Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Makurutu walikuwa wanaupunyua/wanalala mpaka chooni
Kylikuwa kuna zoezi la kupandishiana mapaja begani .... mnawekeana mapaja na demu wala hudindishi hata kufikiria ujinga hamna unachowaza ni kupata upenyo wa kwenda kulala
 
niko zangu maeneo fulani ninayopenda kutembelea..
hapo jirani ya hiyo bar kuna saluni ya kike.
kuna kidada huwa kila nikikaa pale kula munde kinatoka saluni na kuanza kujipitisha nikape bia》
huwa si mchoyo namuagizia huku mi naendelea na mambo yangu...
siku hiyo nimepata korongo nna hela!
nikaenda hapo bar nnapopenda}
akaja siku hiyo akakaa mezani kbs..
nikamuuliza kazini vp leo?umekuja kukaa hapa utafkuzwa kazi!
oohh leo national housing wametupigia kufuli tunadaiwa...
nikampa bia yule mtoto.
kikweli sikuwa na nia ya kumkula kbs!
hata tumekaa pale anaongea tuu ht simjibu◇
akaniambia leo niko free twende popote!
maruhani hapo hapo yakaamka nikaona acha nikapeleke gest kameshalewa haka!

tumeingia rumu akavua nguo zote akaniambia twende tukaoge kwanza¿■

tukazama bafuni akachukua kile kibomba cha kubonyeza akaweka huku nyuma kwake!!akaniambia njoo weka sikio lako hapa tumboni!!

nikawa naskia maji yanaingia kama ndani ya simtank vile!hapo bado sielewi elewi hii bomba ameweka kwnye papuch au tigopesa!!

dem mwanaharam sana yule akainama yale maji yanaruka ukutani

nilitoka humo ndani spidi nikavaa boxa..
maana nilihisi ni jini huyu.

akaja akawa ananizuia huku kashika boxa ila kwa uwezo wa shetani niliondoka sikumgusa..
et mwanaharam yule, kwahyo ukashindwa kula tunda kimasihara?
 
Kwa msanga.

Genda genda shamba moja matata,
Miaka ya 2014 kurudi nyuma hapo 835 KJ kozi zilikuwa sio za kitoto kiasi kwamba hamna hata muda wa kudindisha,

Nashangaa sana kusikia eti watu mlikuwa mnahamu ya mapenzi, sisi ilikuwa ukipata upenyo unachowaza ni kulala tu

Kanole hakuwa na ujinga wa kulea kuruti kizembe hivo
Nimemkumbuka captain mberenje jamaa anakupa mateso ya kisaikolojia mpaka ukikutana nae unampkimbia
Hadi leo nashangaa waliopata Nyege wakiwa jeshini walizitoa wapi Nyie yale maovyoovyo sikudindisha miezi mitatu sijuii
 
Inatofautiana na mnavyolelewa...... Me 2018 tu hapo mkuu io kudindisha haikuwepo hadi siku moja nikajiuliza hivi nna mda gani sijadinda,maana ilifika mda hadi nshasahau nikajua uanaume umekwenda hivo.Ilibidi hiyo siku niibe mda nikaoge nkastua na nyeto kabisa nikakuta mzigo unapoga kazi vizuri tu
Yani vizigo vizigo mda unaopumzika ni kwenye msosi.Kitendo cha kuambiwa haya nawapa tano watu washasinzia na japo unaweza sinsia kwa dakika tatu lakini ukiamshwa ni kama umelala masaa matatu
Bravo Coy Mgambo kuna afande alikuwa anaitwa Kabea tall sana jamaa alikuwa anatupa tano za kulalia mgongo sana yani akitoa nusu saa unahisi ni mwakaaa... Mwana sana yule Afande sema msimuuzi
 
Kwa msanga.

Genda genda shamba moja matata,
Miaka ya 2014 kurudi nyuma hapo 835 KJ kozi zilikuwa sio za kitoto kiasi kwamba hamna hata muda wa kudindisha,

Nashangaa sana kusikia eti watu mlikuwa mnahamu ya mapenzi, sisi ilikuwa ukipata upenyo unachowaza ni kulala tu

Kanole hakuwa na ujinga wa kulea kuruti kizembe hivo
Nimemkumbuka captain mberenje jamaa anakupa mateso ya kisaikolojia mpaka ukikutana nae unampkimbia
OP muungano,afande kanole anasema" Sisi hatuwatengenezi kuwa wa mujibu wa sheria,ila tunawatengeneza kama askari wa akina,likitokea la kutokea si tuna no.zenu tunawakurupua tu"..Nikiwasimulia sekeseke la mgambo mujibu wa sasa hvi wanahisi ni movie au nawapiga kamba,

Kulikuwa na luten mmoja wa kike mzuri kinyama sijui alikuwa anaitwa nani?,Yule captain sikuwa kumuona kuonyesha kuridhishwa hata siku moja,akija utasikia kuruti ndo kitu gni mnafanya....daaa
 
OP muungano,afande kanole anasema" Sisi hatuwatengenezi kuwa wa mujibu wa sheria,ila tunawatengeneza kama askari wa akina,likitokea la kutokea si tuna no.zenu tunawakurupua tu"..Nikiwasimulia sekeseke la mgambo mujibu wa sasa hvi wanahisi ni movie au nawapiga kamba,

Kulikuwa na luten mmoja wa kike mzuri kinyama sijui alikuwa anaitwa nani?,Yule captain sikuwa kumuona kuonyesha kuridhishwa hata siku moja,akija utasikia kuruti ndo kitu gni mnafanya....daaa
Kanole alikuwa Kauzuu balaaa yani sisi tumepiga passout tumerudi bado akaendelea kutaka kuttukimbiza kimbiza mabio yasioeleweka.. Kuna afande kutoka Kigoma jamaa ni Tall giant kinoma siku hiyo tupo mabio yupo na sisi hapo hatujui kama ni CO mpya kesho yake mkesha hakuna kulala mapema sana tukaanza kula shumbwela balaa.. Huyo matroni namkumbuka sema jina ndo nimemsahau alikuwa anatembea na Kasevice girl flani ni Pisi moja ya kwenda.
 
Back
Top Bottom