Ukiachwa achika

Ukiachwa achika

Yah....ila wapo pia wanaotembea long mileages hadi waje kuwa sawa. Hii yote inadepend na mahusiano yalivyokuwa na umri wa mahusiano husika. So ni across issue....

Sent using Jamii Forums mobile app
True kama uliwekeza social, physical and psychology energy utapata tabu sana.

Fikiria ni mume uliejenga nae nyumba na sasa inabidi mgawane mali.
 
Nipo kwenye hiyo situation asee..nimemchoka kumwambia ukweli namuonea huruma..
Anapata tabu huyu mwanamke niambieni nimwambie nini aelewe pasipo kuumia
 
Nipo kwenye hiyo situation asee..nimemchoka kumwambia ukweli namuonea huruma..
Anapata tabu huyu mwanamke niambieni nimwambie nini aelewe pasipo kuumia
Maumivu lazima yawepo ila ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni.
 
Nipo kwenye hiyo situation asee..nimemchoka kumwambia ukweli namuonea huruma..
Anapata tabu huyu mwanamke niambieni nimwambie nini aelewe pasipo kuumia
Muache taratibu na utengeneze mazingira ya yeye kukuchoka mpaka ifikie hatua atamke yeye kuwa muachane.

.
 
Tunacho kosea sisi ni pale tunavyo jiaminisha hao max lover wetu kuwa walikuwa bora hakuna kama yeye na hata tokea, kuachwa na mtu ni njia ya kukusogeza kwa right person hata kama huyo yupoje, Thamani yako ipo katika kuchukua hatua ya kusonga mbele na kujikubali baada ya kupata matokeo ya NDIVYO SIVYO.
I love you for this
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom