Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,337
- 9,079
Dada yangu huyomlikutana wapi...? ili usijali mwamba mimi nitakuachia tu ilikuwa bahati mbaya tu
Dada yangu huyomlikutana wapi...? ili usijali mwamba mimi nitakuachia tu ilikuwa bahati mbaya tu
Bora kanole,kuna yule captain wake,alafu kulikuwa na yule Luten wa kiume mkatili mbaya mnaaaJames yaaaMwana ana sauti akisema Ngurutu kikosi kizima mnasikiaaa. James alipenda ngurutu sio kanole nyie alitupa shuruba yule mzeee balaaa
Nilikuwa alpha coy,,,A coy....na kina kitereja jamaa fulani hivi marafiki mnafiki hivi,kukugeuka dk,Mkuu tulikuwa wote Bravo Coy, me platoon 1 section 2 , afande kabeya,Natalya,wame ,Husna , benja,ibra na wengine kibao kina Bruno nawakumbuka.Afande Beatrice pisi Kali
Nilikuwa alpha coy,,,A coy....na kina kitereja jamaa fulani hivi marafiki mnafiki hivi,kukugeuka dk,Mkuu tulikuwa wote Bravo Coy, me platoon 1 section 2 , afande kabeya,Natalya,wame ,Husna , benja,ibra na wengine kibao kina Bruno nawakumbuka.Afande Beatrice pisi Kali
Oya rikiboy unaharibu uzi wetuJamaa nlisikia ameenda kusoma sijui...!! James ukimuona ndo utajua wanajeshi wanatakiwa waweje yani noma sana.. Sisi yule manzi wa Danger kusema alitongozwa yule hasan kuomba msamaha mbele ya ngurutu ndo tuliponzekaa



Sasa huyo kinembene anatolea wapi mzeesema ulisugua mbupu ya mwenzko
Sema umejitahidi kupika story
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app




jf is never boringNamkumbuka huyo si ndio kipere kafupi fupi?Nilikuwa alpha coy,,,A coy....na kina kitereja jamaa fulani hivi marafiki mnafiki hivi,kukugeuka dk,
Wanatuuzia chaiHadi leo nashangaa waliopata Nyege wakiwa jeshini walizitoa wapiNyie yale maovyoovyo sikudindisha miezi mitatu sijuii
We dogo ulikuwa oparesheni ganiBravo Coy Mgambo kuna afande alikuwa anaitwa Kabea tall sana jamaa alikuwa anatupa tano za kulalia mgongo sana yani akitoa nusu saa unahisi ni mwakaaa... Mwana sana yule Afande sema msimuuzi
Mwanamke mzuri alikuwa ni MP alafu alikuwa analiwa na mshikaji flani wa kujitolea ambaye alikuwa doja maarufuOP muungano,afande kanole anasema" Sisi hatuwatengenezi kuwa wa mujibu wa sheria,ila tunawatengeneza kama askari wa akina,likitokea la kutokea si tuna no.zenu tunawakurupua tu"..Nikiwasimulia sekeseke la mgambo mujibu wa sasa hvi wanahisi ni movie au nawapiga kamba,
Kulikuwa na luten mmoja wa kike mzuri kinyama sijui alikuwa anaitwa nani?,Yule captain sikuwa kumuona kuonyesha kuridhishwa hata siku moja,akija utasikia kuruti ndo kitu gni mnafanya....daaa
😄Jamaa nlisikia ameenda kusoma sijui...!! James ukimuona ndo utajua wanajeshi wanatakiwa waweje yani noma sana.. Sisi yule manzi wa Danger kusema alitongozwa yule hasan kuomba msamaha mbele ya ngurutu ndo tuliponzekaa
Atakua ni number ten uyo
Afande Hasan yule mwembamba? Jamaa ana roho mbaya yuleee, hivi kashoka hamkukuta?? Private tu ila alikuwa anaogopwa kikosi kizima
😄😄😄😄😄KIMASIHARA IMEHAMIA KWENYE UKURUTU?
Kishoka anatia makofii ovyoo yani hata kama umenyoaa anapitaa anapiga makofii... kingine alikuwa kipindi tumepata posho anaanza kusearch rasket za ngurutu anachukua karanga..sijui juice soda yani ovyoo sana
Afande Hasan yule mwembamba? Jamaa ana roho mbaya yuleee, hivi kashoka hamkukuta?? Private tu ila alikuwa anaogopwa kikosi kizima
Leten habari za matunda mambo ya jkt yakafunguliwe uzi wake huko
Hali ya hewa inaruhusu


