Ulishawahi jiuliza ni kwanini wakristo waliokoka wengi wana hali ngumu za kiuchumi japokua biblia imewahidi baraka nyingi sana

Kama kinavyosema kichwa cha habari hili ni swali ambalo watu wengi wamekua wakijiuliza kwanini walokole wengi sio wote hali zao za kipato sio nzuri japokua kwenye biblia wameahidiwa baraka nyingi sana na Mungu na huku watu wanaoishi maisha yasiyompendeza Mungu wanamaisha mazuri na familia zao zinaishi vizuri

Unatakiwa uwe jasiri ili urithi ahadi za Mungu
Walokole wengi sana wanataka Mungu awaletee baraka mezani kwenye sahani huku kiuhalisia unatakiwa upiganie kisawa-sawa, baraka yeyote ile Mungu anayotaka kukupa inakipimo cha ujasiri ndani yake hutaipata kirahis rahisi lazima uwe jasiri ili uipate

Mungu hajibu maombi kama unavyotaka wewe
Wengi tunamuomba Mungu mahitaji mengi ukweli ni kwamba alishajibu kitambo ila sisi tunafeli sababu tunataka atujibu tunavyotaka ndo hapo tunafeli mfano unamuomba Mungu kuhusu ajira baada ya mda inatokea kazi ila mshahara ni laki 2 wengi wetu tunakataa ila Mungu anakua ameshakujibu tayari we unaona laki 2 ila Mungu anaona mamilioni na kutokujua hili wengi wetu tunafeli sana

Mungu anataka ufanikiwe kati-kati ya vurugu, kupingwa na kuchukiwa
Wengi wetu tunataka kufanikiwa kwenye comfort zote hiyo ndo changamoto kubwa inayotusumbua
Jambo la wewe kujua baraka ya Mungu kuja inaambatana na vurugu nyingi na magumu mfano Mungu anaweza kupa uongozi kwenye ngazi yeyote ile ila kuwa na uhakika utaibuka upinzani mkali ambao hukuutegemea kosa la wengi wetu tuna-quit ndo tunapokosea

Baraka yeyote ya ki-Mungu lazima iambatane na uchungu mkali sana mwanzoni
Mungu alimwambia eva utazaa kwa uchungu na akamwambia adamu utakula kwa uchungu; ukiangalia keyword hapo ni uchungu
Baraka yeyote kwa asilimia 99 lazima itaambatana kwa uchungu mwanzoni ndo uipate ni baraka chache sana zinaambatana na furaha mwanzoni

Unapokutana na changamoto yeyote usikimbilie kuitoa bali muombe Mungu iwe irrelevant (tafuta namna ya kuishi nayo) na baada ya hapa muombe tena Mungu akuonyeshe utajiri, heshima na utukufu wa Mungu uliopo ndani ya hiyo changamoto
Kosa kubwa sana wanalofanya watu ni kutumia nguvu kubwa kuondoa changamoto zinazowakabili jambo la wewe kufahamu changamoto yeyote ndani yake kuna utajiri, heshima na tukufu wa Mungu
Sasa unapokimbilia kuiondoa changamoto inayokukubali unapoteza hivyo vitu vitatu utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu
Ndo maana unaweza omba Mungu hitaji flani akakuletea changamoto au tatizo kumbe pasipokujua ndani ya hilo tatizo au changamoto kuna utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu
Kwa sababu wanaamini Mungu wakati Mungu hayupo.

Pia, wanaambiwa hawawezi kumtumikia Mungu na pesa, hivyo wakiamua kumtumikia Mungu wanaacha kufutilia sana mambo ya pesa.
 
Kwa sababu wanaamini Mungu wakati Mungu hayupo.

