Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,737
- 91,736
Alindwe kama Biden sio kama Kim Warlord.
Akili zaidi kuliko nguvu.
Akili zaidi kuliko nguvu.
ulitaka JPM alindwe kama babu yako?
ulitaka JPM alindwe kama babu yako?
Huyo ni mwanamke na ni mama mtu mzima sio sawa na mwanaume anayepiga push-ups.Gharama zote na matumizi ya ndege kubwa.Angekuwa Magufuli angetumia usafiri wa barabara na angesimama baadhi ya maeneo kukagua miradi ya maendeleo na kuongea na wananchi.Tutamkumbuka sana JPM.Aendelee kupumzika kwa amani![]()
yule kiongozi alikuwa na maadui wengi kila sehemu sasa cha ajabu nini kuwa na ulinzi wa kutosha?Mlinganisho mzuri ungeweka na lile picha la Magufuli na mabunduki yake akitokea kwenye uwanja wa Nyamagana; akienda kununua karanga za kuchemsha mitaani.
Unajitahidi sana kusafisha yasiyoweza kusafishika.
Itabidi tu wakati fulani ukubali mtu wako alikuwa na ulimbukeni, kama wako ulivyo.
Umemuona mmoja tu na sio kwamba yupo mmoja tu.
Hadi wewe mwenyewe unatoa maelezo ya wangapi, mwingine sijui alikuwa wapi!!!! Kwa Mwendazake wala usingepata shida kueleza hivi!Hapana. Kuna mmoja nimeweka screenshots mbili.
Lakini kuna mwingine tofauti na huyo, nimeiweka screeshot yake pia.
Na kuna ingine ya mwingine pia.
Kwani wengine hawana ulinzi, mbona hatuoni mabunduki yanawazunguka nje nje hata mahali yasipotakiwa kuwepo.yule kiongozi alikuwa na maadui wengi kila sehemu sasa cha ajabu nini kuwa na ulinzi wa kutosha?
Hakuna ulimbukeni kwenye swala la ulinzi wa kiongzi wa nchi.
Hao raia wamebebelea mabunduki makubwa hawana hata bullet proofs.Watakufa kizembe.Mengi yalizungumzwa kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli. Wengi wakakosoa kwamba analindwa na maaskari wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi huku wameshikilia mabunduki makubwa.
Ni viongozi wengi tu duniani hulindwa hivyo. Hata Rais wa Marekani hulindwa na wanausalama wenye mabunduki makubwa na wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi.
Hao huitwa Counter Assault Team. Hao ndo wapiganaji ikitokea Rais anashambuliwa kwa silaha. Wale wanaovaa suti kazi yao si kupigana na adui. Kazi yao ni kuhakikisha rais yuko salama kwa kumkinga [taking the bullet for the president] au kumuondosha kwenye eneo lenye hatari.
Leo Rais Samia katua kwenye uwanja wa ndege Dar.
Chini naweka video. Lakini kabla yake, naweka screenshots za video zinazoonyesha hao watu wa counter assault walikuwepo na mabunduki yao.
Kuna watu walishaanza kusema eti Rais Samia hana walinzi kama hao kama ilivyokuwa kwa Magufuli.
Pia, Rais huwa hajipangii ulinzi wale mwenyewe. Ulinzi wake hupangwa na wataalamu kulingana na vigezo vingi ikiwemo eneo alipo, hali ya usalama wa eneo kwa ujumla, na mambo mengineyo.
Ona huyu na huo mbunduki wake:
View attachment 1742313
View attachment 1742314
Huyu pia ni mwingine akiwa pembezoni kidogo.
View attachment 1742316
Video hii hapa;
Hahahaaaa tanga tanga tuondoke kijana wanguHao raia wamebebelea mabunduki makubwa hawana hata bullet proofs.Watakufa kizembe.
Hahahaaaa tanga tanga tuondoke kijana wangu
sawa mzee wa medani.Mengi yalizungumzwa kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli. Wengi wakakosoa kwamba analindwa na maaskari wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi huku wameshikilia mabunduki makubwa.
Ni viongozi wengi tu duniani hulindwa hivyo. Hata Rais wa Marekani hulindwa na wanausalama wenye mabunduki makubwa na wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi.
Hao huitwa Counter Assault Team. Hao ndo wapiganaji ikitokea Rais anashambuliwa kwa silaha. Wale wanaovaa suti kazi yao si kupigana na adui. Kazi yao ni kuhakikisha rais yuko salama kwa kumkinga [taking the bullet for the president] au kumuondosha kwenye eneo lenye hatari.
Leo Rais Samia katua kwenye uwanja wa ndege Dar.
Chini naweka video. Lakini kabla yake, naweka screenshots za video zinazoonyesha hao watu wa counter assault walikuwepo na mabunduki yao.
Kuna watu walishaanza kusema eti Rais Samia hana walinzi kama hao kama ilivyokuwa kwa Magufuli.
Pia, Rais huwa hajipangii ulinzi wale mwenyewe. Ulinzi wake hupangwa na wataalamu kulingana na vigezo vingi ikiwemo eneo alipo, hali ya usalama wa eneo kwa ujumla, na mambo mengineyo.
Ona huyu na huo mbunduki wake:
View attachment 1742313
View attachment 1742314
Huyu pia ni mwingine akiwa pembezoni kidogo.
View attachment 1742316
Video hii hapa;
Sidhani Kama umeelewa uzi! Ipo hivi Kuna watu humu walikuwa wakiusema vibaya ulinzi wa hayati haswa hao jamaa wenye mitutu!,alipoingia rais Samia kwa Mara ya kwanza alikuwa akionekana na ulinzi wa kawaida I mean hao ambao hawana mitutu.. wakaanza kusifu na kumsema vibaya hayati na Kama ulifatilia hata jana ktk hotuba ya mbowe aliligusia swala hili la hayati kuwa na ulinzi ule!Ulitakwa alindwe na kigoma cha kizaramo au? Mbona ulinzi wa kawaida kabisa huo kama wa bashite tu
Fatilia nilichoandika utaelewa zaidi.Sasa mkuu kwa akili yako unataka amiri jeshi mkuu alindwe na silaha gani? Naomba unipe jibu
Yaani ulinganishe ulinzi wa Samia na ule wa Magufuli? Linganisha ulinzi wa Magufuli na wa Saddam Hussein.Jiwe alisemwa sana juu ya wale walinzi wake wenye mitutu huku wakisema mama hana ulinzi wa namna hiyo!
Ktk moja ya uzi humu nilikomenti ya kuwa waache fikra hizo hii inamaana ulinzi wa rais umebadilika lkn watanzania wengi bado hawajabadilika kukubaliana na hilo...