CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,915
- 3,475
She is down to earth and humble person.
Mengi yalizungumzwa kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli. Wengi wakakosoa kwamba analindwa na maaskari wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi huku wameshikilia mabunduki makubwa.
Ni viongozi wengi tu duniani hulindwa hivyo. Hata Rais wa Marekani hulindwa na wanausalama wenye mabunduki makubwa na wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi.
Hao huitwa Counter Assault Team. Hao ndo wapiganaji ikitokea Rais anashambuliwa kwa silaha. Wale wanaovaa suti kazi yao si kupigana na adui. Kazi yao ni kuhakikisha rais yuko salama kwa kumkinga [taking the bullet for the president] au kumuondosha kwenye eneo lenye hatari.
Leo Rais Samia katua kwenye uwanja wa ndege Dar.
Chini naweka video. Lakini kabla yake, naweka screenshots za video zinazoonyesha hao watu wa counter assault walikuwepo na mabunduki yao.
Kuna watu walishaanza kusema eti Rais Samia hana walinzi kama hao kama ilivyokuwa kwa Magufuli.
Pia, Rais huwa hajipangii ulinzi wale mwenyewe. Ulinzi wake hupangwa na wataalamu kulingana na vigezo vingi ikiwemo eneo alipo, hali ya usalama wa eneo kwa ujumla, na mambo mengineyo.
Ona huyu na huo mbunduki wake:
View attachment 1742313
View attachment 1742314
Huyu pia ni mwingine akiwa pembezoni kidogo.
View attachment 1742316
Video hii hapa;
Ndio habari muda huu🤣🤣Simbaaaaaaaa
Mengi yalizungumzwa kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli. Wengi wakakosoa kwamba analindwa na maaskari wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi huku wameshikilia mabunduki makubwa.
Ni viongozi wengi tu duniani hulindwa hivyo. Hata Rais wa Marekani hulindwa na wanausalama wenye mabunduki makubwa na wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi.
Hao huitwa Counter Assault Team. Hao ndo wapiganaji ikitokea Rais anashambuliwa kwa silaha. Wale wanaovaa suti kazi yao si kupigana na adui. Kazi yao ni kuhakikisha rais yuko salama kwa kumkinga [taking the bullet for the president] au kumuondosha kwenye eneo lenye hatari.
Leo Rais Samia katua kwenye uwanja wa ndege Dar.
Chini naweka video. Lakini kabla yake, naweka screenshots za video zinazoonyesha hao watu wa counter assault walikuwepo na mabunduki yao.
Kuna watu walishaanza kusema eti Rais Samia hana walinzi kama hao kama ilivyokuwa kwa Magufuli.
Pia, Rais huwa hajipangii ulinzi wale mwenyewe. Ulinzi wake hupangwa na wataalamu kulingana na vigezo vingi ikiwemo eneo alipo, hali ya usalama wa eneo kwa ujumla, na mambo mengineyo.
Ona huyu na huo mbunduki wake:
View attachment 1742313
View attachment 1742314
Huyu pia ni mwingine akiwa pembezoni kidogo.
View attachment 1742316
Video hii hapa;
Mlinganisho mzuri ungeweka na lile picha la Magufuli na mabunduki yake akitokea kwenye uwanja wa Nyamagana; akienda kununua karanga za kuchemsha mitaani.Ona huyu na huo mbunduki wake
Olewa mumeo akupe hela za bando.We mbeba boksi bando limepanda Bei...
Kumiliki Gb moja Ni anasa...
Uliona kwa Magufuli ilikuwa ni too much kwa sababu ulikuwa na chuki dhidi yake.It's OK, only if those are security procedures & protocols..
Hata hivyo kwa Mwendazake it was too much. Nadhani hofu ya kivuli cha "mabeberu" ilikuwa inamtesa sana hata kujiona hayuko salama muda wote...
I don't know how did they succeed to fix him despite such tense security...
