Jiwe alisemwa sana juu ya wale walinzi wake wenye mitutu huku wakisema mama hana ulinzi wa namna hiyo!
Ktk moja ya uzi humu nilikomenti ya kuwa waache fikra hizo hii inamaana ulinzi wa rais umebadilika lkn watanzania wengi bado hawajabadilika kukubaliana na hilo!.
Wanataka marais waliopita na wasasa wawe na ulinzi uleule kitu ambacho ni very lisk maana hata adui kila siku nae huwa anabadilika!.
Mama akiwa anarejea kutoka Uganda walinzi wa aina ileile waliokuwa wakisemwa vibaya wakati wa hayati wameonekana wakiwa na mama pia video hii hapa.
Haya wale wasemaji waliokuwa wakinena mara hivi mara vile nafikiri ni muda wa kulifunga hili na kufanya vyengine.
Ulikuwa hujui kuwa kuna TISS? Basi wewe ni kula kulala mkuu!Wewe ni mwimba mapambio tu wa magu... Unapambana kumringanisha mama na dikteta...
Katika tawala zooote ....ni hii miaka 6 pekee watu wa kawaida tumeweza kujua kumbe kuna kitu inaitwa tiss..
Kazi ya magu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna shida, hicho ndio nimejifunza kwa diktetaUlikuwa hujui kuwa kuna TISS? Basi wewe ni kula kulala mkuu!
Nimemkubali Diwani DG wa Tiss wala hajashobokea kwa nidham ya uwoga kama kunengeJiwe alisemwa sana juu ya wale walinzi wake wenye mitutu huku wakisema mama hana ulinzi wa namna hiyo!
Ktk moja ya uzi humu nilikomenti ya kuwa waache fikra hizo hii inamaana ulinzi wa rais umebadilika lkn watanzania wengi bado hawajabadilika kukubaliana na hilo!
Wanataka marais waliopita na wasasa wawe na ulinzi uleule kitu ambacho ni very lisk maana hata adui kila siku nae huwa anabadilika!.
Mama akiwa anarejea kutoka Uganda walinzi wa aina ileile waliokuwa wakisemwa vibaya wakati wa hayati wameonekana wakiwa na mama pia video hii hapa.
Haya wale wasemaji waliokuwa wakinena mara hivi mara vile nafikiri ni muda wa kulifunga hili na kufanya vyengine.
Una macho makini sanaJiwe alisemwa sana juu ya wale walinzi wake wenye mitutu huku wakisema mama hana ulinzi wa namna hiyo!
Ktk moja ya uzi humu nilikomenti ya kuwa waache fikra hizo hii inamaana ulinzi wa rais umebadilika lkn watanzania wengi bado hawajabadilika kukubaliana na hilo!
Wanataka marais waliopita na wasasa wawe na ulinzi uleule kitu ambacho ni very lisk maana hata adui kila siku nae huwa anabadilika!.
Mama akiwa anarejea kutoka Uganda walinzi wa aina ileile waliokuwa wakisemwa vibaya wakati wa hayati wameonekana wakiwa na mama pia video hii hapa.
Haya wale wasemaji waliokuwa wakinena mara hivi mara vile nafikiri ni muda wa kulifunga hili na kufanya vyengine.
Bashite alizdi kipimo kiongozi kuna Siku kakatiza hapa ubungo magari kama 100 hiviUlitakwa alindwe na kigoma cha kizaramo au? Mbona ulinzi wa kawaida kabisa huo kama wa bashite tu
Jiwe alisemwa sana juu ya wale walinzi wake wenye mitutu huku wakisema mama hana ulinzi wa namna hiyo!
Ktk moja ya uzi humu nilikomenti ya kuwa waache fikra hizo hii inamaana ulinzi wa rais umebadilika lkn watanzania wengi bado hawajabadilika kukubaliana na hilo!
Wanataka marais waliopita na wasasa wawe na ulinzi uleule kitu ambacho ni very lisk maana hata adui kila siku nae huwa anabadilika!.
Mama akiwa anarejea kutoka Uganda walinzi wa aina ileile waliokuwa wakisemwa vibaya wakati wa hayati wameonekana wakiwa na mama pia video hii hapa.
Haya wale wasemaji waliokuwa wakinena mara hivi mara vile nafikiri ni muda wa kulifunga hili na kufanya vyengine.
Ameenda peke yake vyote vimebaki. MUNGU fundi.Na helikopta mbili angani
Unamfananisha shujaa wa Afrika nzima na nani mkuu?. Huyu wa sasa hawezi vita ya uchumi, yeye ni mtu wa ku compromise kila kitu.Jiwe alisemwa sana juu ya wale walinzi wake wenye mitutu huku wakisema mama hana ulinzi wa namna hiyo!
Ktk moja ya uzi humu nilikomenti ya kuwa waache fikra hizo hii inamaana ulinzi wa rais umebadilika lkn watanzania wengi bado hawajabadilika kukubaliana na hilo!
Wanataka marais waliopita na wasasa wawe na ulinzi uleule kitu ambacho ni very lisk maana hata adui kila siku nae huwa anabadilika!.
Mama akiwa anarejea kutoka Uganda walinzi wa aina ileile waliokuwa wakisemwa vibaya wakati wa hayati wameonekana wakiwa na mama pia video hii hapa.
Haya wale wasemaji waliokuwa wakinena mara hivi mara vile nafikiri ni muda wa kulifunga hili na kufanya vyengine.
Hivi una akili timamu wewe? Unafanana na yale matoto majingajinga yanayolia hovyo hovyo hata kuku akidonoa chakula chake!Sidhani Kama umeelewa uzi! Ipo hivi Kuna watu humu walikuwa wakiusema vibaya ulinzi wa hayati haswa hao jamaa wenye mitutu!,alipoingia rais Samia kwa Mara ya kwanza alikuwa akionekana na ulinzi wa kawaida I mean hao ambao hawana mitutu.. wakaanza kusifu na kumsema vibaya hayati na Kama ulifatilia hata jana ktk hotuba ya mbowe aliligusia swala hili la hayati kuwa na ulinzi ule!
Sasa mama pia ambae alikuwa anaonekana anaulinzi smart Sasa nae anaowalinzi walewale wenye mitutu! Sasa napo waseme.. watu hawataki kukubaliana na mabadiliko haya ya safu ya ulinzi wa rais ilifika kipindi wakaanza kuzusha kuwa ni wakutoka nchi za nje!!!
Watanzania tunamtindo wa kuzusha mambo hata Kama hatuna hakika.
Binafsi sikuwahi kuwa na shaka na ulinzi huu isipokuwa nilichokuwa najua ni kwamba ulinzi wa rais unaprotokali zake inapobidi kuwepo hao jamaa basi watakuwepo na pale ambapo haibidi basi hawata kuwepo.
Hivyo Basi kwakuwa mama pia ameonekana kuwa na ulinzi huo sasa tufunge mjadala na kukubaliana na mabadiliko haya ya ulinzi wa rais maana wao mpk kufanya hivyo ndio wanaojua hali yao ya kwanini wafanye hivyo na sio sisi waonaji tu.