Putin aunga mkono uanachama kamili wa G20 na nafaka kwa Afrika

F16 Falcon

JF-Expert Member
Dec 16, 2022
750
1,632
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema anatazamia kuona Umoja wa Afrika (AU) unakuwa mwanachama kamili wa mataifa ya G20, akizungumza wakati wa kuanza kwa mkutano wa viongozi wa Afrika mjini St Petersburg.

"Tunatumai kuwa uamuzi huu utafikiwa mwanzoni mwa Septemba, wakati wa mkutano wa kilele wa G20 huko New Delhi," Bw Putin alisema.

"Kama hapo awali, Urusi iko tayari kufanya kila linalowezekana kukuza uimarishaji wa uhuru wa mataifa ya Afrika, kusaidia kuifanya Afrika kuwa moja ya washirika muhimu katika mfumo mpya wa mpangilio wa ulimwengu wa pande nyingi," aliongeza.

Akihutubia uamuzi wa Urusi kujiondoa kwenye mkataba ulioidhinishwa na Umoja wa Mataifa wa kuruhusu usafirishaji wa nafaka kutoka bandari za kusini mwa Ukraine, na hatimaye kuelekea Afrika, Bw Putin alisema kuwa Urusi inaweza kuziba pengo hilo.

Aliongeza kuwa Urusi itaweza kutoa nafaka bure kwa nchi sita za Afrika katika miezi michache ijayo.

Viongozi wachache wa Kiafrika wanashiriki katika mkutano huo ikilinganishwa na tukio la lililopita kama hilo, kufuatia uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema anatazamia kuona Umoja wa Afrika (AU) unakuwa mwanachama kamili wa mataifa ya G20, akizungumza wakati wa kuanza kwa mkutano wa viongozi wa Afrika mjini St Petersburg.

"Tunatumai kuwa uamuzi huu utafikiwa mwanzoni mwa Septemba, wakati wa mkutano wa kilele wa G20 huko New Delhi," Bw Putin alisema.

"Kama hapo awali, Urusi iko tayari kufanya kila linalowezekana kukuza uimarishaji wa uhuru wa mataifa ya Afrika, kusaidia kuifanya Afrika kuwa moja ya washirika muhimu katika mfumo mpya wa mpangilio wa ulimwengu wa pande nyingi," aliongeza.

Akihutubia uamuzi wa Urusi kujiondoa kwenye mkataba ulioidhinishwa na Umoja wa Mataifa wa kuruhusu usafirishaji wa nafaka kutoka bandari za kusini mwa Ukraine, na hatimaye kuelekea Afrika, Bw Putin alisema kuwa Urusi inaweza kuziba pengo hilo.

Aliongeza kuwa Urusi itaweza kutoa nafaka bure kwa nchi sita za Afrika katika miezi michache ijayo.

Viongozi wachache wa Kiafrika wanashiriki katika mkutano huo ikilinganishwa na tukio la lililopita kama hilo, kufuatia uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Hawa kenge walishaona Afrika ndio watu wa kudanganya na vyakula kama mbwa. Hii roho ya gafla ya huruma kwa Waafrika imetoka wapi?. Tuliona Waafrika (Ethiopia na Somalia ) wakifa njaa, mpaka tai wakawa wanakula watu. Wanamziki wa US ndio waliosaidia kuchangisha pesa za kununua vyakula. Tujiulize wakati huu Afrika ikipitia wakati mgumu Urusi alikuwa wapi!

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema anatazamia kuona Umoja wa Afrika (AU) unakuwa mwanachama kamili wa mataifa ya G20, akizungumza wakati wa kuanza kwa mkutano wa viongozi wa Afrika mjini St Petersburg.

"Tunatumai kuwa uamuzi huu utafikiwa mwanzoni mwa Septemba, wakati wa mkutano wa kilele wa G20 huko New Delhi," Bw Putin alisema.

"Kama hapo awali, Urusi iko tayari kufanya kila linalowezekana kukuza uimarishaji wa uhuru wa mataifa ya Afrika, kusaidia kuifanya Afrika kuwa moja ya washirika muhimu katika mfumo mpya wa mpangilio wa ulimwengu wa pande nyingi," aliongeza.

Akihutubia uamuzi wa Urusi kujiondoa kwenye mkataba ulioidhinishwa na Umoja wa Mataifa wa kuruhusu usafirishaji wa nafaka kutoka bandari za kusini mwa Ukraine, na hatimaye kuelekea Afrika, Bw Putin alisema kuwa Urusi inaweza kuziba pengo hilo.

