Tume ya Haki za Binadamu na Bunge wachunguze tukio la wanajeshi kupiga raia Kawe. Madhara yapo

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,606
29,754
Kupitia upashanaji habari wa sisi wananchi, tumegundua kuna ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu uliofanywa na JWTZ Kambi ya Lugalo dhidi ya raia.

Siyo siri, tukio la kuuawa kwa Luteni Kanali limeacha pigo kubwa kwa familia yake, wanajeshi wenzake na serikali kupoteza asset yake muhimu.

Ukweli huo haufichi hatua ambazo jeshi la polisi wamefanya la kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa wa mauaji hayo.

Lakini, wananchi wanaoishi jirani na kambi ya Lugalo eneo la Kawe wamelipa gharama kubwa kupitia vipigo vikali vilivyotembezwa na wanaodaiwa ni MP kutoka Lugalo. Watu wameumizwa na inahofiwa wengine wamepoteza maisha kupitia tukio hilo

Haiwezekani, jambo kama hili linatokea nchini kwetu na mamlaka zinafumbia macho bila.kuchukua hatua hata ya kukemea vitendo vya wanajeshi kujitwalia sheria mkononi dhidi ya raia. Yapo matukio.kadhaa yanayoshabihiana na unyama wa wanajeshi dhidi ya raia. Tumeshuhudia video zikisambazwa za wanajeshi wetu wanavyowashuhhulikia raia wanaokutwa na mavao yafananayo.na jeshi ambayo mamlaka zetu za customs wametoza kodi na kuruhusu yauzwe madukani. Matukio ni mengi

Waziri wa Ulinzi amekaa kimya
Mkuu wa Majeshi amekaa kimya
Mkuu wa Mkoa amepiga kimya
Kikubwa zaidi Amiri Jeshi ambaye kwa mujibu wa wasaidizi wake yeye ndo kila.kitu ktk kuruhusu na kukataza naye amekaa kimya.

Tunajua kwamba, jambo hili ni chafu na dosari mbaya sana dhidi ya utawala bora. Lakini maslahi na usalama wa wananchi ni kipaumbele kikuu kikatiba na kisheria. Jeshi letu linasemwa ni la Wananchi. Je wahanga wa Kawe siyo raia wa nchi hii? Je wamevamia mipaka ya nchi hadi washughulikiwe na wanajeshi kiasi kile? Jeshi lisiige tabia ya vibaka wa panyaroad ambao wakipoteza memba wao kwenye tukio hupanga kisasi dhudi ya raia wema na hilo huanzia makabutini....

Tunayo Tume ya Haki za Binadamu ambayo inayo mamlaka ya kufuatilia ama kuchunguza matukio ya uvunjivu wa Haki za Binadamu nchini. Tunalo Bunge la Tanzania ambalo lina mamlaka ya kuunda tume kuchunguza matukio yenye athari kwa jamii. Tukio la wananchu wa Kawe kupigwa na wengine kudhurika maisha, ni baya sana.

PENDEKEZO.

  1. Tume ya Haki za Binadamu ichunguze ba kutoa ripoti kwa umma juu ya tukio la wanajeshi kuvamia raia majumbani na kuwapiga limejiri au hoax
  2. Tume ya Haki za Binadamu ituambie kiwango cha athari zilizojiri kwa raia na jeshi
  3. Mbunge wa Kawe apeleke Hoja Binafsi Bungeni ili Kamati ya Bunge iundwe kuchunguza tukio hili. Hoja ya Mbunge ihoji mamlaka ya Waziri wa Ulinzi ktk kusimamia nidhamu ya vikosi vyetu
  4. Ofisi ya Rais ya Maadili ya Viongozi ichunguze mwenendo wa viongozi wa kambi ya Lugalo kuhusu tukio hili na namna walivyoshiriki ama kudhibiti tukio la kupigwa kwa wananchi.
Nchi inayofuata utawala wa sheria, haifumbii macho mwenendo wa watumishi wake wanaojitwalia sheria mkononi
 
Kupitia upashanaji habari wa sisi wananchi, tumegundua kuna ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu uliofanywa na JWTZ Kambi ya Lugalo dhidi ya raia.

