Ukiachwa achika

Ukiachwa achika

Ni ngumu kuachwa hasa na mtu unaempenda. Wengine wanakuambia tumefika mwisho wa baraka, gari yetu ya mapenzi haiendelei na safari. Kuna wanaotoa visingizio, unakuta miezi mitatu hamjaonana wala kuwa na maongezi ya kueleweka. Kila siku atadai yuko busy. Mmh huu u busy mbona unapata muda wa kuoga kula na kulala kama mimi bado ni wa muhimu kwako.

Awe mwanamke au mwanaume. Kama amefikia hatua hiyo, ingawa ni ngumu lakini kubali matokeo. Kumbuka yeye ni mtu mzima ana sababu za kuchukua hatua hiyo.

Sasa kuna wale wa binafsi wanaotishia kunywa sumu, kulia, kujiumiza. Mpenzi wewe unafarijika kuwa nae lakini ukumbuke kuwa uwepo wako kwake si faraja tena kwake.
Weweeeeh! acha hiyo.
 
Inauma sana..
Ni heri akufuate live aeleze msimamo wako kuliko kukuacha kwa style hiyo
Unabaki kwenye sintofahamu, unaweweseka, maumivu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefanyiwa hiyo kitu last year mwishoni. Dada kaanza kuleta sababu hoo niko busy sijui nn.. nikambana akadai ana kifua kikuuu.. nikambana akasema masomo.. nikambana tena akasema wazaz hawanitaki. Nikaona huyu hamna lolote.. nikafuta kila kitu.

Ni bora ukamwambia mtu ukweli kuwa flani sikutaki. Mambo ya kumkaushia mtu na visingizio juu ndio yanaumiza moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi napenda wanawake design yako ambao wako wazi. Yaan instead of kumpotezea mtu. Mwambie ukweli
Hayo yalikua yananipa shida hapo zamani.. Siku hizi nkiona hivo namtafuta nimuulize kulikoni.
Kama hana jibu la maana tayari naziamini hisia zangu then anakula block maisha yanaendelea
Imagine nakutana na wengi wanaohitaj kuwa nami nawakataa sababu ya huyo boya mmoja..
Nimekomaa kwakweli.. Sjpelekeshwi zama hizi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazazi wake hawakutaki sababu ya nini
Nimefanyiwa hiyo kitu last year mwishoni. Dada kaanza kuleta sababu hoo niko busy sijui nn.. nikambana akadai ana kifua kikuuu.. nikambana akasema masomo.. nikambana tena akasema wazaz hawanitaki. Nikaona huyu hamna lolote.. nikafuta kila kitu.

Ni bora ukamwambia mtu ukweli kuwa flani sikutaki. Mambo ya kumkaushia mtu na visingizio juu ndio yanaumiza moyo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nwenyewe yalinipata
Nilipatwa na msongo wa maqazo usio na mfano. Nkimtafuta harespond
Unaina kabisa last seen yupo online.
Ila kuna rafiki ake anawasiliana nae.. Kaacha simu ghafla naona jina lake juu ya kioo anampigia
Jwakweli nimejifunza kutkpenda kiboya.pia kuachia kitu kiende kama si riziki yako tena
Hawa hiwa wanaacha ila wanakosa sababu resonable ya kjkwambia ndo mana wanachagua kupotezea
Nimefanyiwa hiyo kitu last year mwishoni. Dada kaanza kuleta sababu hoo niko busy sijui nn.. nikambana akadai ana kifua kikuuu.. nikambana akasema masomo.. nikambana tena akasema wazaz hawanitaki. Nikaona huyu hamna lolote.. nikafuta kila kitu.

