Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kwa msanga.

Genda genda shamba moja matata,
Miaka ya 2014 kurudi nyuma hapo 835 KJ kozi zilikuwa sio za kitoto kiasi kwamba hamna hata muda wa kudindisha,

Nashangaa sana kusikia eti watu mlikuwa mnahamu ya mapenzi, sisi ilikuwa ukipata upenyo unachowaza ni kulala tu [emoji3]

Kanole hakuwa na ujinga wa kulea kuruti kizembe hivo
Nimemkumbuka captain mberenje jamaa anakupa mateso ya kisaikolojia mpaka ukikutana nae unampkimbia
OP muungano,afande kanole anasema" Sisi hatuwatengenezi kuwa wa mujibu wa sheria,ila tunawatengeneza kama askari wa akina,likitokea la kutokea si tuna no.zenu tunawakurupua tu"..Nikiwasimulia sekeseke la mgambo mujibu wa sasa hvi wanahisi ni movie au nawapiga kamba,

Kulikuwa na luten mmoja wa kike mzuri kinyama sijui alikuwa anaitwa nani?,Yule captain sikuwa kumuona kuonyesha kuridhishwa hata siku moja,akija utasikia kuruti ndo kitu gni mnafanya....daaa
 
OP muungano,afande kanole anasema" Sisi hatuwatengenezi kuwa wa mujibu wa sheria,ila tunawatengeneza kama askari wa akina,likitokea la kutokea si tuna no.zenu tunawakurupua tu"..Nikiwasimulia sekeseke la mgambo mujibu wa sasa hvi wanahisi ni movie au nawapiga kamba,

Kulikuwa na luten mmoja wa kike mzuri kinyama sijui alikuwa anaitwa nani?,Yule captain sikuwa kumuona kuonyesha kuridhishwa hata siku moja,akija utasikia kuruti ndo kitu gni mnafanya....daaa
Kanole alikuwa Kauzuu balaaa yani sisi tumepiga passout tumerudi bado akaendelea kutaka kuttukimbiza kimbiza mabio yasioeleweka.. Kuna afande kutoka Kigoma jamaa ni Tall giant kinoma siku hiyo tupo mabio yupo na sisi hapo hatujui kama ni CO mpya kesho yake mkesha hakuna kulala mapema sana tukaanza kula shumbwela balaa.. Huyo matroni namkumbuka sema jina ndo nimemsahau alikuwa anatembea na Kasevice girl flani ni Pisi moja ya kwenda.
 
Kanole alikuwa Kauzuu balaaa yani sisi tumepiga passout tumerudi bado akaendelea kutaka kuttukimbiza kimbiza mabio yasioeleweka.. Kuna afande kutoka Kigoma jamaa ni Tall giant kinoma siku hiyo tupo mabio yupo na sisi hapo hatujui kama ni CO mpya kesho yake mkesha hakuna kulala mapema sana tukaanza kula shumbwela balaa.. Huyo matroni namkumbuka sema jina ndo nimemsahau alikuwa anatembea na Kasevice girl flani ni Pisi moja ya kwenda.
Unaongelea OP kikwete na huyo luten ni Mpume , Huyo aliyetoka Bulombola anaitwa Meja James.Huyo alitutesa sana , siku ya kwanza alitulisha doso uwanja wa damu kisa kuna mtu aliitika hovyo ruti ya mabio ilipotaka kuanza.
 
Unaongelea OP kikwete na huyo luten ni Mpume , Huyo aliyetoka Bulombola anaitwa Meja James.Huyo alitutesa sana , siku ya kwanza alitulisha doso uwanja wa damu kisa kuna mtu aliitika hovyo ruti ya mabio ilipotaka kuanza.
James yaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwana ana sauti akisema Ngurutu kikosi kizima mnasikiaaa. James alipenda ngurutu sio kanole nyie alitupa shuruba yule mzeee balaaa
 
Back
Top Bottom