Ukraine kuanzisha kitovu cha nafaka bandari ya Mombasa kukabiliana na uhaba wa chakula Afrika Mashariki

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Jul 24, 2021
576
1,625
Ukraine kuanzisha kitovu cha nafaka katika bandari ya Mombasa ili kukabiliana na uhaba wa chakula Afrika Mashariki, asema Rais Ruto baada ya mazungumzo na Rais Zelensky.

Haya yametokea wakati Ruto akiwa kwenye ziara nchini Marekani, ambapo alimpongeza Rais Zelensky kwa kuendelea kupambana na Urusi na kumwambia kuwa waelewe kuwa Kenya inawaunga mkono, katika mazunguzo hayo Rais Zelensky alimkaribisha Rais Ruto kutembelea Kyive, Ukraine.


379447047_189389770838031_178384353538274370_n.jpg
379707814_1117041509701689_2092844902170604899_n.jpg

 
Ukraine kuanzisha kitovu cha nafaka katika bandari ya Mombasa ili kukabiliana na uhaba wa chakula Afrika Mashariki, asema Rais Ruto baada ya mazungumzo na Rais Zelensky.

Haya yametokea wakati Ruto akiwa kwenye ziara nchini Marekani, ambapo alimpongeza Rais Zelensky kwa kuendelea kupambana na Urusi na kumwambia kuwa waelewe kuwa Kenya inawaunga mkono, katika mazunguzo hayo Rais Zelensky alimkaribisha Rais Ruto kutembelea Kyive, Ukraine.


View attachment 2755701View attachment 2755703
Kazi tunayo ila inashangaza inakuaje Nchi ya Ukraine ije kuweka Kitovu Cha nafaka Kenya wakati sisi Tanzania tupo tungeweza kuweka hicho Kitovu hapo Kunyaland?

Anyway hapa production cost ndio itaamua mteja akanunue wapi maana italeta ushindani mkubwa kwetu.
 
the way Kunyaland inajiaibisha aisee yaani ka-Ukraine kaliko kwenye vita ndo kalishe East Africa?
 
Kwamba Tanzania ina njaa kuliko Kenya....mkuu acha vituko utwchekwa.
Mimi mwenyewe nimeshangaa wakati wa KE tulikuwa tukiwauzia mpaka mahindi...

Lakini sasa hizo ndio takwimu, na bila shaka zimefanywa na watu waliofanya intensive research!!

Lakini, yawezekana hizo takwimu ni mahususi kwa kipindi flani, labda!!
 
Back
Top Bottom