pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,206
- 6,439
Hakuna nchi inayakosa maskini duniani serikali inabidi irahisishe huduma za jamii na kuchochea uwekezaji na uwezeshaji kwa walio wengi,sasa Tanzania kuna watu zaidi ya million 50 walipa kodi ni million 2 wakati marekani inawatu zaidi ya million 390 na ushee na inawalipa kodi zaidi ya watu million 200
mpuuzi mpuuzi tu
mpuuzi mpuuzi tu