Ulinzi wa Rais Samia alipotua Dar leo

Ulinzi wa Rais Samia alipotua Dar leo

Yaani ulinganishe ulinzi wa Samia na ule wa Magufuli? Linganisha ulinzi wa Magufuli na wa Saddam Hussein.
Naona tena mmeanza kubadili mbinu na mafananisho..🤣🤣
Kweli la kusemwa lazima liwepo tu na watu hawajawahi kukosa neno.
 
Wewe ni mwimba mapambio tu wa magu... Unapambana kumringanisha mama na dikteta.

Katika tawala zooote ....ni hii miaka 6 pekee watu wa kawaida tumeweza kujua kumbe kuna kitu inaitwa tiss.

Kazi ya magu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe alisemwa sana juu ya wale walinzi wake wenye mitutu huku wakisema mama hana ulinzi wa namna hiyo!...
Mbowe jana nae kalizungumza ilo kwa upande wa Hayati naye anaamini eti ao ni wanajeshi wa nchi nyingine...
 
Mbowe jana nae kalizungumza ilo kwa upande wa Hayati naye anaamini eti ao ni wanajeshi wa nchi nyingine...
Ha ha! Ni kawaida ktk michezo ya kisiasa mkuu hata yeye akija kushika hiyo nyadhifa utamuona nao ila kwasasa kwakuwa mtu anaweza kuchukua kama semeleo!

Nilijifunza kuwaelewa wanasiasa toka 2015 pale nilipoona chadema kumkubali mamvi na kumpa heshima pana! Lkn mamvi tena akatorokea alikukuwako! Wachache wataelewa jinsi hawa wanasiasa wanavyocheza.

Humu ukilisema hili utaitwa hivi kesho ukija hivi utaitwa vile so kubali kuitwa yote lkn ukifahamu uelekeo wako inatosha.
 
nimeoma msafara jana kuelekea airport nikabaki nacheka tu[emoji23][emoji23].
 
Back
Top Bottom