Wisdom words !!Mwanaume anayelamba “BAKULI” ni yule anayejua anakula pekee yake!😂
😄😄😄Mwanaume anayelamba “BAKULI” ni yule anayejua anakula pekee yake!😂
Piga halafu pita😂Habari za mida Wana jf,ipo hivi nipo kwenye mahusiano na manzi mmoja hivi,mahusiano yetu Yana kama mwezi hivi,changamoto ya huyu manzi hataki kutoa tunda,yeye ameng'ang'ania mpaka tufunge ndoa,afu nikijiangalia Sina mpango wa kuoa saiv,lengo langu ilikuwa kupiga na kupita,nipeni mbinu mabaharia
nenda nae taratibu ukimaliza miez 2 uje umuite mkutane sehemu jifanye unamawazo sana lakin cku hiyo usimwambie nn kinamsumbua kesho yake muite gheto mwambie aje ili umwambie zen mwambie unaumia coz unahitaj sex na huna mtu wa kudu nae ndomaana haupo sawa ...atakuhurumia zen piga sasaHabari za mida Wana jf,ipo hivi nipo kwenye mahusiano na manzi mmoja hivi,mahusiano yetu Yana kama mwezi hivi,changamoto ya huyu manzi hataki kutoa tunda,yeye ameng'ang'ania mpaka tufunge ndoa,afu nikijiangalia Sina mpango wa kuoa saiv,lengo langu ilikuwa kupiga na kupita,nipeni mbinu mabaharia
Kazi ndogo hiyo, Siku nunua pete hata zile za elfu 20 pamoja na keki ndogo ya elfu 10 alf chukua pete iweke katkat ya keki, mwambie umemletea zawadi ila unatak aifungue mbele yako....akifungua atakutana na pete iliyo katikat ya keki,Habari za mida Wana jf,ipo hivi nipo kwenye mahusiano na manzi mmoja hivi,mahusiano yetu Yana kama mwezi hivi,changamoto ya huyu manzi hataki kutoa tunda,yeye ameng'ang'ania mpaka tufunge ndoa,afu nikijiangalia Sina mpango wa kuoa saiv,lengo langu ilikuwa kupiga na kupita,nipeni mbinu mabaharia
Halafu kuhusu pete afenyeje? Acha utapeli bana, chululu inatolewa bila hayo maigizo, hata sasa kuna watu wanajulikana siyo waoaji na wanapewa kwa vile yeye amekaa kaa ki husband material ndo anapewa hizo sheria feki.Kazi ndogo hiyo, Siku nunua pete hata zile za elfu 20 pamoja na keki ndogo ya elfu 10 alf chukua pete iweke katkat ya keki, mwambie umemletea zawadi ila unatak aifungue mbele yako....akifungua atakutana na pete iliyo katikat ya keki,
Mwambie pete hiyo ni ya uchumba ishara ya kumuonyesha kwamba unatak kumuweka ndani....chukua mvishe kimahaba ila usipige goti atakuamin na ataon upo serious sana,
Siku hiyo hiyo subiri ifike usiku kama saa 5 hivi anza kumwambia kuwa una hamu ya kufanya nae mapenzi japo siku moja tu maan umezidiwa sana.....kiuhalisia atataka kuludisha fadhila kwa upendo uliomuonyesha siku hiyo...hatosema Hapana Trust me.
Ukila tunda uje hapa utoe ushuhuda.
Sawa Bi dada nimekusikiaHalafu kuhusu pete afenyeje? Acha utapeli bana, chululu inatolewa bila hayo maigizo, hata sasa kuna watu wanajulikana siyo waoaji na wanapewa kwa vile yeye amekaa kaa ki husband material ndo anapewa hizo sheria feki.
TuelezeeeKuna demu nimemla kimasihara hadi siamini macho yangu aiseee
Ilikuwaje mkuu?Kuna demu nimemla kimasihara hadi siamini macho yangu aiseee
Aisee, umejisikia raha kunidharau?Sawa Bi dada nimekusikia
Achana na mimiAisee, umejisikia raha kunidharau?
Nitasimulia ya Arusha juzi😀
Hii tabia unasafiri unaenda kituoni wapiga debe wanakupigia unapata kampani na pesa kidogo ya kulegeza mafuta.
Natokea moshi nafika segera nikalamba zangu vichwa vitatu dar mida ya jioni viwili vinaenda moro. Basi ikanilazimu nipite ya mlandizi japo siipendi nikawashushe chalinze waendelee na safari. Baasi tano usiku ndio tunakatiza chalinze kuhamaki wanashuka madume tu kabakia yule dame ndio anaelekea daslam.
Alikua siti ya nyuma nikamwbia pita mbele.
Stori zikaanza mbona unasafiri usiku mtoto wa kike peke yako?
Akaniambia alikua na wenzake gari ilijaa akabakia yeye.
Tukaenda kufika maeneo ya ruvu nasinzia tu ata sijielewi.
Basi kufika mlandizi kiroho safi nikamrudishia nauli yake apande tu gari ingine mi safari ndio imeishia hapo natafuta gesti nilale nishachoka.
Nitaendelea...
Ukiitwa uniiteUkiandika niite 😆