Siyo siri, tukio la kuuawa kwa Luteni Kanali limeacha pigo kubwa kwa familia yake, wanajeshi wenzake na serikali kupoteza asset yake muhimu.

Ukweli huo haufichi hatua ambazo jeshi la polisi wamefanya la kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa wa mauaji hayo.

Lakini, wananchi wanaoishi jirani na kambi ya Lugalo eneo la Kawe wamelipa gharama kubwa kupitia vipigo vikali vilivyotembezwa na wanaodaiwa ni MP kutoka Lugalo. Watu wameumizwa na inahofiwa wengine wamepoteza maisha kupitia tukio hilo

Haiwezekani, jambo kama hili linatokea nchini kwetu na mamlaka zinafumbia macho bila.kuchukua hatua hata ya kukemea vitendo vya wanajeshi kujitwalia sheria mkononi dhidi ya raia. Yapo matukio.kadhaa yanayoshabihiana na unyama wa wanajeshi dhidi ya raia. Tumeshuhudia video zikisambazwa za wanajeshi wetu wanavyowashuhhulikia raia wanaokutwa na mavao yafananayo.na jeshi ambayo mamlaka zetu za customs wametoza kodi na kuruhusu yauzwe madukani. Matukio ni mengi

Waziri wa Ulinzi amekaa kimya
Mkuu wa Majeshi amekaa kimya
Mkuu wa Mkoa amepiga kimya
Kikubwa zaidi Amiri Jeshi ambaye kwa mujibu wa wasaidizi wake yeye ndo kila.kitu ktk kuruhusu na kukataza naye amekaa kimya.

Tunajua kwamba, jambo hili ni chafu na dosari mbaya sana dhidi ya utawala bora. Lakini maslahi na usalama wa wananchi ni kipaumbele kikuu kikatiba na kisheria. Jeshi letu linasemwa ni la Wananchi. Je wahanga wa Kawe siyo raia wa nchi hii? Je wamevamia mipaka ya nchi hadi washughulikiwe na wanajeshi kiasi kile? Jeshi lisiige tabia ya vibaka wa panyaroad ambao wakipoteza memba wao kwenye tukio hupanga kisasi dhudi ya raia wema na hilo huanzia makabutini....

Tunayo Tume ya Haki za Binadamu ambayo inayo mamlaka ya kufuatilia ama kuchunguza matukio ya uvunjivu wa Haki za Binadamu nchini. Tunalo Bunge la Tanzania ambalo lina mamlaka ya kuunda tume kuchunguza matukio yenye athari kwa jamii. Tukio la wananchu wa Kawe kupigwa na wengine kudhurika maisha, ni baya sana.

PENDEKEZO.

  1. Tume ya Haki za Binadamu ichunguze ba kutoa ripoti kwa umma juu ya tukio la wanajeshi kuvamia raia majumbani na kuwapiga limejiri au hoax
  2. Tume ya Haki za Binadamu ituambie kiwango cha athari zilizojiri kwa raia na jeshi
  3. Mbunge wa Kawe apeleke Hoja Binafsi Bungeni ili Kamati ya Bunge iundwe kuchunguza tukio hili. Hoja ya Mbunge ihoji mamlaka ya Waziri wa Ulinzi ktk kusimamia nidhamu ya vikosi vyetu
  4. Ofisi ya Rais ya Maadili ya Viongozi ichunguze mwenendo wa viongozi wa kambi ya Lugalo kuhusu tukio hili na namna walivyoshiriki ama kudhibiti tukio la kupigwa kwa wananchi.
Nchi inayofuata utawala wa sheria, haifumbii macho mwenendo wa watumishi wake wanaojitwalia sheria mkononi
Umesahau mbunge wao
 
Kupitia upashanaji habari wa sisi wananchi, tumegundua kuna ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu uliofanywa na JWTZ Kambi ya Lugalo dhidi ya raia.

