Hao wamarekani hawaitukani marekani wakiwa nje ya Marekani ....kama hoja ni kupinga na kukosoa hata bunge letu linafanya hivyo...siyo kweli.
..kuna Wamarekani walipinga vita na Iraq.
..kuna wanasheria wa Kimarekani wanawatetea mahabusu walioko rumande la Guantanamo.
..Vyombo vya usalama vya Marekani vinamchunguza Raisi Trump pamoja na wasaidizi wake ktk timu yake ya kampeni.
..Lakini hata siku moja hutasikia wakiitana wasaliti au wahaini au kutwangana risasi.
Mkuu samahani hii barua unaweza kunisaidia kuitafsiri kwa kiswahili?Wazungu walituchezea kamchezo kakijinga tuu but mioyoni wanajua wasingetuweza View attachment 1025435
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye mambo ya maendeleo ulishaona mpinzani anapinga marndeleo kama huku kwetu?pili ulishawahi sikia mtu wa Upinzani anazurura duniani kusema Marekani iwekewe vikwazo sababu trump ana tuhuma kuwa alishinda kura kwa wizi?..siyo kweli.
..kuna Wamarekani walipinga vita na Iraq.
..kuna wanasheria wa Kimarekani wanawatetea mahabusu walioko rumande la Guantanamo.
..Vyombo vya usalama vya Marekani vinamchunguza Raisi Trump pamoja na wasaidizi wake ktk timu yake ya kampeni.
..Lakini hata siku moja hutasikia wakiitana wasaliti au wahaini au kutwangana risasi.
Unazungumzia bunge la Marekani ama watu wa kawaida wa Marekani. Ni lini umewahi kusikia Mbunge wa chama chochote Marekani ametolewa nje ya bunge kwa kusema Rais wa nchi hiyo hafai?Hao wamarekani hawaitukani marekani wakiwa nje ya Marekani ....kama hoja ni kupinga na kukosoa hata bunge letu linafanya hivyo.
Organ Donors labda,mkishatuua wapinzani viungo vyetu mnawapa wamarekani Bure...naunga mkono juhudi za raisDonor Country
Mkuu samahani hii barua unaweza kunisaidia kuitafsiri kwa kiswahili?
Maendeleo kwako ni nini. Trump anasema kujenga ukuta kwenye mpaka wa Marekani na Mexico ni Maendeleo. Democrats wanapinga. Au hujasikia na hilo?Kwenye mambo ya maendeleo ulishaona mpinzani anapinga marndeleo kama huku kwetu
Leo unakisifia chombo cha habari mabeberu?? Umepatwa na nini!!Mwisho utasema CCM imeihonga BBC kuleta taarifa hii
Upinzani marekani ndiyo wanaopiga kutengenezwa kwa ukuta mpakani mwa Mexco,Kwenye mambo ya maendeleo ulishaona mpinzani anapinga marndeleo kama huku kwetu?pili ulishawahi sikia mtu wa Upinzani anazurura duniani kusema Marekani iwekewe vikwazo sababu trump ana tuhuma kuwa alishinda kura kwa wizi?
Hao wamarekani hawaitukani marekani wakiwa nje ya Marekani ....kama hoja ni kupinga na kukosoa hata bunge letu linafanya hivyo.
Uliwasikia wakitoka nje ya marekani kubwabwaja?Kumbuka wanaopinga ni watu wenye asili ya mexico ambao wamo kwenye serikali na vyombo vya maamuzi na ni haki yao kupinga kwa maslahi yao na ndugu zao waliopo mexico.Upinzani marekani ndiyo wanaopiga kutengenezwa kwa ukuta mpakani mwa Mexco,
Obama Care?
Acha kuwa mpuuzi
Kitendo cha kukinukuu tu inaonesha kwamba umekiamini, lakini mbwembwe ulizoweka kwamba itasemwa "CCM imeihonga BCC" ni kuonesha msisimko wako kwamba habari imetolewa na BBC isiyoweza kuhongwa na CCM.Nioneshe statement ya kusifia
Umewahi kumsikia mbunge wa Marekani akimuita Trump dictator?Unazungumzia bunge la Marekani ama watu wa kawaida wa Marekani. Ni lini umewahi kusikia Mbunge wa chama chochote Marekani ametolewa nje ya bunge kwa kusema Rais wa nchi hiyo hafai?
Hawawezi kutoka kwa kuwa kwao uhuru wa kutoa maoni unaheshimiwa. Sasa Trump anachorwa na kujadiliwa kila siku kwa mabaya yake na hakuna mtu anakamatwa kwa kuwa na maoni tofauti na Trump.Uliwasikia wakitoka nje ya marekani kubwabwaja?.
Kwenye mambo ya maendeleo ulishaona mpinzani anapinga marndeleo kama huku kwetu?pili ulishawahi sikia mtu wa Upinzani anazurura duniani kusema Marekani iwekewe vikwazo sababu trump ana tuhuma kuwa alishinda kura kwa wizi?
Ukienda India ndo utalia kabisaHuko Marekani ambapo ni vinara wa kusaidia nchi masikini kuna mji wenye umasikini wa kutupwa ambapo raia wake wanaishi kwa chini ya dola moja kwa siku.
View attachment 1025433
Haya ni Makazi ya watu wa Mji huo Masikini.
Kwa taarifa zaidi tuisome hii makala kutoka Twitter ya BBC Swahili ambapo, pengine kwa mara ya kwanza wameonesha picha halisi ya mataifa ya Magharibi.
MY TAKE:
Mh Rais Magufuli aliposema tunaweza kuwa Donor Country alimaanisha kwa kuwa tukiamua kubadili mentality yetu sisi ni zaidi ya matajiri.