Kijana Wa Dar
Member
- Sep 22, 2016
- 98
- 217
Opp gani mkuu?Daaah huyo Wame ,kijamaa kidogo kidogo kilikua kinatupigisha doso balaa [emoji3][emoji3][emoji3] Bruno masihara sana
Opp gani mkuu?Daaah huyo Wame ,kijamaa kidogo kidogo kilikua kinatupigisha doso balaa [emoji3][emoji3][emoji3] Bruno masihara sana
Afande Rashid Kanole mutu ya kazi sio huyo?OP muungano,afande kanole anasema" Sisi hatuwatengenezi kuwa wa mujibu wa sheria,ila tunawatengeneza kama askari wa akina,likitokea la kutokea si tuna no.zenu tunawakurupua tu"..Nikiwasimulia sekeseke la mgambo mujibu wa sasa hvi wanahisi ni movie au nawapiga kamba,
Kulikuwa na luten mmoja wa kike mzuri kinyama sijui alikuwa anaitwa nani?,Yule captain sikuwa kumuona kuonyesha kuridhishwa hata siku moja,akija utasikia kuruti ndo kitu gni mnafanya....daaa
👊👊👊 wale waliopita 842kj mafinga . nakumbuka kuna siku kombania yetu tulienda shambani kwa mwamunyange. Ilitokea afande akatuambia tupumzike kidogo akawa ametoka kama dakika 10 hivi .ile kurudi akakuta kuruti wote tumeuchapa usingizi 😂😂😂😂Kabisa man nyege kuruti unazitoa wapi, mimi 2014 nikipata chance nilikua nawaza kulala tu, sikuwahi hata kutongoza yani.
huyu alikua Nanga, nyege unazitoa wapi kwa doso lile, nakumbuka niliwah jificha na demu lakini sijui nlisinzia saa ngap ata sikuwaza kumla, nimekuja kumla tulivyofika Daslam course imeisha, wazee wa Embakasi, wapi man Gaddafi [emoji16]Kabisa man nyege kuruti unazitoa wapi, mimi 2014 nikipata chance nilikua nawaza kulala tu, sikuwahi hata kutongoza yani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaaa yaan khaaaahKIMASIHARA IMEHAMIA KWENYE UKURUTU?
NIakjua hata Afande akakuta Makuruta mnakulana kimasihara.. kumbe kulala, pathetic👊👊👊 wale waliopita 842kj mafinga . nakumbuka kuna siku kombania yetu tulienda shambani kwa mwamunyange. Ilitokea afande akatuambia tupumzike kidogo akawa ametoka kama dakika 10 hivi .ile kurudi akakuta kuruti wote tumeuchapa usingizi 😂😂😂😂
Jeshini usingizi ni kitu inatafutwa kama almasi hasa kwa kuruti 🏃🏃🏃🏃🏃
Nitumie mkuu nione maana washafuta hawaIpo juu apo page iliyotoka
uliwahi kumfanyia....?Acha ushoga kijana........acha hiyo tabia ya kuwafanyia michezo michafu wanaume wenzako
ukiona manyoya ujue keshaliwa....sio chai au nitupie picha muone....?Mjukuu wangu cocastic hii mizagamuo ni ya kweli hii? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
unishindi mimi nakupenda hadi....naumwa mchumbaLove you bebeee, [emoji12][emoji12]
mlikutana wapi...? ili usijali mwamba mimi nitakuachia tu ilikuwa bahati mbaya tucocastic njoo unitambulishe mwenyewe😂😂😂
Dada yangu huyomlikutana wapi...? ili usijali mwamba mimi nitakuachia tu ilikuwa bahati mbaya tu
Bora kanole,kuna yule captain wake,alafu kulikuwa na yule Luten wa kiume mkatili mbaya mnaaaJames yaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwana ana sauti akisema Ngurutu kikosi kizima mnasikiaaa. James alipenda ngurutu sio kanole nyie alitupa shuruba yule mzeee balaaa
Nilikuwa alpha coy,,,A coy....na kina kitereja jamaa fulani hivi marafiki mnafiki hivi,kukugeuka dk,Mkuu tulikuwa wote Bravo Coy, me platoon 1 section 2 , afande kabeya,Natalya,wame ,Husna , benja,ibra na wengine kibao kina Bruno nawakumbuka.Afande Beatrice pisi Kali
Nilikuwa alpha coy,,,A coy....na kina kitereja jamaa fulani hivi marafiki mnafiki hivi,kukugeuka dk,Mkuu tulikuwa wote Bravo Coy, me platoon 1 section 2 , afande kabeya,Natalya,wame ,Husna , benja,ibra na wengine kibao kina Bruno nawakumbuka.Afande Beatrice pisi Kali
Oya rikiboy unaharibu uzi wetu [emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa nlisikia ameenda kusoma sijui...!! James ukimuona ndo utajua wanajeshi wanatakiwa waweje yani noma sana.. Sisi yule manzi wa Danger kusema alitongozwa yule hasan kuomba msamaha mbele ya ngurutu ndo tuliponzekaa