cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Love you bebeee,haaahaaa mtoto umenibamba sana...haki vile sikuachi


Tanteeeeeeh hunnie,mimi nakujua sio tu kukufahamu mchumba...na ulivyo nibamba haki vile sikuachi








sasa si uongee na huyo mgoni wako. Mie nakaa kimya tyuuu.Unaongelea OP kikwete na huyo luten ni Mpume , Huyo aliyetoka Bulombola anaitwa Meja James.Huyo alitutesa sana , siku ya kwanza alitulisha doso uwanja wa damu kisa kuna mtu aliitika hovyo ruti ya mabio ilipotaka kuanza.Kanole alikuwa Kauzuu balaaa yani sisi tumepiga passout tumerudi bado akaendelea kutaka kuttukimbiza kimbiza mabio yasioeleweka.. Kuna afande kutoka Kigoma jamaa ni Tall giant kinoma siku hiyo tupo mabio yupo na sisi hapo hatujui kama ni CO mpya kesho yake mkesha hakuna kulala mapema sana tukaanza kula shumbwela balaa.. Huyo matroni namkumbuka sema jina ndo nimemsahau alikuwa anatembea na Kasevice girl flani ni Pisi moja ya kwenda.
Kuna wahuni wako peace sana ila ukijichanganya kwenye 18 zake tu....... maake hapo kwanza nchekeBravo Coy Mgambo kuna afande alikuwa anaitwa Kabea tall sana jamaa alikuwa anatupa tano za kulalia mgongo sana yani akitoa nusu saa unahisi ni mwakaaa... Mwana sana yule Afande sema msimuuzi
James yaaaUnaongelea OP kikwete na huyo luten ni Mpume , Huyo aliyetoka Bulombola anaitwa Meja James.Huyo alitutesa sana , siku ya kwanza alitulisha doso uwanja wa damu kisa kuna mtu aliitika hovyo ruti ya mabio ilipotaka kuanza.




Mwana ana sauti akisema Ngurutu kikosi kizima mnasikiaaa. James alipenda ngurutu sio kanole nyie alitupa shuruba yule mzeee balaaaswali zuriiikhaaaaaah.
leta uzi sasa eheeeAisee Jana kweli nimeamini kwa mara ya kwanza kula kimasihara..aloo asikwambie mtu haya Mambo yapo aisee..
Mkuu tulikuwa wote Bravo Coy, me platoon 1 section 2 , afande kabeya,Natalya,wame ,Husna , benja,ibra na wengine kibao kina Bruno nawakumbuka.Afande Beatrice pisi KaliBravo Coy Mgambo kuna afande alikuwa anaitwa Kabea tall sana jamaa alikuwa anatupa tano za kulalia mgongo sana yani akitoa nusu saa unahisi ni mwakaaa... Mwana sana yule Afande sema msimuuzi
Huyu janja wa 2019Mgambo mgambo ya morali,OP gni hyo
Jamaa alikua tall halafu combat inamkaa fresh kinoma , tulipata bahati kanole alikua anamuuguza mkewe alipata ajali ya gari kama kumbukumbu zangu zipo sawa !!! Nilikua Bravo !Kanole alikuwa Kauzuu balaaa yani sisi tumepiga passout tumerudi bado akaendelea kutaka kuttukimbiza kimbiza mabio yasioeleweka.. Kuna afande kutoka Kigoma jamaa ni Tall giant kinoma siku hiyo tupo mabio yupo na sisi hapo hatujui kama ni CO mpya kesho yake mkesha hakuna kulala mapema sana tukaanza kula shumbwela balaa.. Huyo matroni namkumbuka sema jina ndo nimemsahau alikuwa anatembea na Kasevice girl flani ni Pisi moja ya kwenda.
Yaah mkuu tulikuwa wote hujakosea kabisa umesahau Yule mmoja Pisi nyeupe mrefu zamu yake haji utasikia ngurutu mtaimba chenja saa nne mkalaleeeMkuu tulikuwa wote Bravo Coy, me platoon 1 section 2 , afande kabeya,Natalya,wame ,Husna , benja,ibra na wengine kibao kina Bruno nawakumbuka.Afande Beatrice pisi Kali



Jamaa nlisikia ameenda kusoma sijui...!! James ukimuona ndo utajua wanajeshi wanatakiwa waweje yani noma sana.. Sisi yule manzi wa Danger kusema alitongozwa yule hasan kuomba msamaha mbele ya ngurutu ndo tuliponzekaaJamaa alikua tall halafu combat inamkaa fresh kinoma , tulipata bahati kanole alikua anamuuguza mkewe alipata ajali ya gari kama kumbukumbu zangu zipo sawa !!! Nilikua Bravo !
Daaah huyo Wame ,kijamaa kidogo kidogo kilikua kinatupigisha doso balaaMkuu tulikuwa wote Bravo Coy, me platoon 1 section 2 , afande kabeya,Natalya,wame ,Husna , benja,ibra na wengine kibao kina Bruno nawakumbuka.Afande Beatrice pisi Kali


Bruno masihara sanaHuyo si ndio Beatrice?Yaah mkuu tulikuwa wote hujakosea kabisa umesahau Yule mmoja Pisi nyeupe mrefu zamu yake haji utasikia ngurutu mtaimba chenja saa nne mkalaleee![]()
Halafu yule jamaa alikua sifa sanaJamaa nlisikia ameenda kusoma sijui...!! James ukimuona ndo utajua wanajeshi wanatakiwa waweje yani noma sana.. Sisi yule manzi wa Danger kusema alitongozwa yule hasan kuomba msamaha mbele ya ngurutu ndo tuliponzekaa


kuna siku katukuta kwenye foleni ya msosi kaanza kutupiga na kofia aseee kofia inauma !!!