Aliongeza kuwa Urusi itaweza kutoa nafaka bure kwa nchi sita za Afrika katika miezi michache ijayo.

Viongozi wachache wa Kiafrika wanashiriki katika mkutano huo ikilinganishwa na tukio la lililopita kama hilo, kufuatia uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Hii imeenda
 
Hao wanamziki waliochangisha pesa unajua mgawanyo wake? Na unajua US imejilipa mara ngapi kupitia rasilimali za Africa? Umeshasikia Urusi ikijihusisha na migogoro ya Africa ambayo hutengenezwa na westerners, halafu wanakuja kwa mlango wa nyuma kujifanya wanatoa msaada?

Jiulize mataifa yenye machafuko hao wanaitwa WAASI wanapata wapi silaha za kupambana na majeshi ya nchi husika pamoja na vikosi vya UN?


Hawa kenge walishaona Afrika ndio watu wa kudanganya na vyakula kama mbwa. Hii roho ya gafla ya huruma kwa Waafrika imetoka wapi?. Tuliona Waafrika (Ethiopia na Somalia ) wakifa njaa, mpaka tai wakawa wanakula watu. Wanamziki wa US ndio waliosaidia kuchangisha pesa za kununua vyakula. Tujiulize wakati huu Afrika ikipitia wakati mgumu Urusi alikuwa wapi!

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema anatazamia kuona Umoja wa Afrika (AU) unakuwa mwanachama kamili wa mataifa ya G20, akizungumza wakati wa kuanza kwa mkutano wa viongozi wa Afrika mjini St Petersburg.

"Tunatumai kuwa uamuzi huu utafikiwa mwanzoni mwa Septemba, wakati wa mkutano wa kilele wa G20 huko New Delhi," Bw Putin alisema.

"Kama hapo awali, Urusi iko tayari kufanya kila linalowezekana kukuza uimarishaji wa uhuru wa mataifa ya Afrika, kusaidia kuifanya Afrika kuwa moja ya washirika muhimu katika mfumo mpya wa mpangilio wa ulimwengu wa pande nyingi," aliongeza.

Akihutubia uamuzi wa Urusi kujiondoa kwenye mkataba ulioidhinishwa na Umoja wa Mataifa wa kuruhusu usafirishaji wa nafaka kutoka bandari za kusini mwa Ukraine, na hatimaye kuelekea Afrika, Bw Putin alisema kuwa Urusi inaweza kuziba pengo hilo.

Aliongeza kuwa Urusi itaweza kutoa nafaka bure kwa nchi sita za Afrika katika miezi michache ijayo.

Viongozi wachache wa Kiafrika wanashiriki katika mkutano huo ikilinganishwa na tukio la lililopita kama hilo, kufuatia uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Uanachama mpaka tubebwe na mbeleko, ina maana kwa Sasa huo umoja utaitwa G21?
 
Hawa kenge walishaona Afrika ndio watu wa kudanganya na vyakula kama mbwa. Hii roho ya gafla ya huruma kwa Waafrika imetoka wapi?. Tuliona Waafrika (Ethiopia na Somalia ) wakifa njaa, mpaka tai wakawa wanakula watu. Wanamziki wa US ndio waliosaidia kuchangisha pesa za kununua vyakula. Tujiulize wakati huu Afrika ikipitia wakati mgumu Urusi alikuwa wapi!

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kipindi hicho Russia ilikuwa sehemu ya Ussr na ilikuwa mshirika muhimu wa serikali ya ki-marxi ya Mengistu Haile Mariam aliyekuwa mtawala wa Ethiopia.
 
Hawa kenge walishaona Afrika ndio watu wa kudanganya na vyakula kama mbwa. Hii roho ya gafla ya huruma kwa Waafrika imetoka wapi?. Tuliona Waafrika (Ethiopia na Somalia ) wakifa njaa, mpaka tai wakawa wanakula watu. Wanamziki wa US ndio waliosaidia kuchangisha pesa za kununua vyakula. Tujiulize wakati huu Afrika ikipitia wakati mgumu Urusi alikuwa wapi!

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ha hahaha,misaada kutoka Urusi hapana,ila misaada + ushoga kutoka west tunaitaka.

USAID,Oxfarm,danida,finida ....
 
