Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

James yaaa Mwana ana sauti akisema Ngurutu kikosi kizima mnasikiaaa. James alipenda ngurutu sio kanole nyie alitupa shuruba yule mzeee balaaa
Bora kanole,kuna yule captain wake,alafu kulikuwa na yule Luten wa kiume mkatili mbaya mnaaa
 
Mkuu tulikuwa wote Bravo Coy, me platoon 1 section 2 , afande kabeya,Natalya,wame ,Husna , benja,ibra na wengine kibao kina Bruno nawakumbuka.Afande Beatrice pisi Kali
Nilikuwa alpha coy,,,A coy....na kina kitereja jamaa fulani hivi marafiki mnafiki hivi,kukugeuka dk,
 
Mkuu tulikuwa wote Bravo Coy, me platoon 1 section 2 , afande kabeya,Natalya,wame ,Husna , benja,ibra na wengine kibao kina Bruno nawakumbuka.Afande Beatrice pisi Kali
Nilikuwa alpha coy,,,A coy....na kina kitereja jamaa fulani hivi marafiki mnafiki hivi,kukugeuka dk,
 
Jamaa nlisikia ameenda kusoma sijui...!! James ukimuona ndo utajua wanajeshi wanatakiwa waweje yani noma sana.. Sisi yule manzi wa Danger kusema alitongozwa yule hasan kuomba msamaha mbele ya ngurutu ndo tuliponzekaa
Oya rikiboy unaharibu uzi wetu
 
Bravo Coy Mgambo kuna afande alikuwa anaitwa Kabea tall sana jamaa alikuwa anatupa tano za kulalia mgongo sana yani akitoa nusu saa unahisi ni mwakaaa... Mwana sana yule Afande sema msimuuzi
We dogo ulikuwa oparesheni gani
 
OP muungano,afande kanole anasema" Sisi hatuwatengenezi kuwa wa mujibu wa sheria,ila tunawatengeneza kama askari wa akina,likitokea la kutokea si tuna no.zenu tunawakurupua tu"..Nikiwasimulia sekeseke la mgambo mujibu wa sasa hvi wanahisi ni movie au nawapiga kamba,

Kulikuwa na luten mmoja wa kike mzuri kinyama sijui alikuwa anaitwa nani?,Yule captain sikuwa kumuona kuonyesha kuridhishwa hata siku moja,akija utasikia kuruti ndo kitu gni mnafanya....daaa
Mwanamke mzuri alikuwa ni MP alafu alikuwa analiwa na mshikaji flani wa kujitolea ambaye alikuwa doja maarufu

Maluten wote wa kike walikuwa na sura ngumu.

Kuna jamaa kipindi cha uzalendo alikuwa anavaa kiraia anapiga story na kuruti asubuhi hadi jioni lakini aiku tunafungua mafunzo nkamuona katupia sare kama za magereza ana minyota sijui zile sare ni za jeshi gani
 
Jamaa nlisikia ameenda kusoma sijui...!! James ukimuona ndo utajua wanajeshi wanatakiwa waweje yani noma sana.. Sisi yule manzi wa Danger kusema alitongozwa yule hasan kuomba msamaha mbele ya ngurutu ndo tuliponzekaa
😄
Afande Hasan yule mwembamba? Jamaa ana roho mbaya yuleee, hivi kashoka hamkukuta?? Private tu ila alikuwa anaogopwa kikosi kizima
 

Afande Hasan yule mwembamba? Jamaa ana roho mbaya yuleee, hivi kashoka hamkukuta?? Private tu ila alikuwa anaogopwa kikosi kizima
Kishoka anatia makofii ovyoo yani hata kama umenyoaa anapitaa anapiga makofii... kingine alikuwa kipindi tumepata posho anaanza kusearch rasket za ngurutu anachukua karanga..sijui juice soda yani ovyoo sana
 
Back
Top Bottom