Pia, wanaambiwa hawawezi kumtumikia Mungu na pesa, hivyo wakiamua kumtumikia Mungu wanaacha kufutilia sana mambo ya pesa.
Kila mtu ana uhuru wa kuamini anachoamini
Kwako wewe Hunaamini hakuna Mungu una-uhuru huo

Sisi wengine tunaamini Mungu yupo kwa sababu tunatumia uhuru wetu
 
Sa
Kama kinavyosema kichwa cha habari hili ni swali ambalo watu wengi wamekua wakijiuliza kwanini walokole wengi sio wote hali zao za kipato sio nzuri japokua kwenye biblia wameahidiwa baraka nyingi sana na Mungu na huku watu wanaoishi maisha yasiyompendeza Mungu wanamaisha mazuri na familia zao zinaishi vizuri

Unatakiwa uwe jasiri ili urithi ahadi za Mungu
Walokole wengi sana wanataka Mungu awaletee baraka mezani kwenye sahani huku kiuhalisia unatakiwa upiganie kisawa-sawa, baraka yeyote ile Mungu anayotaka kukupa inakipimo cha ujasiri ndani yake hutaipata kirahis rahisi lazima uwe jasiri ili uipate

Mungu hajibu maombi kama unavyotaka wewe
Wengi tunamuomba Mungu mahitaji mengi ukweli ni kwamba alishajibu kitambo ila sisi tunafeli sababu tunataka atujibu tunavyotaka ndo hapo tunafeli mfano unamuomba Mungu kuhusu ajira baada ya mda inatokea kazi ila mshahara ni laki 2 wengi wetu tunakataa ila Mungu anakua ameshakujibu tayari we unaona laki 2 ila Mungu anaona mamilioni na kutokujua hili wengi wetu tunafeli sana

Mungu anataka ufanikiwe kati-kati ya vurugu, kupingwa na kuchukiwa
Wengi wetu tunataka kufanikiwa kwenye comfort zote hiyo ndo changamoto kubwa inayotusumbua
Jambo la wewe kujua baraka ya Mungu kuja inaambatana na vurugu nyingi na magumu mfano Mungu anaweza kupa uongozi kwenye ngazi yeyote ile ila kuwa na uhakika utaibuka upinzani mkali ambao hukuutegemea kosa la wengi wetu tuna-quit ndo tunapokosea

Baraka yeyote ya ki-Mungu lazima iambatane na uchungu mkali sana mwanzoni
Mungu alimwambia eva utazaa kwa uchungu na akamwambia adamu utakula kwa uchungu; ukiangalia keyword hapo ni uchungu
Baraka yeyote kwa asilimia 99 lazima itaambatana kwa uchungu mwanzoni ndo uipate ni baraka chache sana zinaambatana na furaha mwanzoni

Unapokutana na changamoto yeyote usikimbilie kuitoa bali muombe Mungu iwe irrelevant (tafuta namna ya kuishi nayo) na baada ya hapa muombe tena Mungu akuonyeshe utajiri, heshima na utukufu wa Mungu uliopo ndani ya hiyo changamoto
Kosa kubwa sana wanalofanya watu ni kutumia nguvu kubwa kuondoa changamoto zinazowakabili jambo la wewe kufahamu changamoto yeyote ndani yake kuna utajiri, heshima na tukufu wa Mungu
Sasa unapokimbilia kuiondoa changamoto inayokukubali unapoteza hivyo vitu vitatu utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu
Ndo maana unaweza omba Mungu hitaji flani akakuletea changamoto au tatizo kumbe pasipokujua ndani ya hilo tatizo au changamoto kuna utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu
Na changamoto unayoiweza kuihimili hio sio changamoto
Kwako ni changamoto mpaka pale wewe binafsi imekushinda hio ndo changamoto ninayoongolea
Sawa Mtumishi,ngoja tuendelee kujitafuta
 
Kila mtu ana uhuru wa kuamini anachoamini
Kwako wewe Hunaamini hakuna Mungu una-uhuru huo

Sisi wengine tunaamini Mungu yupo kwa sababu tunatumia uhuru wetu
Kuamini una uhuru wa kuamini unachotaka.

