Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Kanole alikuwa Kauzuu balaaa yani sisi tumepiga passout tumerudi bado akaendelea kutaka kuttukimbiza kimbiza mabio yasioeleweka.. Kuna afande kutoka Kigoma jamaa ni Tall giant kinoma siku hiyo tupo mabio yupo na sisi hapo hatujui kama ni CO mpya kesho yake mkesha hakuna kulala mapema sana tukaanza kula shumbwela balaa.. Huyo matroni namkumbuka sema jina ndo nimemsahau alikuwa anatembea na Kasevice girl flani ni Pisi moja ya kwenda.
Unaongelea OP kikwete na huyo luten ni Mpume , Huyo aliyetoka Bulombola anaitwa Meja James.Huyo alitutesa sana , siku ya kwanza alitulisha doso uwanja wa damu kisa kuna mtu aliitika hovyo ruti ya mabio ilipotaka kuanza.
 
Unaongelea OP kikwete na huyo luten ni Mpume , Huyo aliyetoka Bulombola anaitwa Meja James.Huyo alitutesa sana , siku ya kwanza alitulisha doso uwanja wa damu kisa kuna mtu aliitika hovyo ruti ya mabio ilipotaka kuanza.
James yaaa Mwana ana sauti akisema Ngurutu kikosi kizima mnasikiaaa. James alipenda ngurutu sio kanole nyie alitupa shuruba yule mzeee balaaa
 
Kuna wahuni wako peace sana ila ukijichanganya kwenye 18 zake tu....... maake hapo kwanza ncheke
Akimind huwaga Kombania inachakaaa hatarii kuna siku Mpaka Captain flani alikuja kutuombea msamaha yani
 
Bravo Coy Mgambo kuna afande alikuwa anaitwa Kabea tall sana jamaa alikuwa anatupa tano za kulalia mgongo sana yani akitoa nusu saa unahisi ni mwakaaa... Mwana sana yule Afande sema msimuuzi
Mkuu tulikuwa wote Bravo Coy, me platoon 1 section 2 , afande kabeya,Natalya,wame ,Husna , benja,ibra na wengine kibao kina Bruno nawakumbuka.Afande Beatrice pisi Kali
 
Kanole alikuwa Kauzuu balaaa yani sisi tumepiga passout tumerudi bado akaendelea kutaka kuttukimbiza kimbiza mabio yasioeleweka.. Kuna afande kutoka Kigoma jamaa ni Tall giant kinoma siku hiyo tupo mabio yupo na sisi hapo hatujui kama ni CO mpya kesho yake mkesha hakuna kulala mapema sana tukaanza kula shumbwela balaa.. Huyo matroni namkumbuka sema jina ndo nimemsahau alikuwa anatembea na Kasevice girl flani ni Pisi moja ya kwenda.
Jamaa alikua tall halafu combat inamkaa fresh kinoma , tulipata bahati kanole alikua anamuuguza mkewe alipata ajali ya gari kama kumbukumbu zangu zipo sawa !!! Nilikua Bravo !
 
Mkuu tulikuwa wote Bravo Coy, me platoon 1 section 2 , afande kabeya,Natalya,wame ,Husna , benja,ibra na wengine kibao kina Bruno nawakumbuka.Afande Beatrice pisi Kali
Yaah mkuu tulikuwa wote hujakosea kabisa umesahau Yule mmoja Pisi nyeupe mrefu zamu yake haji utasikia ngurutu mtaimba chenja saa nne mkalaleee
 
Jamaa alikua tall halafu combat inamkaa fresh kinoma , tulipata bahati kanole alikua anamuuguza mkewe alipata ajali ya gari kama kumbukumbu zangu zipo sawa !!! Nilikua Bravo !
Jamaa nlisikia ameenda kusoma sijui...!! James ukimuona ndo utajua wanajeshi wanatakiwa waweje yani noma sana.. Sisi yule manzi wa Danger kusema alitongozwa yule hasan kuomba msamaha mbele ya ngurutu ndo tuliponzekaa
 
Mkuu tulikuwa wote Bravo Coy, me platoon 1 section 2 , afande kabeya,Natalya,wame ,Husna , benja,ibra na wengine kibao kina Bruno nawakumbuka.Afande Beatrice pisi Kali
Daaah huyo Wame ,kijamaa kidogo kidogo kilikua kinatupigisha doso balaa Bruno masihara sana
 
Jamaa nlisikia ameenda kusoma sijui...!! James ukimuona ndo utajua wanajeshi wanatakiwa waweje yani noma sana.. Sisi yule manzi wa Danger kusema alitongozwa yule hasan kuomba msamaha mbele ya ngurutu ndo tuliponzekaa
Halafu yule jamaa alikua sifa sana kuna siku katukuta kwenye foleni ya msosi kaanza kutupiga na kofia aseee kofia inauma !!!
 
Back
Top Bottom