T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,934
- 30,093
Hahaha.....wewe jamaa bhanaukiona manyoya ujue kashaliwa na kisa chake nawaletea ivi punde
Nasubiria hicho kisa cha cocastic kuliwa kimasihara
Mkuu Prince Mhando ulikuta yaliyomo yamo?
Hahaha.....wewe jamaa bhanaukiona manyoya ujue kashaliwa na kisa chake nawaletea ivi punde
Kama kumbukumbu zangu ziko vizuri hii kama uliihadithia huko juu mwanzoni mwanzoni, unless umeamua kuirudia. Ila it's a good oneHatariiii Sana
Haya mambo ni hatariiii Sana wakuuu soma hiyo..............
Mwaka 2000 mwezi wa 12 nilikuwa natoka Mtwara kuja Dar, wakati huo mvua tayari ilikuwa imeshaanza kunyesha so barabara ilikuwa mbovu sana. Lakini mwisho wa siku tulikuja kukwama Rufiji mtoni wakati huo hakuna daraja, mto umefurika so pantoni haiwezi kufanya kazi kwa namna ile. Ilikuwa saa kumi na mbili hivi jioni niliangalia mandhari ya pale nikajisemea tu 'Bora kufa nimesimama kuliko kufa kihoro nimelala' navuka na mtumbwi potelea mbali.
Hakuna aliyenisapoti miongoni mwa abiria wenzangu but kuna kabinti kakawa kanasita sita abaki au aungane nami!! Jamaa wa mtumbwi alipokuja naona na binti ananishika shati, ananiambia tutakufa wote but hapa siwezi kulala katu.
Tukavukia upande wa pili, ambapo maji yalijaa karibu na Ikwiriri so tulienda kwa miguu tu na bahati mbaya kufika pale hakuna mabasi ya kwenda Dar isipokuwa ni pazuri kuliko pale mtoni tulikotoka.
Tulipata kagesti fulani hivi tukalala hapo, nilikatafuna kale kabinti bila bughudha usiku kucha! Kesho yake saa kumi na mbili tupo garini kwenda Dar na hatukuwahi kuonana wala kuwasiliana tena.

Mkuu 2018 nlikuwa mujibu 822kj.. tulivyoenda Shabaha nilikuwa target namba moja,yani ile ilikuwa kama imepinda hivi na unaona kabisa imepinda lakini anamuuliza mkuu anakwambia,"kwahiyo unategemea adui atajiweka hapo mbele akwambie haya niue"😃😃.we fala kumbe ulikuwa KO ulishindwa Nini kujiunga na kwata la kimyakimya au singe. Nyie ndo siku ya kulenga shabaha mlikuwa mnaua mijusi tu hulengi hata moja.
Ni sahihii hiiki kisaa kishawah simuliwaa huko juuuKama kumbukumbu zangu ziko vizuri hii kama uliihadithia huko juu mwanzoni mwanzoni, unless umeamua kuirudia. Ila it's a good one![]()

sasa cjajuwaa ndio yeye muhusikaa au kacopy na kupaste,,,,ukiona manyoya ujue kashaliwa na kisa chake nawaletea ivi punde





usisahau kuni tag bas babee, ili nijionee kumbukumbu ilivyokua.Hebu andika haraka babeee angu,au nisikiandike kisa chetu mchumba...



Hahaha.....wewe jamaa bhana
Nasubiria hicho kisa cha cocastic kuliwa kimasihara
Mkuu Prince Mhando ulikuta yaliyomo yamo?









khaaaaaah.Mkuu 2018 nlikuwa mujibu 822kj.. tulivyoenda Shabaha nilikuwa target namba moja,yani ile ilikuwa kama imepinda hivi na unaona kabisa imepinda lakini anamuuliza mkuu anakwambia,"kwahiyo unategemea adui atajiweka hapo mbele akwambie haya niue".
Mpaka tunamaliza ile kitu details zaidi ya 40 haikupigwa na mtu.Lakini mule katikati watu wanapigiana kinoma,unakuta kidada hakina hata nguvu ya kubeba mashine et kimepiga tatu![]()












nimekumbuka mbali Mgambo JKT, kabuku woiiiiiiiih.Ni sahihii hiiki kisaa kishawah simuliwaa huko juuusasa cjajuwaa ndio yeye muhusikaa au kacopy na kupaste,,,,

boss hizi kumbukumbu tungezitumia shuleni tungekuwa ma-TO
YAMO....yani mtoto ni kama hajaguswa kuna mnato wa haja...nisimalize uhondo subiri kisa kinakujaHahaha.....wewe jamaa bhana
Nasubiria hicho kisa cha cocastic kuliwa kimasihara
Mkuu Prince Mhando ulikuta yaliyomo yamo?
haaahaaa...nitakutagi mchumba...maana kuna wanga humu wanakuletea nuksi nataka niwazibe midomo..wasiuchuulie pouausisahau kuni tag bas babee, ili nijionee kumbukumbu ilivyokua.
Nasubiri kisa chakosema chochote
, hahaaa,let mkuu nasikia kana sauti nzur haka katotoYAMO....yani mtoto ni kama hajaguswa kuna mnato wa haja...nisimalize uhondo subiri kisa kinakuja
YAMO....yani mtoto ni kama hajaguswa kuna mnato wa haja...nisimalize uhondo subiri kisa kinakuja









Ndyoooooh babeeee ake,haaahaaa...nitakutagi mchumba...maana kuna wanga humu wanakuletea nuksi nataka niwazibe midomo..wasiuchuulie poua



, hahaaa,let mkuu nasikia kana sauti nzur haka katoto





wee umesikia wapi?,,humu humu,Kuna mdau alifunguka amemis saut yakowee umesikia wapi?
Hebu tafuta niione kwan lol.,,humu humu,Kuna mdau alifunguka amemis saut yako





,sikumbuki ni Uzi upi,Hebu tafuta niione kwan lol.![]()