Unaruhusiwa kuamini kwamba ukipanda juu ghorofa ya kumi, ukajirusha, hutaumia na utapaa na kuruka kama ndege.

Lakini, ukiamini hilo, hiyo imani yako haifanyi hicho unachoamini kiwe kweli.

Kwa hivyo, imani tu haina maana, kwa sababu unaweza kuamini hata uongo.

Jambo muhimu ni hili.

Unajuaje unachoamini ni ukweli na si uongo?

Hapa mimi nipo interested na ukweli, si imani tu.

Kama uko interested na imani tu, imani ni jambo la binafsi, wala huhitaji kujadiliana na mtu hapa JF kuhusu imani yako.

Ni imani yako, ni haki yako ya kikatiba, ni haki yako ya kibinadamu, hata mimi nisiyeamini nitatetea wewe kuwa na haki yako ya kuamini unavyotaka, unajadiliana na mtu kuhusu imani yako ili iweje?

Ila, ukiwa unatafuta ukweli, hapo tunaweza kujadiliana ili kuhakiki ukweli uko wapi.
 
Kuamini una uhuru wa kuamini unachotaka.

Unaruhusiwa kuamininkwamba ukipanda juu ghorofa ya kumi, ukajirusha, hutaumia na utapaa na kuruka kama ndege.

Lakini, ukiamini hilo, hiyo imaninyako haifanyi hicho unachoamini kiwe kweli.

Kwa hivyo, imani tu haina maana, kwa sababu unaweza kuamini hata uongo.

Jambo muhimu ni hili.

Unajuaje unachoamini ninukweli na si uongo?

Hapa mimi nipo interested na ukweli, si imani tu.

Kama uko interested na imani tu, imani ni jambo la binafsi, wala huhitaji kujadiliana na mtu hapa JF kuhusu imani yako.

Ni imani yako, ni haki yako ya kikatiba, ni haki yako ya kibinadamu, unajadiliana na mtu kuhusu imani yako ili iweje?

Ila, ukiwa unatafuta ukweli, hapo tunaweza kujadiliana ili kuhakiki ukweli uko wapi.
Mfano nachoamini ni uongo wewe kwanini unateseka
Yaani kwanini unaumia au kukereka kwa maisha ya mtu aliyechagua na hayana kero yeyote kwako

Mimi kuamini kuna Mungu hakukupunguzii au kukuongezea chochote kwenye maisha yako

Siwezi poteza mda kubishana na mtu masuala ya Mungu kuwepo au kutokuwepo sina huo mda wa kupoteza
 
Mfano nachoamini ni uongo wewe kwanini unateseka
Yaani kwanini unaumia au kukereka kwa maisha ya mtu aliyechagua na hayana kero yeyote kwako

Mimi kuamini kuna Mungu hakukupunguzii au kukuongezea chochote kwenye maisha yako

Siwezi poteza mda kubishana na mtu masuala ya Mungu kuwepo au kutokuwepo sina huo mda wa kupoteza
Umemjibu vizuri kabisa bwege huyo
 
Sio kwamba anaamin hakuna mungu ,ni kweli hayupo kama yupo toa ushahidi , kwanza kama kwel angekuwepo kusingekua na hata huu mjadala.
Uzi huu hauzungumzii kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu

Mnaumia nini kwani watu wakiwa bize na Mungu?
 
Mfano nachoamini ni uongo wewe kwanini unateseka
Yaani kwanini unaumia au kukereka kwa maisha ya mtu aliyechagua na hayana kero yeyote kwako

Mimi kuamini kuna Mungu hakukupunguzii au kukuongezea chochote kwenye maisha yako

Siwezi poteza mda kubishana na mtu masuala ya Mungu kuwepo au kutokuwepo sina huo mda wa kupoteza
Kwanza kabisa, sijateseka chochote wewe kuamini uongo.

