FungukaAkaunti yangu inazidi mbali hizo miamia, hebu eleweka!
Nikutilie ngapi chap
FungukaAkaunti yangu inazidi mbali hizo miamia, hebu eleweka!
Nakutaka wewe uniwekeeWatakuja wakuwekee picha endelea kusubiri
njoo unipopoe
Ongeza 0 nne mbele mzee kipi kihindi hapo?Funguka
Nikutilie ngapi chap
Kwahiyo Wahangaza kuna siku watarudi Rwanda?
20000Ongeza 0 nne mbele mzee kipi kihindi hapo?
🙄Nakutaka wewe uniwekee
Ulipata ngapi hesabu?20000
Msamehe, hajui alitendalo🤣
Level ipi?Ulipata ngapi hesabu?
Stray question—nilikusudia kumuuliza mtoa hoja. Sijui swali lilipoteaje njia. Nalihamisha!😁You tell me!
Waha watarudi Burundi.
Wamasai na waluo Kenya.
Watu wakiwa nchini kihalali na kuwa naturalized wanahaki zote kama raia mwingine yeyote regardless of their background. Naona hili ni somo gumu sana kwa wamatumbi kulielewa.
UlipoishiaLevel ipi?
niliishia darasa la saba b, hakukuwa na somo la hesabu.Ulipoishia
You tell me!
Waha watarudi Burundi.
Wamasai na waluo Kenya.
Watu wakiwa nchini kihalali na kuwa naturalized wanahaki zote kama raia mwingine yeyote regardless of their background. Naona hili ni somo gumu sana kwa wamatumbi kulielewa.
Hakuna mhangaza au mnyarwanda aliezaliwa na kukulia bongo akataka kwenda Rwanda, Nina jamaa zangu wengi sana nimesoma nao primary, secondary hadi vyuoni wenye asili ya Rwanda na wahangaza, wanyambo hakuna wanaotaka kua wanyarwanda, wengi hawataki kukusikia huko mnakosema kwao. Asili yao ni kule lakini kwao ni bongoland na wala lugha ya kule hawaijui zaidi ya kiswahili. Tusibaguane wote ni wamoja, hii mipaka iliwekwa na wakoloni tu wandugu.You tell me!
Waha watarudi Burundi.
Wamasai na waluo Kenya.
Watu wakiwa nchini kihalali na kuwa naturalized wanahaki zote kama raia mwingine yeyote regardless of their background. Naona hili ni somo gumu sana kwa wamatumbi kulielewa.
Sawa poleniliishia darasa la saba b, hakukuwa na somo la hesabu.
Hakuna mhangaza au mnyarwanda aliezaliwa na kukulia bongo akataka kwenda Rwanda, Nina jamaa zangu wengi sana nimesoma nao primary, secondary hadi vyuoni wenye asili ya Rwanda na wahangaza, wanyambo hakuna wanaotaka kua wanyarwanda, wengi hawataki kukusikia huko mnakosema kwao. Asili yao ni kule lakini kwao ni bongoland na wala lugha ya kule hawaijui zaidi ya kiswahili. Tusibaguane wote ni wamoja, hii mipaka iliwekwa na wakoloni tu wandugu.
Stray question—nilikusudia kumuuliza mtoa hoja. Sijui swali lilipoteaje njia. Nalihamisha!😁