Masikio Masikio
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,840
- 3,375
Kumekua na hii dhana kwa mda mrefu sana kwamba waafrika ni wavivu ni uongo kwa sababu zifuatazo;
Mfano kuna kada kindakindaki wa ccm anamiliki viwanda vya pombe feki na vipa fedha sana ila ukimuona kwenye media ni kuwasakama vijana ni wa vivu.
HITIMISHO
Usio watu wa hali ya chini ukasema ni wavivu wengi wao sio wote wameshakata tamaa na maisha sababu walishawahi kufanya kazi kwa bidii sana na hakuna cha maana walichopata.
Watoto wengine wamekua wakiona wazazi wao wanafanya kazi kwa bidii alafu hakuna output yeyote mtoto kama huyu huwezi mwambia utafanikiwa kwa kufanya kazi kwa bidii ni ngumu kukuelewa.
- Waafrika wengi wamekatishwa sana tamaa mfano mzuri kuna wazee wengi sana wamestaafu wako katika majuto makuu wamefanya kazi kwa uamunifu mkubwa sana lakini wanastaafu hawana kitu wanajuta wengi wanaishia kusema ninge ninge.
- Kuna miaka fulani ya nyuma nilifanya kazi kwenye kiwanda flani sitakitaja jina wale vibarua walikuwa wanapewa laki na nusu kuna watu wamefanya kazi kwa miaka hadi nane mshahara ni ule ule piga picha mtu kama huyu utamwambia tena afanye kazi kwa bidii ndo apate mafanikio hawezi kukuelewa lazima aamue kutafuta short-cut.
- Nenda kariakoo kuna wale matajiri wana magodown na store nyingine zipo kariakoo na sehemu tofauti wale vibarua wa kuchukua mizigo store na store nyingine zilizopo gorofa ya tano nyingine mpaka ya tisa na nyingi hazina lift mtu anashusha kila siku mizigo alafu mwisho wa mwezi anapewa hadi laki mtu kama huyu baadae akichukia kazi na kuwa mvivu huwezi mlaumu sababu alisha-apply rule ya kufanya kazi kwa bidii na akafeli.
- Kuna mtu namjua ni tajiri aliniambia miaka ya nyuma alikuwa anafanya magendo ambayo kwa usiku mmoja alikua anauwezo wa kuingiza hadi million 70 na alikua anauwezo wa kufanya kazi bila kuchoka au kusikia njaa sababu alikua anaingiza mamilion ya fedha; kazi yeyote yenye maslai lazima utaifanya kwa moyo.
- Connection
- Bahati/luck
- Monopoly ya baadhi ya bidhaa
- Fluke
- Biashara haramu
Mfano kuna kada kindakindaki wa ccm anamiliki viwanda vya pombe feki na vipa fedha sana ila ukimuona kwenye media ni kuwasakama vijana ni wa vivu.
HITIMISHO
Usio watu wa hali ya chini ukasema ni wavivu wengi wao sio wote wameshakata tamaa na maisha sababu walishawahi kufanya kazi kwa bidii sana na hakuna cha maana walichopata.
Watoto wengine wamekua wakiona wazazi wao wanafanya kazi kwa bidii alafu hakuna output yeyote mtoto kama huyu huwezi mwambia utafanikiwa kwa kufanya kazi kwa bidii ni ngumu kukuelewa.