Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,307
- 33,925
jingalao hii hoja umeiona?Hebu mpuuzi ataje eneo hapa Tanzania ambalo lina watu 2,000 halafu 661 wana ajira
jingalao hii hoja umeiona?Hebu mpuuzi ataje eneo hapa Tanzania ambalo lina watu 2,000 halafu 661 wana ajira
Haya. Yani kila kitu lazima mumuhisishe na boss kubwa. Ni sawa na yule aliyepata ajali akasema anamshukuru mheshimiwa kwa kupona.
hahahaaaa......Hawa watu Ni wapumbavu Sana mkuu, halafu Ktk hiyo population ya watu 2,000 wenye ajira ni watu 661 idadi ambayo ina cover na kupoteza kabisa watu 2,000 which means mzunguko wa pesa uko smart bado, kwa US ni eneo maskini sawa, lakini kwa Africa hao bado matajiri tu .
Hebu mpuuzi ataje eneo hapa Tanzania ambalo lina watu 2,000 halafu 661 wana ajira
Sent using Jamii Forums mobile app
Authoritarian =Dictator(new Chadema Dictionary)Mara kibao tu wamemwita "Authoritarian" ambayo ni sawa tu na dikteta!
Ni mji wa Marekani au sio ?Mji una wakaazi 2000. Asilimia zaidi ya 30 siyo raia. Ni wavamizi wamefika na kuanza kuishi mitaani na camps za muda kama inavyoonekana kwenye picha.
Huo uzushi mtupu hizo picha zako ni mobile house ambazo ni mbovu haziendani na uongo wako, weka link ya BBC hapa, hawajasema Kama ulivyo sema hapa, ujinga utawamaliza nyie watuHuko Marekani ambapo ni vinara wa kusaidia nchi masikini kuna mji wenye umasikini wa kutupwa ambapo raia wake wanaishi kwa chini ya dola moja kwa siku.
View attachment 1025433
Haya ni Makazi ya watu wa Mji huo Masikini.
Kwa taarifa zaidi tuisome hii makala kutoka Twitter ya BBC Swahili ambapo, pengine kwa mara ya kwanza wameonesha picha halisi ya mataifa ya Magharibi.
MY TAKE:
Mh Rais Magufuli aliposema tunaweza kuwa Donor Country alimaanisha kwa kuwa tukiamua kubadili mentality yetu sisi ni zaidi ya matajiri.
Kwa hiyo Marekani ni maskini ila tu wamarekani ndo wanajisifia uongo si ndiyo!?Huwezi kumuona mmarekani akiinanga marekani kwa vyovyote vile
Akijibu naomba uni textTunaweza kuwa donor county sawa sikatai, ila sasa donor county lazima wagawe msaada wa vitu kwa nchi nyingine,
Nauliza swali sisi tutaligawia nini ilo jimbo ndani ya Marekani?
Sisi tuna nini kinachotosheleza mpaka kuwagawia wengine? Sukari? Mafuta? Nguo? Unga? Mchele? Au nini labda,
Tatu naona kama umewatekenya CHADEMA kwa mbaali kwa akili kwamba uwenda walio udhuria mkutano wa Lissu wengi wanatoka upande huo?
Wao wanaenda white House nje pale wanamtukana Trump hebu wewe nenda Lumumba tu kamwambie ukweli polepole uone Moto wakeHao wamarekani hawaitukani marekani wakiwa nje ya Marekani ....kama hoja ni kupinga na kukosoa hata bunge letu linafanya hivyo.
Pumbaffff kabisa..Yaani mnatafuta namna ya kujustify uharamia wa jiwe!
Alimtukana Trump?Jana Joe Biden alikuwa Ujerumani akiongea na viongozi wa Europe na NATO, yeye ni mpinzani wa Trump anayefikiria kugombea urais!
Aliwaambia hao viongozi, “America will be back”
Kama hujui uliza. Usibakie na ujinga, kwasababu haukusaidii.
Si uweke link ya walichokisema?Huo uzushi mtupu hizo picha zako ni mobile house ambazo ni mbovu haziendani na uongo wako, weka link ya BBC hapa, hawajasema Kama ulivyo sema hapa, ujinga utawamaliza nyie watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Waitukanaje wakiwa nje wakati wanaweza kusema na kufanya chochote kwa uhuru wote wakiwa ndani wewe taahira ?Hao wamarekani hawaitukani marekani wakiwa nje ya Marekani ....kama hoja ni kupinga na kukosoa hata bunge letu linafanya hivyo.
Kwani nani kamtukana nani hapa tanzania na kamtukana vipi?Alimtukana Trump?
Sasa kama anaruhusiwa kwenda kuongea na hao viongozi na kuwaahidi kuwa “America will be back”, Kuna haja gani? Ama huelewi hoja?Alimtukana Trump?
Weka link wewe ili kutetea topic yako, link inayoonyesha hizo mobile house mbovu na siyo kulaghai wajinga wenzako humuSi uweke link ya walichokisema?