Siyo siri, tukio la kuuawa kwa Luteni Kanali limeacha pigo kubwa kwa familia yake, wanajeshi wenzake na serikali kupoteza asset yake muhimu.

Ukweli huo haufichi hatua ambazo jeshi la polisi wamefanya la kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa wa mauaji hayo.

Lakini, wananchi wanaoishi jirani na kambi ya Lugalo eneo la Kawe wamelipa gharama kubwa kupitia vipigo vikali vilivyotembezwa na wanaodaiwa ni MP kutoka Lugalo. Watu wameumizwa na inahofiwa wengine wamepoteza maisha kupitia tukio hilo

Haiwezekani, jambo kama hili linatokea nchini kwetu na mamlaka zinafumbia macho bila.kuchukua hatua hata ya kukemea vitendo vya wanajeshi kujitwalia sheria mkononi dhidi ya raia. Yapo matukio.kadhaa yanayoshabihiana na unyama wa wanajeshi dhidi ya raia. Tumeshuhudia video zikisambazwa za wanajeshi wetu wanavyowashuhhulikia raia wanaokutwa na mavao yafananayo.na jeshi ambayo mamlaka zetu za customs wametoza kodi na kuruhusu yauzwe madukani. Matukio ni mengi

Waziri wa Ulinzi amekaa kimya
Mkuu wa Majeshi amekaa kimya
Mkuu wa Mkoa amepiga kimya
Kikubwa zaidi Amiri Jeshi ambaye kwa mujibu wa wasaidizi wake yeye ndo kila.kitu ktk kuruhusu na kukataza naye amekaa kimya.

Tunajua kwamba, jambo hili ni chafu na dosari mbaya sana dhidi ya utawala bora. Lakini maslahi na usalama wa wananchi ni kipaumbele kikuu kikatiba na kisheria. Jeshi letu linasemwa ni la Wananchi. Je wahanga wa Kawe siyo raia wa nchi hii? Je wamevamia mipaka ya nchi hadi washughulikiwe na wanajeshi kiasi kile? Jeshi lisiige tabia ya vibaka wa panyaroad ambao wakipoteza memba wao kwenye tukio hupanga kisasi dhudi ya raia wema na hilo huanzia makabutini....

Tunayo Tume ya Haki za Binadamu ambayo inayo mamlaka ya kufuatilia ama kuchunguza matukio ya uvunjivu wa Haki za Binadamu nchini. Tunalo Bunge la Tanzania ambalo lina mamlaka ya kuunda tume kuchunguza matukio yenye athari kwa jamii. Tukio la wananchu wa Kawe kupigwa na wengine kudhurika maisha, ni baya sana.

PENDEKEZO.

  1. Tume ya Haki za Binadamu ichunguze ba kutoa ripoti kwa umma juu ya tukio la wanajeshi kuvamia raia majumbani na kuwapiga limejiri au hoax
  2. Tume ya Haki za Binadamu ituambie kiwango cha athari zilizojiri kwa raia na jeshi
  3. Mbunge wa Kawe apeleke Hoja Binafsi Bungeni ili Kamati ya Bunge iundwe kuchunguza tukio hili. Hoja ya Mbunge ihoji mamlaka ya Waziri wa Ulinzi ktk kusimamia nidhamu ya vikosi vyetu
  4. Ofisi ya Rais ya Maadili ya Viongozi ichunguze mwenendo wa viongozi wa kambi ya Lugalo kuhusu tukio hili na namna walivyoshiriki ama kudhibiti tukio la kupigwa kwa wananchi.
Nchi inayofuata utawala wa sheria, haifumbii macho mwenendo wa watumishi wake wanaojitwalia sheria mkononi
pamoja na kufanya hayo, nadhani bodaboda na bajaj pia wawe wanapekuliwa kuona kama wana visu, disibisi au mapanga. wana kiburi sana, jeuri sana huko barabarani, hawajui sheria za barabarani na ukijaribu kuwarekebisha ni wagomvi na wanajifanya wana umoja. kama kweli huyo bajaj au bodaboda alimlima mjeda disibisi, msako ufanyike tu. mtu mzima kama yule sawa na baba yako huwezi kurudisha ngumi haraka haraka hata akikupiga, sio kijana mwenzio. waanze kwanza kushughulikia hawa wavutabange wanaojifanya madereva wa bodaboda na bajaj ndio wachunguze wanajeshi.
 
