mombasa

Mombasa ( mom-BASS-ə, also US: -⁠BAH-sə) is a coastal city in southeast Kenya along the Indian Ocean. The city is known as the white and blue city in Kenya. It is the country's oldest (circa 900 AD) and second-largest city (after the capital Nairobi), with a population of about 1,208,333 people according to the 2019 census. Its metropolitan region is the second-largest in the country, and has a population of 3,528,940 people.Mombasa is a tourism-based city; it has an extra-large port and an international airport, and is an important regional tourism centre. Located on the east coast of Kenya, it also is the home of one of the state houses, and is considered by some as a second capital in all but name.
In an effort to increase tourism, in June 2018 Mombasa County Governor Hassan Joho issued a directive requiring that all buildings in the Old Town and the Central Business District be painted white with Egyptian blue trim and banning all signs from their walls or canopies. "This allows tourists to take photos," explained Transport, Infrastructure and Public Works County Executive Tawfiq Balala. "We want to be the most photographed city in Africa." The order was challenged by the Commission For Human Rights and Justice, but Judge Erick Ogolla upheld the requirement.In Mombasa County and the former Coast Province, Mombasa's situation on the Indian Ocean made it a historical trading centre, and it has been controlled by many countries because of its strategic location.

View More On Wikipedia.org
  1. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanga vs Mombasa refinery

    Based on what is happening at the moment as Dangote is trying to invest in East Africa and what followed after, Tanzania and Kenya natural rivals are embrolled into a competition to host the multibillions investment that will change the regional energy dynamics forever. At the moment kenya and...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania France to Invest KSh106 Billion in Mombasa Port Expansion Project

    Kenya is set to receive a major infrastructure boost after French shipping giant CMA CGM announced a KSh106 billion investment to expand and modernise the Port of Mombasa. The deal was unveiled during the ongoing Africa Forward Summit in Nairobi in the presence of President William Ruto and...
  3. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Dangote oil refinery: Kwa nini Tanga, Tanzania ni chaguo bora kibiashara kuliko Mombasa?

    Na George Michael Uledi Mei 11, 2026 Hivi karibuni, Rais William Ruto wa Kenya alitoa kauli iliyozua mjadala mzito baada ya kutangaza kuwa ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta ghafi cha Bilionea Aliko Dangote (Dangote Oil Refinery) unapaswa kuelekezwa jijini Tanga, nchini Tanzania...
  4. PSEUDOPODIA

    JamiiForums Tanzania Tungekuwa tuna Rais tayari angekwisha kuja na majibu ya kina kuhusu mradi wa mafuta wa Tanga , na kwanini dangote kapeleka mombasa

    Napata picha Marais makini kama Mwl Nyerere ama Rais Mkapa, kwenye suala kama hili ambalo linawagusa wananchi moja kwa moja, lazima wangetoka mbele na kutupa ufafanuzi wa kina imekuwaje.
  5. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Baada ya Ruto Kutakiwa Kutoa Maelezo Kwa nini Atangaze Mradi wa kiwanda bila Kushirikisha Tanzania,Amwambia Dangote Ahamishie Kiwanda Mombasa.

    My Take Usije Waamini Wakunya ni Moja ya watu matapeli ,wanafiki na haters wakubwa wa Tanzania. Hapa bwana Ruto ameamua kutumia Nguvu kubwa sana kumshawishi Dangote Ahamishie wazo la kujenga kiwanda Tanga kwenda Mombasa kisa alitakiwa kujibu hadharani tuhuma za kujifanya Rais wa Kenya na...
  6. Think2

    JamiiForums Tanzania Haya sasa kimenuka kiwanda cha kusafishq mafuta kujengwa Mombasa sio Tanga mapendekezo ya aliko dangote

    Siasa hadi kwenye miradi mikubwa unaposema tunawapiga mikwaju wewe kilaza ulikuwa na maana gani? Kasongo amekuingiza chaka wewe ukajilipua eti nilikuwa sijui ndio nimejua kiwanda kinataka kujengwa Tanga ushuzi kabisa Haya dangote amesema sasa mapendekezo yake ni kujenga Mombasa kenya kwasababu...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Why is Dangote leaning more towards Mombasa over Tanga? What does this mean for Tanzania?

    Africa's wealthiest industrialist now says he prefers Kenya's coast for his $17 billion oil refinery. President Samia Suluhu Hassan, by her own account, was not consulted before the project was first announced for Tanga. Aliko Dangote — the Nigerian cement-and-sugar tycoon, now widely regarded...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Dangote kishatupiga chenga Tanzania? Sasa kujenga Kenya Kiwanda cha Mafuta cha Trilioni 43. Ni baada ya kauli tata ya Rais Samia

    Mfanyabiashara tajiri zaidi barani Afrika, Aliko Dangote, ametangaza nia yake ya kuwekeza nchini Kenya kwa kujenga kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta (oil refinery) chenye uwezo wa kuchakata mapipa 650,000 kwa siku. Uamuzi huu unakuja baada ya kuwepo kwa mipango ya awali ya kujenga kiwanda...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Matonya aachiwa kwa Dhamana baada ya kukaa Gerezani siku 20 kwa tuhuma za ubakaji Mombasa

    Mwimbaji wa Tanzania Matonya ameachiwa huru kutoka gereza la Shimo La Tewa lililopo Mombasa, ambako alikuwa akishikiliwa kwa takriban siku 20 kufuatia tuhuma za ubakaji. Msanii huyo, ambaye amekanusha vikali tuhuma hizo, amepewa dhamana baada ya kutimiza masharti ya bondi ya shilingi 500,000 za...
  10. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mombasa Floods: Watu 390 wahama, Wawili kutoka Tanzania waokolewa Baharini

