sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Anadai sababu ya kabila langu. Tofauti.
Yaani kabila langu hawalitaki ndio maana eti wamenikataa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ngumu kuachwa hasa na mtu unaempenda. Wengine wanakuambia tumefika mwisho wa baraka, gari yetu ya mapenzi haiendelei na safari. Kuna wanaotoa visingizio, unakuta miezi mitatu hamjaonana wala kuwa na maongezi ya kueleweka. Kila siku atadai yuko busy. Mmh huu u busy mbona unapata muda wa kuoga kula na kulala kama mimi bado ni wa muhimu kwako.
Awe mwanamke au mwanaume. Kama amefikia hatua hiyo, ingawa ni ngumu lakini kubali matokeo. Kumbuka yeye ni mtu mzima ana sababu za kuchukua hatua hiyo.
Sasa kuna wale wa binafsi wanaotishia kunywa sumu, kulia, kujiumiza. Mpenzi wewe unafarijika kuwa nae lakini ukumbuke kuwa uwepo wako kwake si faraja tena kwake.
Kwa sababu kabila tofauti au hawajapenda kabila lako? Kuna watu bado wanataka kuoana wao kwa wao tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
inategemea mnaachana ktk hali gani? ya ugomvi hasira na visasi au kwa kuridhiana kwa amani tu...Ni ngumu kuachwa hasa na mtu unaempenda. Wengine wanakuambia tumefika mwisho wa baraka, gari yetu ya mapenzi haiendelei na safari. Kuna wanaotoa visingizio, unakuta miezi mitatu hamjaonana wala kuwa na maongezi ya kueleweka. Kila siku atadai yuko busy. Mmh huu u busy mbona unapata muda wa kuoga kula na kulala kama mimi bado ni wa muhimu kwako.
Awe mwanamke au mwanaume. Kama amefikia hatua hiyo, ingawa ni ngumu lakini kubali matokeo. Kumbuka yeye ni mtu mzima ana sababu za kuchukua hatua hiyo.
Sasa kuna wale wa binafsi wanaotishia kunywa sumu, kulia, kujiumiza. Mpenzi wewe unafarijika kuwa nae lakini ukumbuke kuwa uwepo wako kwake si faraja tena kwake.
Kwa hiyo ni kwamba hawataki mtu wa kabila lako, nikajua hawataki binti yao aolewe na kabila tofauti na la kwao. Najaribu kuguess we kabila gani hahaHapo ndio sijui mama. Binafsi hawajawahi kuniona. Ila aliwaambia kuhusu mimi. Anadai kuwa wamechachamaa kuwa hawataki aolewe na mtu wa kabila langu.
Nakumbuka nili fight sana.. hata kufikia hatua ya kupeleka wazazi wangu kwao.. lakin akagoma kabisa.
Nikaona napotezw muda tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
kivipi mkuu??fafanuathere is difference btn be patient and wasting time.
God dam you boy. Hii track inanikumbushaga machungu. My soulmate aliniachaga bila sababu out of no where akaenda olewa na jamaa wa mtaani kwetu.
Huku nikiwa natazama kwa macho yangu. Maumiv niliyapitia yalikuwa makali kias kwamba nilishindwa hata kuongea.
Nilimiamini sana, hata yeye the same. Ila mpaka leo hana jib why alinifanya vile.
But then after that nilikuwa mtu different sana. sometimes nahis part of me ilikufa na yeye.. i am not the same again. I am something else.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimevimbiwa kisusio asee
kivipi mkuu??fafanuathere is difference btn be patient and wasting time.
OhoooooooooooooNever mind, I'll find someone like you
I wish nothing but the best for you too
Don't forget me, I beg
I'll remember you said,
"Sometimes it lasts in love but sometimes it hurts instead."
Wataalamu wa Mambo wanasemaga eti:Binafsi napenda wanawake design yako ambao wako wazi. Yaan instead of kumpotezea mtu. Mwambie ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha taifa kubwa sio. binafsi ni mix ya makabila.mawili. ila si unajua la.baba ndio linahesabika.Kwa hiyo ni kwamba hawataki mtu wa kabila lako, nikajua hawataki binti yao aolewe na kabila tofauti na la kwao. Najaribu kuguess we kabila gani haha
Sent using Jamii Forums mobile app