pamoja na kufanya hayo, nadhani bodaboda na bajaj pia wawe wanapekuliwa kuona kama wana visu, disibisi au mapanga. wana kiburi sana, jeuri sana huko barabarani, hawajui sheria za barabarani na ukijaribu kuwarekebisha ni wagomvi na wanajifanya wana umoja. kama kweli huyo bajaj au bodaboda alimlima mjeda disibisi, msako ufanyike tu. mtu mzima kama yule sawa na baba yako huwezi kurudisha ngumi haraka haraka hata akikupiga, sio kijana mwenzio. waanze kwanza kushughulikia hawa wavutabange wanaojifanya madereva wa bodaboda na bajaj ndio wachunguze wanajeshi.
Siyo boda tu, wapo watu wanatembea na visu utadhani wawekezaji wa biashara ya machungwa
 
mimi nipo pamoja na wanajeshi. hao bodaboda na bajaj nishagombana nao sana nawajua.
 
Kupitia upashanaji habari wa sisi wananchi, tumegundua kuna ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu uliofanywa na JWTZ Kambi ya Lugalo dhidi ya raia.

Siyo siri, tukio la kuuawa kwa Luteni Kanali limeacha pigo kubwa kwa familia yake, wanajeshi wenzake na serikali kupoteza asset yake muhimu.

Ukweli huo haufichi hatua ambazo jeshi la polisi wamefanya la kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa wa mauaji hayo.

Lakini, wananchi wanaoishi jirani na kambi ya Lugalo eneo la Kawe wamelipa gharama kubwa kupitia vipigo vikali vilivyotembezwa na wanaodaiwa ni MP kutoka Lugalo. Watu wameumizwa na inahofiwa wengine wamepoteza maisha kupitia tukio hilo

Haiwezekani, jambo kama hili linatokea nchini kwetu na mamlaka zinafumbia macho bila.kuchukua hatua hata ya kukemea vitendo vya wanajeshi kujitwalia sheria mkononi dhidi ya raia. Yapo matukio.kadhaa yanayoshabihiana na unyama wa wanajeshi dhidi ya raia. Tumeshuhudia video zikisambazwa za wanajeshi wetu wanavyowashuhhulikia raia wanaokutwa na mavao yafananayo.na jeshi ambayo mamlaka zetu za customs wametoza kodi na kuruhusu yauzwe madukani. Matukio ni mengi

Waziri wa Ulinzi amekaa kimya
Mkuu wa Majeshi amekaa kimya
Mkuu wa Mkoa amepiga kimya
Kikubwa zaidi Amiri Jeshi ambaye kwa mujibu wa wasaidizi wake yeye ndo kila.kitu ktk kuruhusu na kukataza naye amekaa kimya.

Tunajua kwamba, jambo hili ni chafu na dosari mbaya sana dhidi ya utawala bora. Lakini maslahi na usalama wa wananchi ni kipaumbele kikuu kikatiba na kisheria. Jeshi letu linasemwa ni la Wananchi. Je wahanga wa Kawe siyo raia wa nchi hii? Je wamevamia mipaka ya nchi hadi washughulikiwe na wanajeshi kiasi kile? Jeshi lisiige tabia ya vibaka wa panyaroad ambao wakipoteza memba wao kwenye tukio hupanga kisasi dhudi ya raia wema na hilo huanzia makabutini....