Ndiyo maana nimekuambia kwamba, hata kama mimi siamini unachoamini, nitatetea haki yako wewe kuamini unachoamini.

Sasa, kama mimi nateseka wewe kuamini unachoamini, itakuwaje niseme kwamba nitatetea haki yako ya kuamini unachoamini?

Nisichotaka ni wewe kusambaza imani yako ya uongo na kuisema hiyo kuwa ni ukweli.

Kwa sababu, kusambaza hiyo imani kama ukweli kutaweza kuniathiri hata mimi.

Ngoja nikuoe mfano ili kurahisisha kunielewa.

Tuseme wewe una imani potofu kwamba kula mavi ya mtu ni lishe nzuri, wakati tunajua kula mavi kunaleta magonjwa.

Hiyo imani yako mimi nasema sina tatizo nayo kama utajifungia kwako, ule mavi yako.

Ukishaanza kusambaza imani yako kwa wengine, ukatoka kwako nankusema kula mavi ni lishe bira, watu wale mavi, hapo unaeneza imani itakayotuletea magonjwa katika jamii, itakayotuletea kipindupindu na magonjwa mengi katika jamii, na magonjwa haya yatatapakaa.

Kwa hivyo, ni wajibu wangu kupinga imani yako potofu ukiileta katika jamii kuieneza, hata kama sina tatizo ikiwa wewe utaamini uongo mwenyewe bila kuueneza.

Una haki ya kuamini unachotaka, mimi wala sina shida na imani yako. In fact mtu akikuingilia kwenye imani yako, nitahakikisha natetea haki yako ya kuamini unachotaka.

Lakini, ukija kwenye public spehere kama JF ukahubiri imani yako, au ukawasil8ana nasi kivyovyote na kutaja imani yako, umeshajiondolea kinga ya kutetewa tu kwenye imani, umeingia katika mjadala wa kuhakiki kama imani yako ni potofu ama la.

Ili usituletee imani potofu itakayotusababishia matatizo katika jamii.
 
Kama kinavyosema kichwa cha habari hili ni swali ambalo watu wengi wamekua wakijiuliza kwanini walokole wengi sio wote hali zao za kipato sio nzuri japokua kwenye biblia wameahidiwa baraka nyingi sana na Mungu na huku watu wanaoishi maisha yasiyompendeza Mungu wanamaisha mazuri na familia zao zinaishi vizuri

Unatakiwa uwe jasiri ili urithi ahadi za Mungu
Walokole wengi sana wanataka Mungu awaletee baraka mezani kwenye sahani huku kiuhalisia unatakiwa upiganie kisawa-sawa, baraka yeyote ile Mungu anayotaka kukupa inakipimo cha ujasiri ndani yake hutaipata kirahis rahisi lazima uwe jasiri ili uipate

Mungu hajibu maombi kama unavyotaka wewe
Wengi tunamuomba Mungu mahitaji mengi ukweli ni kwamba alishajibu kitambo ila sisi tunafeli sababu tunataka atujibu tunavyotaka ndo hapo tunafeli mfano unamuomba Mungu kuhusu ajira baada ya mda inatokea kazi ila mshahara ni laki 2 wengi wetu tunakataa ila Mungu anakua ameshakujibu tayari we unaona laki 2 ila Mungu anaona mamilioni na kutokujua hili wengi wetu tunafeli sana

Mungu anataka ufanikiwe kati-kati ya vurugu, kupingwa na kuchukiwa
Wengi wetu tunataka kufanikiwa kwenye comfort zote hiyo ndo changamoto kubwa inayotusumbua
Jambo la wewe kujua baraka ya Mungu kuja inaambatana na vurugu nyingi na magumu mfano Mungu anaweza kupa uongozi kwenye ngazi yeyote ile ila kuwa na uhakika utaibuka upinzani mkali ambao hukuutegemea kosa la wengi wetu tuna-quit ndo tunapokosea

