Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,816
Ni mmoja tuu. Mpaka sasa hatujaona Ulinzi kama wa Magufuli
ulitaka JPM alindwe kama babu yako?
Ni mmoja tuu. Mpaka sasa hatujaona Ulinzi kama wa Magufuli
Wewe umeongea na wana ccm wote na kuona baadhi hawataki?Huyo uliyezungumshia ktk picha za screen shots, mimi naona ni kama huyo huyo mtu mmoja ktk position tofauti tofauti...
Anyway it doesn't matter.
And it's normal kwa Rais kulindwa na kuhakikisha usalama wake, though kwa Mwendazake it was too much. Ni kama vile alikuwa haamini ktk Mungu..
Na huyu mama (in my opinion) anapaswa kuongezewa ulinzi zaidi kwa sbb baadhi wahafidhina wa CCM hawataki na hawakutaka ashike madaraka haya baada ya Mwendazake kwenda zake...
So likely, they can do anything to harm Madam President Samia Suluhu Hassan...
🤣🤣ulitaka JPM alindwe kama babu yako?
Mengi yalizungumzwa kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli. Wengi wakakosoa kwamba analindwa na maaskari wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi huku wameshikilia mabunduki makubwa.
Ni viongozi wengi tu duniani hulindwa hivyo. Hata Rais wa Marekani hulindwa na wanausalama wenye mabunduki makubwa na wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi.
Hao huitwa Counter Assault Team. Hao ndo wapiganaji ikitokea Rais anashambuliwa kwa silaha. Wale wanaovaa suti kazi yao si kupigana na adui. Kazi yao ni kuhakikisha rais yuko salama kwa kumkinga [taking the bullet for the president] au kumuondosha kwenye eneo lenye hatari.
Leo Rais Samia katua kwenye uwanja wa ndege Dar.
Chini naweka video. Lakini kabla yake, naweka screenshots za video zinazoonyesha hao watu wa counter assault walikuwepo na mabunduki yao.
Kuna watu walishaanza kusema eti Rais Samia hana walinzi kama hao kama ilivyokuwa kwa Magufuli.
Pia, Rais huwa hajipangii ulinzi wale mwenyewe. Ulinzi wake hupangwa na wataalamu kulingana na vigezo vingi ikiwemo eneo alipo, hali ya usalama wa eneo kwa ujumla, na mambo mengineyo.
Ona huyu na huo mbunduki wake:
View attachment 1742313
View attachment 1742314
Huyu pia ni mwingine akiwa pembezoni kidogo.
View attachment 1742316
Video hii hapa;
Mengi yalizungumzwa kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli. Wengi wakakosoa kwamba analindwa na maaskari wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi huku wameshikilia mabunduki makubwa.
Ni viongozi wengi tu duniani hulindwa hivyo. Hata Rais wa Marekani hulindwa na wanausalama wenye mabunduki makubwa na wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi.
Hao huitwa Counter Assault Team. Hao ndo wapiganaji ikitokea Rais anashambuliwa kwa silaha. Wale wanaovaa suti kazi yao si kupigana na adui. Kazi yao ni kuhakikisha rais yuko salama kwa kumkinga [taking the bullet for the president] au kumuondosha kwenye eneo lenye hatari.
Leo Rais Samia katua kwenye uwanja wa ndege Dar.
Chini naweka video. Lakini kabla yake, naweka screenshots za video zinazoonyesha hao watu wa counter assault walikuwepo na mabunduki yao.
Kuna watu walishaanza kusema eti Rais Samia hana walinzi kama hao kama ilivyokuwa kwa Magufuli.
Pia, Rais huwa hajipangii ulinzi wale mwenyewe. Ulinzi wake hupangwa na wataalamu kulingana na vigezo vingi ikiwemo eneo alipo, hali ya usalama wa eneo kwa ujumla, na mambo mengineyo.
Ona huyu na huo mbunduki wake:
View attachment 1742313
View attachment 1742314
Huyu pia ni mwingine akiwa pembezoni kidogo.
View attachment 1742316
Video hii hapa;
sasa mbona ule wa kuonekana wa jpm watu walikua wanatoka povu?Rais analindwa na ulinzi unaoonekana na ulinzi usioonekana
Mungu aendelee kumtunza na kumlinda rais wetu
Anatuaminisha wapi wacha majunguu mama wawatu kapoa sanaUlinzi wake si jukumu lake kupanga hakuna Rais yeyote anaelindwa na manati hata Papa analindwa na Bunduki itakuwa huyu anaetaka kutuamisha yeye ni bora na simple kuliko aliyepita?
Nafikiria waboreshe zaidi Intelligencia ya ndani kuliko huku public. It appears like maadui wapo ndani kuliko huku nje. Haiwezekani Rais anaondoka/lewa kirahisi vile
Siyo mmoja! Huna macho?
Hamjaona ulinzi kama wa Magufuli? Hata wiki tatu hajamaliza.
