Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

Natanguliza samahani kwa nitakaye mkwaza.

Labda tu niwambie Tanzania kuna kitu hamjui kuhusu mtu anayeitwa mnyarwanda wale watu hata wakae miaka mia kwenu hawatawahi kuwa watanzania hata siku moja wale siku zote nchi yao iko damuni wanakaa wa sababu hawana namna sasa hivi mmewakaribisha kila mahali nida na kila kitu wanapata kwa sababu ya tabia za rushwa za watanzania.

Sasa ukitaka kujua kwamba wale rwanda iko damuni mje mjichanganye siku moja ndo ntajua kama wale ni watanzania au ni watu gani.

Kagame is very smart kuliko unavyofikiria.

Kama hamjui huwa wanawaona watazania kama wasiojielewa alafu wana umoja hatari.

Juzi tu hapa wanyarwanda wanaojiita wakongo huko nje walikuwa wanaandamana eti raisi wa kongo atoke madarakani nilicheka sana
Rwanda na hao wanyarwanda mbona wako overrated kiasi hicho?
Whats so special with them?

As far as i know its a third world country with a dictator in power!
 
chuki nyingi zinaanza na uzushi kama ulioandika, wahindi wa Tanzania walianza kuchukiwa na kuvamiwa kwa siasa za gabachori na uzawa, South Africa same shit, acha story za kichochezi
Mimi simchukii mtu na nisamehe kama nimekukwaza ila nilijaribu kuwaonya migration na Nida wamezidi kwa rushwa laiti ungejua mi ni mtu wa wapi basi usingesema nawachukia
 
h
You tell me!

Waha watarudi Burundi?

Wamasai na waluo Kenya?

Watu wakiwa nchini kihalali na kuwa naturalized wanahaki zote kama raia mwingine yeyote, regardless of their background. Naona hili ni somo gumu sana kwa wamatumbi kulielewa.
cha muhimu utaratibu ufatwe
 
Shida ni wabongo. Hizi nyuzi hazijaanza leo humu.

8/10 wabongo wanawaogopa warwanda ile mbaya. Wakisikia rwanda/Kenya tu wanaloa hadi unashangaa.
Unavuta bange?

Kama huvuti, nijaribu kukuelewesha kitu, labda utaelewa.
 
Wakati wakoloni wanagawana Africa hawakutenga kimakabila.
Kuna wanyarwanda, kuna wahima na kuna watusi! Haimaanishi kitu kile kile.
Kwa mkoa wa Kagera ukiwaondoa wahima/watusi itabid ufute 75% ya watu wote!
Hata wanaoitwa "Wakama" kama Kaitaba ni wahima!
EAC itaondoa hii kitu taratibu.
Bora tutumiane kuliko kufukuzana
Kabla hatujajunga, inatakiwa KENYA, RWANDA, BURUNDI mlete mezani nyie mna kipi cha KU-OFFER.

Hatutaki STORY za Zanzibar zijirudie.

Tunahitaji mambo ya msingii yafutayo:
  • ARDHI
  • SERA YA MAMBO YA NJE
  • URAIA
  • MFUMO WA UTAWALA.

Siyo.m kwakuwa umezaliwa kwenye hakuna hata kipande cha ARDHI, halafu unalilia EAC iwe nchi moja,

Nyerere hakuiba ARDHI ya mtu, Kemyatta kaiba zote, halafu unadhami TZ ndio kuna wajinga
 
Natanguliza samahani kwa nitakaye mkwaza.

Labda tu niwambie Tanzania kuna kitu hamjui kuhusu mtu anayeitwa mnyarwanda wale watu hata wakae miaka mia kwenu hawatawahi kuwa watanzania hata siku moja wale siku zote nchi yao iko damuni wanakaa wa sababu hawana namna sasa hivi mmewakaribisha kila mahali nida na kila kitu wanapata kwa sababu ya tabia za rushwa za watanzania.

Sasa ukitaka kujua kwamba wale rwanda iko damuni mje mjichanganye siku moja ndo ntajua kama wale ni watanzania au ni watu gani.

Kagame is very smart kuliko unavyofikiria.

Kama hamjui huwa wanawaona watazania kama wasiojielewa alafu wana umoja hatari.

Juzi tu hapa wanyarwanda wanaojiita wakongo huko nje walikuwa wanaandamana eti raisi wa kongo atoke madarakani nilicheka sana
Hiyo inaitwa "Storm in a cup of tea". Rwanda na PK wako overrated sana, hakuna mtu anataka kuwaletea tragedy kama ya 1994 ndiyo maana watu wako kimya tu. But believe me Rwanda anaweza kuwa threat kwa Burundi tu na DRC wasiojitambua.

Rwanda ilikuwako kabla ya Kagame na ataondoka na Rwanda ataiacha. Tanzania ni giant country na tumekuwa tuna absorb shocks za nchi zote majirani ambazo zinatuzunguka wanapopata political instabilities. Msiwape umaarufu kuwa eti Kagame anawatuma kutu spy!! Yeye mwenyewe kasomea Monduli CTU na kafundishwa na trainers wa Kitanzania
 
Hiyo inaitwa "Storm in a cup of tea". Rwanda na PK wako overrated sana, hakuna mtu anataka kuwaletea tragedy kama ya 1994 ndiyo maana watu wako kimya tu. But believe me Rwanda anaweza kuwa threat kwa Burundi tu na DRC wasiojitambua.

Rwanda ilikuwako kabla ya Kagame na ataondoka na Rwanda ataiacha. Tanzania ni giant country na tumekuwa tuna absorb shocks za nchi zote majirani ambazo zinatuzunguka wanapopata political instabilities. Msiwape umaarufu kuwa eti Kagame anawatuma kutu spy!! Yeye mwenyewe kasomea Monduli CTU na kafundishwa na trainers wa Kitanzania
TZ ya sasa haimuwezi hata Burundi.

Oktoba 29 ilionesha wazi.
 
Back
Top Bottom