Tunayo Tume ya Haki za Binadamu ambayo inayo mamlaka ya kufuatilia ama kuchunguza matukio ya uvunjivu wa Haki za Binadamu nchini. Tunalo Bunge la Tanzania ambalo lina mamlaka ya kuunda tume kuchunguza matukio yenye athari kwa jamii. Tukio la wananchu wa Kawe kupigwa na wengine kudhurika maisha, ni baya sana.

PENDEKEZO.

  1. Tume ya Haki za Binadamu ichunguze ba kutoa ripoti kwa umma juu ya tukio la wanajeshi kuvamia raia majumbani na kuwapiga limejiri au hoax
  2. Tume ya Haki za Binadamu ituambie kiwango cha athari zilizojiri kwa raia na jeshi
  3. Mbunge wa Kawe apeleke Hoja Binafsi Bungeni ili Kamati ya Bunge iundwe kuchunguza tukio hili. Hoja ya Mbunge ihoji mamlaka ya Waziri wa Ulinzi ktk kusimamia nidhamu ya vikosi vyetu
  4. Ofisi ya Rais ya Maadili ya Viongozi ichunguze mwenendo wa viongozi wa kambi ya Lugalo kuhusu tukio hili na namna walivyoshiriki ama kudhibiti tukio la kupigwa kwa wananchi.
Nchi inayofuata utawala wa sheria, haifumbii macho mwenendo wa watumishi wake wanaojitwalia sheria mkononi
the same thing imetokea Ghana juzi, nao wapo kwenye mjadala kama huuhuu.
 
the same thing imetokea Ghana juzi, nao wapo kwenye mjadala kama huuhuu.
Jeshi linapokosa nidhamu ba kushambulia raia ni dalili ya uasi.

Wanaodhani kukaa kimya ndilo jibu, watakuja kupiga yowe too late watakapogeukiwa wao.

Mark my words, jeshi linapokosa nidhamu ni hatari kwa usalama wa taifa
 
Ukute wameanza chokochoko Ili mama awafokee wampindue,😁😁😁😁Si unajua mpenzi hakuachi ghafla anakutafutia visa kwanza
 
Hoja ipelekwe kimataifa yaani ICJ
Labda ipelekwe ICJ, lakini bunge hili halina uwezo huo. Ifahamike bunge hili lilipatikana kwa kupora uchaguzi wa 2020. Tunaposema viongozi wapatikane kwa uchaguzi halali ni pamoja na kuweza kuwa na nguvu ya kuhoji mambo kama haya. Hili bunge linajua fika iwapo litathubutu kuhoji jambo hilo, jeshi linaweza kuhoji uadilifu wao Hadi wahoji mambo hayo. Na zaidi ya 90% ccm inategemea hisani ya jeshi kubaki madarakani kwa shuruti.
 
Labda ipelekwe ICJ, lakini bunge hili halina uwezo huo. Ifahamike bunge hili lilipatikana kwa kupora uchaguzi wa 2020. Tunaposema viongozi wapatikane kwa uchaguzi halali ni pamoja na kuweza kuwa na nguvu ya kuhoji mambo kama haya. Hili bunge linajua fika iwapo litathubutu kuhoji jambo hilo, jeshi linaweza kuhoji uadilifu wao Hadi wahoji mambo hayo. Na zaidi ya 90% ccm inategemea hisani ya jeshi kubaki madarakani kwa shuruti.
Naunga mkono hoja
 
Walichofanya wameingilia mamlaka ya polisi wakajikuta wamefanya ndivyo sivyo, wanajeshi watambue wanapofanya fujo uraiani kama hilo la kupiga raia wasio na hatia wanavunja sheria za nchi na hivyo polisi wana mamlaka ya kuwakamata na kuwafungulia mashataka.

Kuna wanajeshi nchini Afrika kusini walifanya maandamano nafikri walikuwa na madai, polisi ndo walienda kuzima maandamano yao na kuwakamata kwa sababu ndani ya nchi polisi ndo wenye mamlaka ya kusimamia sheria.​
 
Back
Top Bottom