Endelea kumkumbuka na hatarudi tena kisha usipende kumlinganisha mama na hayati hawafanani na hawatafanana huyo aliyetembea kwa gari kafanya nini kipya zaidi ya deni la taifa kuongezeka kwa kasi ndani ya miaka 6 kuzidi Mkapa na Jakaya waliokaa miaka 10 MadarakaniGharama zote na matumizi ya ndege kubwa.Angekuwa Magufuli angetumia usafiri wa barabara na angesimama baadhi ya maeneo kukagua miradi ya maendeleo na kuongea na wananchi.Tutamkumbuka sana JPM.Aendelee kupumzika kwa amani![]()
Gharama zote na matumizi ya ndege kubwa.Angekuwa Magufuli angetumia usafiri wa barabara na angesimama baadhi ya maeneo kukagua miradi ya maendeleo na kuongea na wananchi.Tutamkumbuka sana JPM.Aendelee kupumzika kwa amani![]()
Yaani mtoa mada ni limbukeni?Mlinganisho mzuri ungeweka na lile picha la Magufuli na mabunduki yake akitokea kwenye uwanja wa Nyamagana; akienda kununua karanga za kuchemsha mitaani.
Unajitahidi sana kusafisha yasiyoweza kusafishika.
Itabidi tu wakati fulani ukubali mtu wako alikuwa na ulimbukeni, kama wako ulivyo.
Mazingira ya Afrika yamebadilika sasa. Yale mambo ya kupindua nchi au kuua marais kwa risasi yamepungua sana. Magufuli aliweka walinzi wa kuogofya na wako very aggressive kwa umati wa watu lakini akapuuza kujilinda na virus. Kilichomwondoa siyo shambulio la bundiki bali ni virus!Mtahamisha sana magoli.
Sikuwa na chuki naye kama mtu...Uliona kwa Magufuli ilikuwa ni too much kwa sababu ulikuwa na chuki dhidi yake.
Ukiyaona kwa Rais Samia utaona ni poa tu, kwa sababu labda bado hujaanza kumchukia.
Chuki hughubika akili.
Jiwe is gone forever msitake mama afanane naye hao ni watu wawili tofauti, na sijui kwanini unasema aruhusu baya sijui ufisadi blah blah, hamtaki hata waja tumpongeze, I believe mama Samia hata feliLakini anaweza kuwa Rais poa kabisa, akawa poa kwa kila mtu nchini na nje ya nchi
akiruhusu kila mfanya baya, ufisadi, cartel, wahujumu uchumi wote wakawa rafiki zake...atahitaji ulinzi wa nini?
Kusema rais asiwe na ulinzi ni sawa na kusema ni Rais Poa
sasa najua na nina uhakika 99% ya wafuata mkumbo humu, ant-JPM hamtafaidika na hayo makundi
Itoshe kusema effect ya JPM kuziba mianya ya kula hela, itaendelea tu kuwaumiza...na kila mnapokosa hela lazima mtamkumbuka mwamba, kamanda, jiwe, mzee wa maamuzi.
Mwamba kalala, kafanya wajibu wake kwa uaminifu
Mengi yalizungumzwa kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli. Wengi wakakosoa kwamba analindwa na maaskari wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi huku wameshikilia mabunduki makubwa.
Ni viongozi wengi tu duniani hulindwa hivyo. Hata Rais wa Marekani hulindwa na wanausalama wenye mabunduki makubwa na wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi.
Hao huitwa Counter Assault Team. Hao ndo wapiganaji ikitokea Rais anashambuliwa kwa silaha. Wale wanaovaa suti kazi yao si kupigana na adui. Kazi yao ni kuhakikisha rais yuko salama kwa kumkinga [taking the bullet for the president] au kumuondosha kwenye eneo lenye hatari.
Leo Rais Samia katua kwenye uwanja wa ndege Dar.
Chini naweka video. Lakini kabla yake, naweka screenshots za video zinazoonyesha hao watu wa counter assault walikuwepo na mabunduki yao.
Kuna watu walishaanza kusema eti Rais Samia hana walinzi kama hao kama ilivyokuwa kwa Magufuli.
Pia, Rais huwa hajipangii ulinzi wale mwenyewe. Ulinzi wake hupangwa na wataalamu kulingana na vigezo vingi ikiwemo eneo alipo, hali ya usalama wa eneo kwa ujumla, na mambo mengineyo.
Ona huyu na huo mbunduki wake:
View attachment 1742313
View attachment 1742314
Huyu pia ni mwingine akiwa pembezoni kidogo.
View attachment 1742316
Video hii hapa;
Kuhusu kuziba mianya ya kupiga fedha hata mimi nakubali kuwa alifanya vizuri sana. Tatizo ni kwamba alikuwa na weaknesses nyingine ambazo ziliondoa hayo mazuri yake yote. Mimi huwa nakiri hata kama ni mambo ya uzalendo alikuwa mzalendo kweli kweli. Hayo makandokando mengine ndiyo yalifanya hata yale mazuri yasionekane na watu wengi.Lakini anaweza kuwa Rais poa kabisa, akawa poa kwa kila mtu nchini na nje ya nchi
akiruhusu kila mfanya baya, ufisadi, cartel, wahujumu uchumi wote wakawa rafiki zake...atahitaji ulinzi wa nini?
Kusema rais asiwe na ulinzi ni sawa na kusema ni Rais Poa
sasa najua na nina uhakika 99% ya wafuata mkumbo humu, ant-JPM hamtafaidika na hayo makundi
Itoshe kusema effect ya JPM kuziba mianya ya kula hela, itaendelea tu kuwaumiza...na kila mnapokosa hela lazima mtamkumbuka mwamba, kamanda, jiwe, mzee wa maamuzi.
Mwamba kalala, kafanya wajibu wake kwa uaminifu