Ukiachwa achika

Ukiachwa achika

Siku hizi tunawaachia wake zetu nyumba, hatutaki matatizo. Tena tunakuambia kabisa, kaa lea watoto hapa. Sisi ndio tunaondoka na kuanza life somwhr else.
Sikusema I do kwa nyumba, ukute watoto wamekua, mume anaondoka. Vyote maumivu.
 
Sikusema I do kwa nyumba, ukute watoto wamekua, mume anaondoka. Vyote maumivu.
At least unabakinna nyumba, huanzi from zero again. Imagine mtu anafukuzwa kwa nyumba, hana hata senti ya kuanza kupanga, maisha yanakuwa zaidi ya 'jiwe'!
 
At least unabakinna nyumba, huanzi from zero again. Imagine mtu anafukuzwa kwa nyumba, hana hata senti ya kuanza kupanga, maisha yanakuwa zaidi ya 'jiwe'!
Tena unarudishwa kwenu Ugweno alikokuchukua miaka 20 iliyopita.
 
Tena unarudishwa kwenu Ugweno alikokuchukua miaka 20 iliyopita.
Teh teh, majanga juu ya majanga!!

Ila so long kuna ku-fall in love, basi tujue kuna ku-fall out of love. Tujiandae kwa lolote, mapenzi/upendo hauna garantii.
 
Nimegundua kwa hii dunia yetu ya sasa idadi ya watu ambao hawajatendwa ni negligible.
 
Na hapo ndipo wengi wanaposhindwa kukubaliana na ukweli......hivi mtu anakwambia yuko busy miezi mitatu bado una imani tu!!!!!? Me na gubu langu ukinisumbua mwezi tu naachana na wewe.......mtu ambae sijui uchungu wako wala kitovu chako kilikotupwa sikujui ya nini nianze kuumia kisa wewe......ukiachwa achika

Sent using Jamii Forums mobile app
The fact is, utaumia tu zeshchriss. Uzuri ni kwamba mapenzi hayana bingwa...
 
Someone Like You"

I heard that you're settled down
That you found a girl and you're married now.
I heard that your dreams came true.
Guess she gave you things I didn't give to you.

Old friend, why are you so shy?
Ain't like you to hold back or hide from the light.

I hate to turn up out of the blue uninvited
But I couldn't stay away, I couldn't fight it.
I had hoped you'd see my face and that you'd be reminded
That for me it isn't over.

Never mind, I'll find someone like you
I wish nothing but the best for you too
Don't forget me, I beg
I'll remember you said,
"Sometimes it lasts in love but sometimes it hurts instead,
Sometimes it lasts in love but sometimes it hurts instead"

You know how the time flies
Only yesterday was the time of our lives
We were born and raised
In a summer haze
Bound by the surprise of our glory days

I hate to turn up out of the blue uninvited
But I couldn't stay away, I couldn't fight it.
I'd hoped you'd see my face and that you'd be reminded
That for me it isn't over.

Never mind, I'll find someone like you
I wish nothing but the best for you too
Don't forget me, I beg
I'll remember you said,
"Sometimes it lasts in love but sometimes it hurts instead."


*******

Hako kawimbo kanakufaa wakati huu.



Sent using Jamii Forums mobile app

🙏🏾
 
na vipi amekukubalia upo naye na unakula mzigo kama kawaida,ila unakuta ni mtu ambaye anaiumiza akili yako hatulii tu nawewe pekee,na baadaye unagundua ana wapenzi wengine mpo kama wanne hivi. je ,hapo ni patience au wastage of time??
Wastage of resources not only time.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom