johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,984
- 142,002
Rais Ruto wa Kenya ametangaza kufuta mpango wa kubinafsisha Bandari ya Mombasa na amesema kamwe hatafanya hivyo katika Utawala wake
Source: Citizen TV
My take; Hii ni fursa nzuri kwa TPA na DP World kukamata Soko la Afrika Mashariki
Mlale Unono 😀😀
Source: Citizen TV
My take; Hii ni fursa nzuri kwa TPA na DP World kukamata Soko la Afrika Mashariki
Mlale Unono 😀😀