spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,530


Mkuu Kwata Wengne Tulipunguzwa tukaona Bora u KO tu siku ya shabaha si kwata wala KO wote walifanya hamna
![]()







Yani umenikumbusha mbali sana kamanda wangu.Mkuu 2018 nlikuwa mujibu 822kj.. tulivyoenda Shabaha nilikuwa target namba moja,yani ile ilikuwa kama imepinda hivi na unaona kabisa imepinda lakini anamuuliza mkuu anakwambia,"kwahiyo unategemea adui atajiweka hapo mbele akwambie haya niue".
Mpaka tunamaliza ile kitu details zaidi ya 40 haikupigwa na mtu.Lakini mule katikati watu wanapigiana kinoma,unakuta kidada hakina hata nguvu ya kubeba mashine et kimepiga tatu![]()




balaa tupu Mimi ni 2015 834kj. Aisee nikikumbuka siku hiyo huwa nacheka peke yangu. Dah ila huyo afande alikuwa hafai, kwamba anakwambia adui atakuja mbele akwambie niue!


Hahaha mamaeee we jamaa unawataja vizur mgambo aseee palijua nikausha nyege sikuwah waza kula mbususu zaid ya kuwaza kutoroka tu mujibu 20215Afande Chacha, hatari, chaula, mayai, daaaah Mambo ya shamba dunia kwa msanga,
Mabio Hadi majani mapana jirani na kabuku
Jamaa mmoja alikuja mwishon anaitwa msaga sum jamaa alikiwasha nikaonanjeshi ndo linaanza akat ilikua mwishon msaga sumKylikuwa kuna zoezi la kupandishiana mapaja begani .... mnawekeana mapaja na demu wala hudindishi hata kufikiria ujinga hamna unachowaza ni kupata upenyo wa kwenda kulala
Op kikwete hiiHadi leo nashangaa waliopata Nyege wakiwa jeshini walizitoa wapiNyie yale maovyoovyo sikudindisha miezi mitatu sijuii
Yah mzee james jamaa alikuaja akafanya maisha mepesi kidgo kuna fala magere alitunyoosha danger coy had nkasema jeshi basUnaongelea OP kikwete na huyo luten ni Mpume , Huyo aliyetoka Bulombola anaitwa Meja James.Huyo alitutesa sana , siku ya kwanza alitulisha doso uwanja wa damu kisa kuna mtu aliitika hovyo ruti ya mabio ilipotaka kuanza.
Akat danger tuko na paty mzee wa kiflimbiYaah mkuu tulikuwa wote hujakosea kabisa umesahau Yule mmoja Pisi nyeupe mrefu zamu yake haji utasikia ngurutu mtaimba chenja saa nne mkalaleee![]()
Yule manzi alitusaidoa sanaa danger coy mana ndo ilikua xoy ya kifo mda uleJamaa nlisikia ameenda kusoma sijui...!! James ukimuona ndo utajua wanajeshi wanatakiwa waweje yani noma sana.. Sisi yule manzi wa Danger kusema alitongozwa yule hasan kuomba msamaha mbele ya ngurutu ndo tuliponzekaa
Kipere daaaNamkumbuka huyo si ndio kipere kafupi fupi?
Acha ushoga kijana........acha hiyo tabia ya kuwafanyia michezo michafu wanaume wenzako








mbna povuuuuuh.









nimecheka mnoo. Hebu muulize huyo Prince kwan.