Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kazi ndogo hiyo, Siku nunua pete hata zile za elfu 20 pamoja na keki ndogo ya elfu 10 alf chukua pete iweke katkat ya keki, mwambie umemletea zawadi ila unatak aifungue mbele yako....akifungua atakutana na pete iliyo katikat ya keki,

Mwambie pete hiyo ni ya uchumba ishara ya kumuonyesha kwamba unatak kumuweka ndani....chukua mvishe kimahaba ila usipige goti atakuamin na ataon upo serious sana,

Siku hiyo hiyo subiri ifike usiku kama saa 5 hivi anza kumwambia kuwa una hamu ya kufanya nae mapenzi japo siku moja tu maan umezidiwa sana.....kiuhalisia atataka kuludisha fadhila kwa upendo uliomuonyesha siku hiyo...hatosema Hapana Trust me.

Ukila tunda uje hapa utoe ushuhuda.
Halafu kuhusu pete afenyeje? Acha utapeli bana, chululu inatolewa bila hayo maigizo, hata sasa kuna watu wanajulikana siyo waoaji na wanapewa kwa vile yeye amekaa kaa ki husband material ndo anapewa hizo sheria feki.
 
Hii tabia unasafiri unaenda kituoni wapiga debe wanakupigia unapata kampani na pesa kidogo ya kulegeza mafuta.
Natokea moshi nafika segera nikalamba zangu vichwa vitatu dar mida ya jioni viwili vinaenda moro. Basi ikanilazimu nipite ya mlandizi japo siipendi nikawashushe chalinze waendelee na safari. Baasi tano usiku ndio tunakatiza chalinze kuhamaki wanashuka madume tu kabakia yule dame ndio anaelekea daslam.
Alikua siti ya nyuma nikamwbia pita mbele.
Stori zikaanza mbona unasafiri usiku mtoto wa kike peke yako?
Akaniambia alikua na wenzake gari ilijaa akabakia yeye.
Tukaenda kufika maeneo ya ruvu nasinzia tu ata sijielewi.
Basi kufika mlandizi kiroho safi nikamrudishia nauli yake apande tu gari ingine mi safari ndio imeishia hapo natafuta gesti nilale nishachoka.
Nitaendelea...
 
Hii tabia unasafiri unaenda kituoni wapiga debe wanakupigia unapata kampani na pesa kidogo ya kulegeza mafuta.
Natokea moshi nafika segera nikalamba zangu vichwa vitatu dar mida ya jioni viwili vinaenda moro. Basi ikanilazimu nipite ya mlandizi japo siipendi nikawashushe chalinze waendelee na safari. Baasi tano usiku ndio tunakatiza chalinze kuhamaki wanashuka madume tu kabakia yule dame ndio anaelekea daslam.
Alikua siti ya nyuma nikamwbia pita mbele.
Stori zikaanza mbona unasafiri usiku mtoto wa kike peke yako?
Akaniambia alikua na wenzake gari ilijaa akabakia yeye.
Tukaenda kufika maeneo ya ruvu nasinzia tu ata sijielewi.
Basi kufika mlandizi kiroho safi nikamrudishia nauli yake apande tu gari ingine mi safari ndio imeishia hapo natafuta gesti nilale nishachoka.
Nitaendelea...

Gwangili
 
Hii tabia unasafiri unaenda kituoni wapiga debe wanakupigia unapata kampani na pesa kidogo ya kulegeza mafuta.
Natokea moshi nafika segera nikalamba zangu vichwa vitatu dar mida ya jioni viwili vinaenda moro. Basi ikanilazimu nipite ya mlandizi japo siipendi nikawashushe chalinze waendelee na safari. Baasi tano usiku ndio tunakatiza chalinze kuhamaki wanashuka madume tu kabakia yule dame ndio anaelekea daslam.
Alikua siti ya nyuma nikamwbia pita mbele.
Stori zikaanza mbona unasafiri usiku mtoto wa kike peke yako?
Akaniambia alikua na wenzake gari ilijaa akabakia yeye.
Tukaenda kufika maeneo ya ruvu nasinzia tu ata sijielewi.
Basi kufika mlandizi kiroho safi nikamrudishia nauli yake apande tu gari ingine mi safari ndio imeishia hapo natafuta gesti nilale nishachoka.
Nitaendelea...
Hapa wenye thread sidhani kama watakuelewa!!
 
download (1).jpg
 
Back
Top Bottom