mihogo itanenepa kama lenyewe na inakuwa hivyo, hizo ni imani tu za wahenga
duh!!!kwahiyo ukatembea na mavi yako
 
Nikweli kabisa au unamshika mzima unamweka ili akung'ate kibamia akishakung'ata tu kibamia kinaanza kukua ndani ya masaa matatu tu
Uganga mpya huu wa kumshika mkia no mi najua wa kumvizia anakojoa unachukua mkojo wake unajipaka kibamia kinaanza kukua kila baada ya dk 20 ukiridhika unaosha na mate ya kofutu basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza huyu nyoka ni mpole.

Kinachomfanya aue sana na harak ni sumu yake kuwa nyepesi sio nZito so inasafiri kwa urahisi sana

Kingine huyu jamaa ni mlain sana, nimewah wapiga na jembe unawakat vizuri, wana body laini
ha ha eti bodi laini
 
Back
Top Bottom