Inakuuma eeeh.. ndio imeshakuwa hivyo subiri mchakato wa katiba ya Chadema uanze mkataze.Mambo mengine haya mlinzi na hijabbu. Hata Khaddafi mwarabu yalimshinda kwa walinzi wake wale wadada wakati mwengine wakipiga kappelo.
Uyu mama aongezewe ulinzi, sina imani kabisa na wasukuma, siunaona uyu msukuma tayari ameshaanza kuhoji ulinzi wa Rais wetu, ana jambo Huyu na kundi lakeHuyo uliyezungumshia ktk picha za screen shots, mimi naona ni kama huyo huyo mtu mmoja ktk position tofauti tofauti...
Anyway it doesn't matter.
And it's normal kwa Rais kulindwa na kuhakikisha usalama wake, though kwa Mwendazake it was too much. Ni kama vile alikuwa haamini ktk Mungu..
Na huyu mama (in my opinion) anapaswa kuongezewa ulinzi zaidi kwa sbb baadhi wahafidhina wa CCM hawataki na hawakutaka ashike madaraka haya baada ya Mwendazake kwenda zake...
So likely, they can do anything to harm Madam President Samia Suluhu Hassan...
Inakuuma eeeh.. ndio imeshakuwa hivyo subiri mchakato wa katiba ya Chadema uanze mkataze.
mtaweuka mwaka huu watani zangu wasukuma, mkubari tu zama zenu zishaisha, Sikh ya j4 Dotto jems nae byebye, nafasi yake anapewa msiedhaniaUliona kwa Magufuli ilikuwa ni too much kwa sababu ulikuwa na chuki dhidi yake.
Ukiyaona kwa Rais Samia utaona ni poa tu, kwa sababu labda bado hujaanza kumchukia.
Chuki hughubika akili.
Unaambiwa "sniper" yupo umbali wa zaidi ya mita elfu tano anatungua mtu kirahisi.Nafikiria waboreshe zaidi Intelligencia ya ndani kuliko huku public. It appears like maadui wapo ndani kuliko huku nje. Haiwezekani Rais anaondoka/lewa kirahisi vile
Kuvaa hijabu ni tatizo? Au nini ambacho sijaelewa?Mbona JK kikwete alikuwa na walinzi wa Dada na walikuwa hawavai hijabu?
Mengi yalizungumzwa kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli. Wengi wakakosoa kwamba analindwa na maaskari wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi huku wameshikilia mabunduki makubwa.
Ni viongozi wengi tu duniani hulindwa hivyo. Hata Rais wa Marekani hulindwa na wanausalama wenye mabunduki makubwa na wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi.
Hao huitwa Counter Assault Team. Hao ndo wapiganaji ikitokea Rais anashambuliwa kwa silaha. Wale wanaovaa suti kazi yao si kupigana na adui. Kazi yao ni kuhakikisha rais yuko salama kwa kumkinga [taking the bullet for the president] au kumuondosha kwenye eneo lenye hatari.
Leo Rais Samia katua kwenye uwanja wa ndege Dar.
Chini naweka video. Lakini kabla yake, naweka screenshots za video zinazoonyesha hao watu wa counter assault walikuwepo na mabunduki yao.
Kuna watu walishaanza kusema eti Rais Samia hana walinzi kama hao kama ilivyokuwa kwa Magufuli.
Pia, Rais huwa hajipangii ulinzi wale mwenyewe. Ulinzi wake hupangwa na wataalamu kulingana na vigezo vingi ikiwemo eneo alipo, hali ya usalama wa eneo kwa ujumla, na mambo mengineyo.
Ona huyu na huo mbunduki wake:
View attachment 1742313
View attachment 1742314
Huyu pia ni mwingine akiwa pembezoni kidogo.
View attachment 1742316
Video hii hapa;
Kuvaa hijabu ni tatizo? Au nini ambacho sijaelewa?