Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,754
Kufuatia tukio lq mauqji ya Luteni Kanali aambaye inasadikiwa alizozana na mwendesha bajaji na kupelekea ugomvi uliogharimu maisha. Imesemwa kuwa mruhumiwa ameshatiwa nguvuni akisubiri sheris kuchukua mkondo wake
kuna vurugu zinaendelea Kawe ambapo baada ya shughuli za kuaga marehemu pale Lugalo, imesemwa vurugu hizo zinafanywa na wanajeshi hususan MP ambapo wwnatembeza kichapo kwa kila raia wanayemkuta. Hawwjali jinsia wala hali.
Je, jeshi ni DPP na Mahakama wakati huo huo? Wananchi wanaopigwa wana mchango upi kwenye tukio ambalo inasemwa marehemu alilianzisha dhidi ya dereva wa bajaji?
Ni lini wananchi watqthibitishiwa amani ndani ya nchi yao?
picha hizi zinapatikana mtandao wa X kwa mtumiaji aitwaye Fortunatus Buyobe
Vyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.
Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.
RAI
Naliomba Jeshi (JWTZ) kutoa tamko la kurekebisha huu mtanziko unaoendelea. Jeshi linalopendwa na raia haliwezi hata mara moja likawadhuru raia.
inawezekaba likaona kuomba radhi ni kujishusha, basi likemee ama lizuie askari wake kushiriki matendo yanayoumiza ama kuwaletea raia tafran
Tunashukuru JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi
Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania
kuna vurugu zinaendelea Kawe ambapo baada ya shughuli za kuaga marehemu pale Lugalo, imesemwa vurugu hizo zinafanywa na wanajeshi hususan MP ambapo wwnatembeza kichapo kwa kila raia wanayemkuta. Hawwjali jinsia wala hali.
Je, jeshi ni DPP na Mahakama wakati huo huo? Wananchi wanaopigwa wana mchango upi kwenye tukio ambalo inasemwa marehemu alilianzisha dhidi ya dereva wa bajaji?
Ni lini wananchi watqthibitishiwa amani ndani ya nchi yao?
picha hizi zinapatikana mtandao wa X kwa mtumiaji aitwaye Fortunatus Buyobe
Vyombo vyetu vya habari kama havipo ila wanaendekeza sana habari za udaku na ujinga wa kila namna. Hata kama imetokea hayo wengine hawahusiki na hayo wanayotendewa,hii nchi inaendeshwa kwa mjibu wa Katiba na sheria,watu waishi kwaku heshimiana ili Amani idumu.
Media House za Tanzania kwa kiwango kikubwa imekuwa ikifumbia macho matukio hasi yanayofanywa na serikali na vyombo vyake dhidi ya raia. Tumeona waandishi wengi wakipata teuzi ambazo ni kama rushwa za kisiasa.
RAI
Naliomba Jeshi (JWTZ) kutoa tamko la kurekebisha huu mtanziko unaoendelea. Jeshi linalopendwa na raia haliwezi hata mara moja likawadhuru raia.
inawezekaba likaona kuomba radhi ni kujishusha, basi likemee ama lizuie askari wake kushiriki matendo yanayoumiza ama kuwaletea raia tafran
Tunashukuru JamiiForums kutupatia jukwaa la kuzungumza kwa uwazi
Tuamke
Tuzinduke
Tuiponye Tanzania