OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 5,139
- 12,882
Kylikuwa kuna zoezi la kupandishiana mapaja begani .... mnawekeana mapaja na demu wala hudindishi hata kufikiria ujinga hamna unachowaza ni kupata upenyo wa kwenda kulalaAfande Chacha, hatari, chaula, mayai, daaaah Mambo ya shamba dunia kwa msanga,
Mabio Hadi majani mapana jirani na kabuku



