Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Pole bossHahaha taifa kubwa sio. binafsi ni mix ya makabila.mawili. ila si unajua la.baba ndio linahesabika.
Sasa wazaz hawataki. Nikaona isiwe ishu maana dem mwenyewe hakuonyesha kupambania hilo suala alikaa kimya tu.
Haikuwa rizki yangu namshukuru Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
.