Ni bora ukamwambia mtu ukweli kuwa flani sikutaki. Mambo ya kumkaushia mtu na visingizio juu ndio yanaumiza moyo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ngumu kukubali lakin inategemeana na uzoefu wa mtu. Binafsi mm hunichukua wiki tu ku grieve after that nafutilia mbali naendelea na maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi niko hivyo lakini kwa sasa niko kwenye zile siku tatu za deep wound. Baada ya hapo tatizo akitaka tuongee moyo wangu utakuwa unajihami kwa maumivu
 
End of the road~Boyz 2 men


Intro :Mike]
Girl, you know we belong together
I have no time for you to be playing
With my heart like this
You'll be mine forever baby, you just see

[Verse 1: Nathan]
We belong together
And you know that I'm right
Why do you play with my heart
Why do you play with my mind?
Said we'd be forever
Said it'd never die
How could you love me and leave me
And never say good-bye?

[Pre-Chorus: Wanya]
When I can't sleep at night without holding you tight
Girl, each time I try I just break down and cry
Pain in my head oh I'd rather be dead
Spinnin' around and around

[Chorus: All]
Although we've come to the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural, you belong to me, I belong to you
Come to the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural, you belong to me, I belong to you

[Verse 2: Shawn]
Girl, I know you really love me
You just don't realize
You've never been there before
It's only your first time
Maybe I'll forgive you, hmm
Maybe you'll try
We should be happy together
Forever, you and I

[Pre-Chorus: Wanya]
Can you love me again like you loved me before
This time I want you to love me much more
This time instead just come to my bed
And baby just don't let me, don't let me down

[Chorus: All]
Although we've come to the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural, you belong to me, I belong to you
Come to the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural, you belong to me, I belong to you

[Interlude: Mike]
Girl I'm here for you
All those times of night when you just hurt me
And just ran out with that other fella
Baby, I knew about it, I just didn't care
You just don't understand how much I love you do you?
I'm here for you
I'm not out to go out and cheat on you all night
Just like you did baby but that's all right
Hey, I love you anyway
And I'm still gonna be here for you 'till my dying day baby
Right now, I'm just in so much pain baby
’Cause you just won't come back to me
Will you? Just come back to me

[Pre-Chorus: Mike & (All)]
(Lonely)
Yes baby my heart is lonely
(Lonely)
My heart hurts baby
(Lonely)
Yes I feel pain too
Baby please

[Bridge: Wanya]
This time instead just come to my bed
And baby just don't let me go

[Chorus: All]
Although we've come to the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural, you belong to me, I belong to you
Come to the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural, you belong to me, I belong to you
Although we've come to the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural, you belong to me, I belong to you
Come to the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural, you belong to me, I belong to you
 
Ni ngumu kuachwa hasa na mtu unaempenda. Wengine wanakuambia tumefika mwisho wa baraka, gari yetu ya mapenzi haiendelei na safari. Kuna wanaotoa visingizio, unakuta miezi mitatu hamjaonana wala kuwa na maongezi ya kueleweka. Kila siku atadai yuko busy. Mmh huu u busy mbona unapata muda wa kuoga kula na kulala kama mimi bado ni wa muhimu kwako.

Awe mwanamke au mwanaume. Kama amefikia hatua hiyo, ingawa ni ngumu lakini kubali matokeo. Kumbuka yeye ni mtu mzima ana sababu za kuchukua hatua hiyo.

Sasa kuna wale wa binafsi wanaotishia kunywa sumu, kulia, kujiumiza. Mpenzi wewe unafarijika kuwa nae lakini ukumbuke kuwa uwepo wako kwake si faraja tena kwake.
Tatizo moyo moyo bhna ndio mtihani.
Unawezajifosi sana kuukubali ukweli kutokana na mambo yatakavyo badilika lkn moyo ukagoma kbs na kila kitu kikaenda hovyo hovyo mwisho ndo hapo kwenye maamuzi ya bora nife kulia na nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo moyo moyo bhna ndio mtihani.
Unawezajifosi sana kuukubali ukweli kutokana na mambo yatakavyo badilika lkn moyo ukagoma kbs na kila kitu kikaenda hovyo hovyo mwisho ndo hapo kwenye maamuzi ya bora nife kulia na nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa ninajiambia hakuna haja ya kutumia nguvu. Angenipenda angekuwa ananitengenezea chai sasa hivi si kumuuliza nitakuona lini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom