Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,352
- 22,958
Hata kama si. Ulinzi wa mbwembwe hauokoi maisha. Kinachotakiwa ni umakini na kupunguza uaduiKwani hapa tunajadili ufufuo wake? We vipi wewe!!!
Odhis *
Hata kama si. Ulinzi wa mbwembwe hauokoi maisha. Kinachotakiwa ni umakini na kupunguza uaduiKwani hapa tunajadili ufufuo wake? We vipi wewe!!!
🖕toka zako
Achana na mipumbavu, si ilikuwa inasema hao ni maaskari wa Rwanda? Kumbe ni wa Mbweni
Hizo sio petty issues! Miradi mikubwa ya maendeleo inayogharimu kiasi kikubwa cha fedha na yenye maslahi kwa nchi huwezi kutelekeza kwa watendaji wachache wa serikali na kuwaamini 100% kama wewe ni rais mzalendo! Tunayo experience kubwa ya namna nchi ilivyoongozwa kwa hayo mawazo yako ya 'rais ana majukumu mengi muhimu' mwisho wa siku ndio yale ya ufisadi na ziara za nje zisizo na tija kwa viongozi huku fedha za miradi zikitumika hovyo! Kazi ya rais ni kuwatumikia wananchi na kuwa mfano kwa viongozi wengine.sio kuishi kiboss boss kupanda midege na kutumia ofisi kutanua hali ya kuwa nchi ni masikini.kiongozi bora hujishusha na kuwa karibu na wananchi wake ikibidi kuishi nao ili kujua uhalisia wa maisha yao.Raisi ana majukumu mengi muhimu kuliko kupoteza muda barabarani kufanya maigizo na 'wanyonge' ambayo hayana faida yoyote kwa nchi.
Hayo ya barabarani ni mambo madogo ya kumalizwa na ma dc,ndiyo maana ya delegation of duties. Siyo sahihi raisi kushughulika na petty issues!
Wengine walidai kuwa na warwanda eti..!! Jaman BongoMengi yalizungumzwa kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli. Wengi wakakosoa kwamba analindwa na maaskari wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi huku wameshikilia mabunduki makubwa.
Ni viongozi wengi tu duniani hulindwa hivyo. Hata Rais wa Marekani hulindwa na wanausalama wenye mabunduki makubwa na wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi.
Hao huitwa Counter Assault Team. Hao ndo wapiganaji ikitokea Rais anashambuliwa kwa silaha. Wale wanaovaa suti kazi yao si kupigana na adui. Kazi yao ni kuhakikisha rais yuko salama kwa kumkinga [taking the bullet for the president] au kumuondosha kwenye eneo lenye hatari.
Leo Rais Samia katua kwenye uwanja wa ndege Dar.
Chini naweka video. Lakini kabla yake, naweka screenshots za video zinazoonyesha hao watu wa counter assault walikuwepo na mabunduki yao.
Kuna watu walishaanza kusema eti Rais Samia hana walinzi kama hao kama ilivyokuwa kwa Magufuli.
Pia, Rais huwa hajipangii ulinzi wale mwenyewe. Ulinzi wake hupangwa na wataalamu kulingana na vigezo vingi ikiwemo eneo alipo, hali ya usalama wa eneo kwa ujumla, na mambo mengineyo.
Ona huyu na huo mbunduki wake:
View attachment 1742313
View attachment 1742314
Huyu pia ni mwingine akiwa pembezoni kidogo.
View attachment 1742316
Video hii hapa;
.Twende na ukweli kulindwa hivyo moyoni unajiskia fahari sema tu mnabisha🚶🚶🚶
Hata mimi kwa Hilo napingana nao,kwa lugha rahisi nakutetea.Mimi namchukia Samia?
Really?
hatuna bando we mbeba mabox mnataka kujifanya hali mbaya ya huku mnaijua kuliko sisi,pumbavu to mavideo yako tuko freebasics.comSiyo mmoja! Huna macho?
Hamjaona ulinzi kama wa Magufuli? Hata wiki tatu hajamaliza.
Mkuu hujazingatia maeneo katika picha yako..!! Hiyo picha ya Mama Samia yuko eneo la Ikulu Dodoma, ata Jiwe tuliwah kumuona yuko pekeake juu ya mawe akipunga upepo, so chukua picha ya Mama akiwa maeneo ya wazi hasa mtaani na watu kibao.Magufuli unaweza fikiri kuwa yupo vitani!
View attachment 1742380View attachment 1742382View attachment 1742383
Ni mmoja tu. Mpaka sasa hatujaona Ulinzi kama wa Magufuli
Usioonekana unamaanisha waganga au?Rais analindwa na ulinzi unaoonekana na ulinzi usioonekana
Mungu aendelee kumtunza na kumlinda rais wetu
Usioonekana unamaanisha waganga au?
Ulinzi ni muhimu kwa kiongozi lakini ule wa jamaa ulikuwa umezidi kaaaa!!!na kulikuwa ni kuwatesa wananchi tu alipokuwa anasafiri kwa gari mfano toka DAR-DODOMA!!!kuna siku moja nilikutana na msafara huo, ki ukweli ilikuwa ni kutesa wasafiri tu!!!
Mimi mwenyewe unavo msifia mwenda zake kwa kutokufata katiba na Sheria, kuhatarisha usalama na umoja wa nchi, kuharibu uchumi na uwekezaji na kushangaa kwa kweli maana hata kulinganisha uchumi wa awamu yake na kikwete kuanzia uwekezaji na Mambo ya ajira ni mbingu na nchikama unausifia utawala wa JK....nina nini cha kujadili na wewe?![]()