Baraka yeyote ya ki-Mungu lazima iambatane na uchungu mkali sana mwanzoni
Mungu alimwambia eva utazaa kwa uchungu na akamwambia adamu utakula kwa uchungu; ukiangalia keyword hapo ni uchungu
Baraka yeyote kwa asilimia 99 lazima itaambatana kwa uchungu mwanzoni ndo uipate ni baraka chache sana zinaambatana na furaha mwanzoni

Unapokutana na changamoto yeyote usikimbilie kuitoa bali muombe Mungu iwe irrelevant (tafuta namna ya kuishi nayo) na baada ya hapa muombe tena Mungu akuonyeshe utajiri, heshima na utukufu wa Mungu uliopo ndani ya hiyo changamoto

Kosa kubwa sana wanalofanya watu ni kutumia nguvu kubwa kuondoa changamoto zinazowakabili jambo la wewe kufahamu changamoto yeyote ndani yake kuna utajiri, heshima na tukufu wa Mungu
Sasa unapokimbilia kuiondoa changamoto inayokukubali unapoteza hivyo vitu vitatu utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu

Ndo maana unaweza omba Mungu hitaji flani akakuletea changamoto au tatizo kumbe pasipokujua ndani ya hilo tatizo au changamoto kuna utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu
Na changamoto unayoiweza kuihimili hio sio changamoto

Kwako ni changamoto mpaka pale wewe binafsi imekushinda hio ndo changamoto ninayoongolea
Kuomba pekee hakuta kupa mali unazotaka fanya kazi. Biblia imesema ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtapata. Bisheni nanyi mtafunguliwa. Mwingine asie fanya kazi na asile. Fanya kazi hakuna muujiza wa kuuokota hela
 
Unatakiwa uwe jasiri ili urithi ahadi za Mungu
Walokole wengi sana wanataka Mungu awaletee baraka mezani kwenye sahani huku kiuhalisia unatakiwa upiganie kisawa-sawa
, baraka yeyote ile Mungu anayotaka kukupa inakipimo cha ujasiri ndani yake hutaipata kirahis rahisi lazima uwe jasiri ili uipate

Mungu hajibu maombi kama unavyotaka wewe
Wengi tunamuomba Mungu mahitaji mengi ukweli ni kwamba alishajibu kitambo ila sisi tunafeli sababu tunataka atujibu tunavyotaka ndo hapo tunafeli mfano unamuomba Mungu kuhusu ajira baada ya mda inatokea kazi ila mshahara ni laki 2 wengi wetu tunakataa ila Mungu anakua ameshakujibu tayari we unaona laki 2 ila Mungu anaona mamilioni na kutokujua hili wengi wetu tunafeli sana

Mungu anataka ufanikiwe kati-kati ya vurugu, kupingwa na kuchukiwa
Wengi wetu tunataka kufanikiwa kwenye comfort zote hiyo ndo changamoto kubwa inayotusumbua
Jambo la wewe kujua baraka ya Mungu kuja inaambatana na vurugu nyingi na magumu mfano Mungu anaweza kupa uongozi kwenye ngazi yeyote ile ila kuwa na uhakika utaibuka upinzani mkali ambao hukuutegemea kosa la wengi wetu tuna-quit ndo tunapokosea
Je Makasisi na wale wengine wa madhabahuni wanapambana wapi?
 
wanawachangia wachungaji wao wajenge majumba ya kifahari na magari alafu wao wanaambiwa watasaidiwa na MUNGU
 
Je Makasisi na wale wengine wa madhabahuni wanapambana wapi?
Waulize walipitia mangapi mpaka wakawa makasisi, hilo 1, la pili usifikiri wale hawakutani na changamoto zozote!! Wana matatizo pengine makubwa kuliko hata yako ila hawayapi kipaumbele hayo matatizo kuzidi Mungu
 
Back
Top Bottom