Hao wanamziki waliochangisha pesa unajua mgawanyo wake? Na unajua US imejilipa mara ngapi kupitia rasilimali za Africa? Umeshasikia Urusi ikijihusisha na migogoro ya Africa ambayo hutengenezwa na westerners, halafu wanakuja kwa mlango wa nyuma kujifanya wanatoa msaada?

Jiulize mataifa yenye machafuko hao wanaitwa WAASI wanapata wapi silaha za kupambana na majeshi ya nchi husika pamoja na vikosi vya UN?
Kwa kuanzia nyumbani tu, unajua uhusika wa Urusi kwenye vita vya Tanzania na Uganda? Je unajua kazi ya Wzgner kwenye nchi za Africa? Biashara za magendo za silaha za Urusi kwa nchi za Afrika na kwingineko unazijua?
Tofauti ya US na Urusi katika kuvuna rasimali za nchi nyingine ni modality tu, yote wezi na wala hawana upendo na Waafrika. Kwa sasa wezi wapya wanaoibukia ni Waarabu, Wahindi na Wachina.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema anatazamia kuona Umoja wa Afrika (AU) unakuwa mwanachama kamili wa mataifa ya G20, akizungumza wakati wa kuanza kwa mkutano wa viongozi wa Afrika mjini St Petersburg.

"Tunatumai kuwa uamuzi huu utafikiwa mwanzoni mwa Septemba, wakati wa mkutano wa kilele wa G20 huko New Delhi," Bw Putin alisema.

"Kama hapo awali, Urusi iko tayari kufanya kila linalowezekana kukuza uimarishaji wa uhuru wa mataifa ya Afrika, kusaidia kuifanya Afrika kuwa moja ya washirika muhimu katika mfumo mpya wa mpangilio wa ulimwengu wa pande nyingi," aliongeza.

Akihutubia uamuzi wa Urusi kujiondoa kwenye mkataba ulioidhinishwa na Umoja wa Mataifa wa kuruhusu usafirishaji wa nafaka kutoka bandari za kusini mwa Ukraine, na hatimaye kuelekea Afrika, Bw Putin alisema kuwa Urusi inaweza kuziba pengo hilo.

Aliongeza kuwa Urusi itaweza kutoa nafaka bure kwa nchi sita za Afrika katika miezi michache ijayo.

Viongozi wachache wa Kiafrika wanashiriki katika mkutano huo ikilinganishwa na tukio la lililopita kama hilo, kufuatia uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Ngozi nyeupe inajuwa kutudanganya ili watuibie vzr , kuwa ndan ya G20 bipa sauti ina umuhim gan ? Kwann asianze kupigia chapuo swala la AU kupewa haki sawa kwenye maoni ya pamoja kimataifa
 
Hao wanamziki waliochangisha pesa unajua mgawanyo wake? Na unajua US imejilipa mara ngapi kupitia rasilimali za Africa? Umeshasikia Urusi ikijihusisha na migogoro ya Africa ambayo hutengenezwa na westerners, halafu wanakuja kwa mlango wa nyuma kujifanya wanatoa msaada?

Jiulize mataifa yenye machafuko hao wanaitwa WAASI wanapata wapi silaha za kupambana na majeshi ya nchi husika pamoja na vikosi vya UN?
Usichaanganye mafaili , jadili mada ya wasanii wa marekan kisha ndo uje uzungumzie serikali ya marekan , hvo ni vitu viwili tofaut licha ya kuwa umekula vingi vya usa ila sijui ww umewapa nn mbali na lawama wanakuibia hlf ushaidi huna
 
Hawa kenge walishaona Afrika ndio watu wa kudanganya na vyakula kama mbwa. Hii roho ya gafla ya huruma kwa Waafrika imetoka wapi?. Tuliona Waafrika (Ethiopia na Somalia ) wakifa njaa, mpaka tai wakawa wanakula watu. Wanamziki wa US ndio waliosaidia kuchangisha pesa za kununua vyakula. Tujiulize wakati huu Afrika ikipitia wakati mgumu Urusi alikuwa wapi!

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Urusi ilikua hoi kipindi hicho,uliza eu na USA walikua wapi!?
 
Unajua Africa ikiwa mjumbe inakuwa ka kura ya veto ambayo tutaitumia kupinga baadhi ya mikataba inayoiumiza Africa
Ngozi nyeupe inajuwa kutudanganya ili watuibie vzr , kuwa ndan ya G20 bipa sauti ina umuhim gan ? Kwann asianze kupigia chapuo swala la AU kupewa haki sawa kwenye maoni ya pamoja kimataifa
 
Back
Top Bottom