Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mwaka fulani kuelekea sikukuu ya Pasaka, msimu kama huu nilikuwa narudi kutokea Tanga kurudi Dar es Salaam.

Kwa kuwa safari ilikuwa ya ghafla nikajisogeza stendi ya Mabasi pale Segera, ili kupanda basi zinzotoka Tanga au Kilimanjaro. Nafika pale nakuta abiria wengi, nikaamua kumcheki jamaa yangu wakala wa tiketi ananiambia mabasi mengi yamekodiwa na shule hivyo usafiri ni mgumu.

Nikiwa natafakari akaniambia kuna basi linakuja lina limebeba wanafunzi lakini lina siti mbili kama nipo tayari kuvumilia kelele za wanafunzi basi anifanyie mpango, ikabidi nikubaliane naye.

Basi ikafika Segera, nikajisogeza ili nipande na konda akanielekeza nikae siti namba tano, kufika nakuta dada mmoja amekaa kwenye siti namba sita. Nikamsalimu na kukaa.
Baada ya muda akaanza kuongea na wanafunzi waliokaa jirani akiuliza wale wanaoshuka vituop vya njiani tofauti na ubungo waandike majina. Kufikia hapo nikajua hapa aidha nimekaa na mwalimu anayesindikiza wanafunzi ama matron.

Nikamtania kidogo '' madam leo una kazi kubwa kuhakikisha kila mtoto anafika kwake salama?'' Madam akacheka na kusema yaani hapa napokea simu za wazazi kila mara...''

Kutokea hapa stori zikaanza; na safari ikawa nyepesi kiasi maana madam alikuwa ananipa kampani kwa kiwango cha juu.

Tukafika sehemu ya kula chakula, madam akanipa kazi ya kuangalia watoto wa kiume wakitoka vyooni wote waingie ndani ya mgahawa ili aweze kuwaona maana magari yalikuwa mengi sana eneo la chakula.
Nikafanya jukumu langu vizuri kisha tukakaa ili kuagiza chakula, kiufupi nami nikawa kama mwalimu kwenye msafara.

Tumebeba chakula ndani ya gari tukaanza kula, hapa sasa ndio nikaanza kuwa na mawazo ya kishetani maana madam alijiweka kwa namna ya kunigeukia huku akiwa ameshikilia vyakula na tukawa tunakula kama tumefahamiana miaka miwili.

Safari ikawa inaendelea baadhi ya wanafunzi wakawa wanashuka njiani na hatimaye tukaingia Ubungo ambapo wanafunzi wengi walishuka hapo na kuchukuliwa na wazazi na ndugu zao.
Baada ya madam kuwa ameshatick majina yake yote ya wanafunzi, mimi nikiwa pembeni bila hata kujua nasubiria nini, akanifuata na kuniambia ana ndugu mitaa ya Tabata ila hataki kwenda kulala nyumbani kwa mtu.
Baada ya majadiliano na yeye kukataa kwenda kulala kwangu baada ya kumkaribisha, basi akasema nimtafutie hotel nzuri mitaa ya Kariakoo, alikuwa ana mpango wa kununua vitu kadhaa hapo kariakoo.

Kwa kuwa nilikuwa naishi Ilala miaka hiyo haikuwa shida kupata hotel nzuri na kumpeleka huyu madam ili apumzike. Nikamfikisha hotel moja nzuri mtaa fulani karibu kabisa na Msimbazi na mimi nikaaga kuwa naenda kwangu ili nikapumzike.
Madam akaniambia ''urudi baadaye ili twende kula RISSA''. Hapa nikaona sasa madam anataka urafiki na mimi.

Majira ya saa moja hivi nikawasili hotelini ili kuondoka na bibie kwenda RISSA pale Lumumba kwa ajili ya chakula. Nikafika room na kugonga,mlango ukafunguliwa na kukaribishwa. Namkuta amevaa pajama na tshirt, nikasogea na kukaa kwenye kochi lililokuwa humo ndani.

Madam akasema anahisi amechoka hivyo ataagiza chakula kutoka kwenye bar na restaurant ya hapo hotelini, nikaona nitoe wazo kuwa kwa nini tusiende kula hapo hapo restaurant ambayo likuwa ghorofa ya saba. Binti akakubali na tukaenda restaurant kula.

Huko restaurant tukajiachia kama wapenzi yaani, na kuwa pale restaurant watu wengi walikuwa wawili wawili basi tukatembea humo humo kwenye mahaba. Ikawa ni mwendo wa kucheka na kumsifia sana nikaona binti analewa sifa.

Tumekula na kupiga stori kuja kuangalia saa ni saa nne na robo, madam akasema huu muda wa kulala sasa, twende kulala.

Hakuna swali lilifuata zaidi ya mimi kuinuka na kumshika mkono huku tukielekea kwenye lift ili kurudi chumbani.

Tulipofika chumbani ilikuwa ni kujirusha kitandani, mpapaso wa dakika kadhaa, tukatoana nguo na tunda likaliwa bila hata kutongoza.

Tukaamka asubuhi na mechi ikaendelea................
Bora umeokoa uzi, make makuruta walishaanza kuuangamiza hawa
 
Hahaa mkiwatukana kuruti ndio mnawapa morali waacheni had wachoke watarudi kwenye mada
 
Ilikuwa kzi rahisi Sana , thanks mam and papa for the looks yu gave me ila nahisi kama mimi ndo nilikuwa kimasikhara
 
Kuna afande alikuwa anaitwa Kessy wa F coy Yule aliyejimwagia ndoo ya maji, kuna afande alikuwa anaitwa Chuga alikuwa kule shambani kwa msanga yaani usiporudi na kuni anakukamata pale shuleni,
Kuna kiafande kilikuwa kinaitwa Mlozi cha E coy kilikuwa kina Mambo ya hovyo sana.
Kuna Mzee mmoja alikuwa Ni staff sajenti jicho lake moja kama halioni vizuri hivi alikuwa anatoa doso hatari pale getini.
Wapiiii afande kayange mwenye mapengooooooo haaahaaaa.
Wapi RSM MATANDA Mzee wa ng'ombe wa mayai.
Wapiiii RSM kikotiiiiiii mzee wa makamanda makamandaaaaaa haaahaaaa
835KJ, mgamboooo
 
OP muungano,afande kanole anasema" Sisi hatuwatengenezi kuwa wa mujibu wa sheria,ila tunawatengeneza kama askari wa akina,likitokea la kutokea si tuna no.zenu tunawakurupua tu"..Nikiwasimulia sekeseke la mgambo mujibu wa sasa hvi wanahisi ni movie au nawapiga kamba,

Kulikuwa na luten mmoja wa kike mzuri kinyama sijui alikuwa anaitwa nani?,Yule captain sikuwa kumuona kuonyesha kuridhishwa hata siku moja,akija utasikia kuruti ndo kitu gni mnafanya....daaa
Mwanamke mzuri alikuwa ni MP alafu alikuwa analiwa na mshikaji flani wa kujitolea ambaye alikuwa doja maarufu

Maluten wote wa kike walikuwa na sura ngumu.

Kuna jamaa kipindi cha uzalendo alikuwa anavaa kiraia anapiga story na kuruti asubuhi hadi jioni lakini aiku tunafungua mafunzo nkamuona katupia sare kama za magereza ana minyota sijui zile sare ni za jeshi gani
 
Back
Top Bottom