    Mvua kubwa zimeendelea kupiga Mombasa for the last three days, zikisababisha mafuriko makubwa across all six sub-counties including Changamwe, Jomvu, Kisauni, Likoni, Mvita na Nyali. Situation imekuwa mbaya kiasi kwamba takriban watu 390 wamelazimika kuhama makazi yao, especially maeneo ya Jomvu...
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eric Omondi Rushed to Hospital Hours After Starting Walk Nairobi to Mombasa

    Comedian and activist Eric Omondi has been rushed to hospital after suffering injuries just hours into his ambitious charity walk from Nairobi to Mombasa, a journey covering more than 480 kilometres. The walk, which is part of a fundraising campaign aimed at supporting vulnerable communities...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Waziri Balaam amesema intaneti kutopatikana Uganda ni baada ya Meli kuharibu Nyaya (fibre optic) Mombasa

    Kituo cha Televisheni cha Taifa (UBC) kimemhoji Waziri wa Nchi, Masuala ya Vijana na Watoto, Balaam Barugahara Ateenyi, kuhusu tatizo la mtandao nchini Uganda. Waziri alieleza sababu za kufungwa kwa intaneti. Waziri amesema kuwa awali, Kamisheni ya Mawasiliano ya Uganda (UCC) ilifunga intaneti...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Meli 28 ziko kwenye foleni Bandari ya Mombasa huku uhamisho kutoka Dar es Salaam ukiendelea kuongezeka

    Bandari ya Mombasa inakumbwa na msongamano usio wa kawaida wa meli, ambapo meli 28 zipo kwenye foleni huku idadi inayoongezeka ya wauzaji wa mizigo wakiamua kuhamisha huduma zao kutoka Bandari ya Dar es Salaam kutokana na msongamano na ucheleweshaji wa operesheni unaoendelea nchini Tanzania...
  14. stakehigh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mombasa itajitenga na Kenya kwenye miaka ya mbeleni

    Katika hali iso ya kawaida kuna movement ilioanza toka mwaka 2011 ya mombasa kujitenga na kenya kua nchi inaojitegemea, baadhi ya watu hawafurahii kuwepo kwa nchi moja ambayo Mombasa ipo ndan yake kutokana na sababu nyingi sana lakini kuu ni siasa za nairobi kutoshabiana na uhalisia wa aina ya...
  15. Brojust

    JamiiForums Tanzania Nyie wahuni wa KM Mombasa laana inawatafuta. Tushawajua wote ingawa mlivaa musk

    Za Leo, saa nane kasoro mchana napigiwa simu na Mama muuza chakula kwamba amepigwa chakula kimemwagwa na pia wamemtukana mbele ya watoto zake, Baadae kidogo nampigia rafiki yangu jina maarufu "Gwasuma" ananiambia walichukua majivu na kuni wakaweka kwenye sururia la makande ambayo Huwa tunanunua...
  16. Huihui2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwabili Mwagodi apatikana ametupwa pwani ya Mombasa

    "Mwabili alitupwa kichakani huko Kinondo, Kaunti ya Kwale majira ya saa 9 alfajiri, ambako alitembea takriban kilomita 3 hadi Diani. Alipowasili Diani, aliweza kuwasiliana na familia yake ambao walitufahamisha, na tukatuma maafisa wetu mara moja." Hussein Khalid "Alipokuwa Diani, Mwabili...
  17. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Ukiitoa Congo Bandari ya Dar es salaam inahudumia nchi masikini sana kiuchumi

    Ukiitoa Congo, nchi zinazo bakia ni masikini dana kiuchumi, Burundi na Malawi ziko kwemye top 5 ya nchi masikini kabisa Duniani hapa. Zambia nao kiuchumi hawako vizuri kabisa, Hao Rwanda sawa ila nao ni nch ndogo sana. Congo pekee ambaye ana mchango mkubwa kwenye Bandari ya Dar ingawa naye pia...
  18. Y

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Eneo la Wazi lililopo Shehia ya Mombasa, Magharib B linajengwa kimyakimya, Viongozi mpo kimya

    Mimi ni Mkazi wa eneo la Mchina Mwanzo katika Shehia ya Mombasa, Wilaya ya Magharib B, hapa karibu na kwetu kuna eneo la wazi ambalo limekuwa hivyo wazi kwa Miaka mingi, lakini hivi karibuni kuna ujenzi ambao unaonekana unataka kuanza na kwa tafsiri ya harakahara ni kama ‘ujenzi wa kimyakimya’...
  19. Hammer11

    JamiiForums Tanzania Godoro kutoka mombasa kuja tanga

    Wadau niko na mattress natak iende tanga niko mombasa vip naweza kusafiri nayoo sio mpya ni ya kitamboo kidogo jeee nafanyajeee ifike tanga nikawape ndugu zangu ni godoro la 5 ×6
  20. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Waandishi wa habari wa vyombo rasmi niwaombe mtembelee kuripoti mateso kwenye ofisi za NIDA Ukonga, Mombasa

    Kiukweli sijajua kama tatizo ni mfumo ama watendaji wa serikali au ni kitu gani lkn itoshe kusema hali katika ofisi za nida hapa ukonga Mombasa ni ya kuchosha, kufedhehesha na ya kukatisha tamaa. Kama hatutapaza sauti tutaendelea na huu utaratibu ambao sielewi kama kweli kama nchi tumeshindwa...
Back
Top Bottom