Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Afande Chacha, hatari, chaula, mayai, daaaah Mambo ya shamba dunia kwa msanga,
Mabio Hadi majani mapana jirani na kabuku
Kylikuwa kuna zoezi la kupandishiana mapaja begani .... mnawekeana mapaja na demu wala hudindishi hata kufikiria ujinga hamna unachowaza ni kupata upenyo wa kwenda kulala
 
Kylikuwa kuna zoezi la kupandishiana mapaja begani .... mnawekeana mapaja na demu wala hudindishi hata kufikiria ujinga hamna unachowaza ni kupata upenyo wa kwenda kulala
Haya maswal sio poa mnakua like man to man
 
Kwa msanga.

Genda genda shamba moja matata,
Miaka ya 2014 kurudi nyuma hapo 835 KJ kozi zilikuwa sio za kitoto kiasi kwamba hamna hata muda wa kudindisha,

Nashangaa sana kusikia eti watu mlikuwa mnahamu ya mapenzi, sisi ilikuwa ukipata upenyo unachowaza ni kulala tu

Kanole hakuwa na ujinga wa kulea kuruti kizembe hivo
Nimemkumbuka captain mberenje jamaa anakupa mateso ya kisaikolojia mpaka ukikutana nae unampkimbia
Kabisa man nyege kuruti unazitoa wapi, mimi 2014 nikipata chance nilikua nawaza kulala tu, sikuwahi hata kutongoza yani.
 
Kwa msanga.

Genda genda shamba moja matata,
Miaka ya 2014 kurudi nyuma hapo 835 KJ kozi zilikuwa sio za kitoto kiasi kwamba hamna hata muda wa kudindisha,

Nashangaa sana kusikia eti watu mlikuwa mnahamu ya mapenzi, sisi ilikuwa ukipata upenyo unachowaza ni kulala tu

Kanole hakuwa na ujinga wa kulea kuruti kizembe hivo
Nimemkumbuka captain mberenje jamaa anakupa mateso ya kisaikolojia mpaka ukikutana nae unampkimbia
 
Kwa msanga.

Genda genda shamba moja matata,
Miaka ya 2014 kurudi nyuma hapo 835 KJ kozi zilikuwa sio za kitoto kiasi kwamba hamna hata muda wa kudindisha,

Nashangaa sana kusikia eti watu mlikuwa mnahamu ya mapenzi, sisi ilikuwa ukipata upenyo unachowaza ni kulala tu 😀

Kanole hakuwa na ujinga wa kulea kuruti kizembe hivo
Nimemkumbuka captain mberenje jamaa anakupa mateso ya kisaikolojia mpaka ukikutana nae unampkimbia
Inatofautiana na mnavyolelewa...... Me 2018 tu hapo mkuu io kudindisha haikuwepo hadi siku moja nikajiuliza hivi nna mda gani sijadinda,maana ilifika mda hadi nshasahau nikajua uanaume umekwenda hivo😃😃.Ilibidi hiyo siku niibe mda nikaoge nkastua na nyeto kabisa nikakuta mzigo unapoga kazi vizuri tu
Yani vizigo vizigo mda unaopumzika ni kwenye msosi.Kitendo cha kuambiwa haya nawapa tano watu washasinzia na japo unaweza sinsia kwa dakika tatu lakini ukiamshwa ni kama umelala masaa matatu😂😂😂
 
Huyo nae mchepuko gan babe anasafr hapewi taarifa
,madereva unawajua au unawasikia,anaweza kukwambia yupo dar kumbe yupo border,ukifanya ziara ya kushitukuza ndo unakutana na baharia mwingine mlangoni akikusubiri
 
Na huko Yanga,? Mmefukuza kabwili mbna fei toto yupo bado? Au kisa basha wao mkoko tonombe katoka?

Huko yanga wachezaji wengi ni wanageuzana, na kabwili alitaka kuwalipua wote mkaona mumpoze na chochote kitu, hahahah

Yanga mnalo hiloooo.
FB_IMG_16467717786227102.jpg
 
Na huko Yanga,? Mmefukuza kabwili mbna fei toto yupo bado? Au kisa basha wao mkoko tonombe katoka?

Huko yanga wachezaji wengi ni wanageuzana, na kabwili alitaka kuwalipua wote mkaona mumpoze na chochote kitu, hahahah

Yanga mnalo hiloooo.
Mukoko umejuaje kama basha wao au na wewe ulikuwa kwenye chain?
 
Back
Top Bottom