General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,178
hilo mkuu hakika hata kipofu analiona.
its TOTALY WASTAGE OF TIME.
sio tu time pamoja na resources
kiukweli bora umeogopa Mimi ni kama mjeshi mikono juu mwendo wa mateka ukizingua unawekwa benchi siwezi kuvumilia shida zisizo na sababuSasa jamani ndoa zitadumu kwelu?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kiukweli bora umeopa Mimi ni kama mjeshi mikono juu mwendo wa mateka ukizingua unawekwa benchi siwezi kuvumilia shida zisizo na sababu
Sent using Jamii Forums mobile app
hilo mkuu hakika hata kipofu analiona.
its TOTALY WASTAGE OF TIME.
sio tu time pamoja na resources
Zitadumu sana Mimi ni mpole na mvumilivu panapovumilika vinginevyo ni zaidi ya mtu mbaya
Mkuu kulikoni? Umeacha au umeachwa?I need a time to heal for now
Ww unakata tamaa mapema,Zitadumu sana Mimi ni mpole na mvumilivu panapovumilika vinginevyo ni zaidi ya mtu mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Shemeji....I need a time to heal for now
mkuu naona kukaa pembeni you are still close to her, unaonaje ukiondoka kabisaaaaa..😀😀😀hahahahahhaaa.....nimekusoma kaka. ngoja nizidi kukazia maamuzi yangu,maana nilihisi labda nakosea kukaa pembeni..
Na kweli..ndio maana nikasema penye upendo wa kweli hakuna mambo kama hayo,.hutokea kwa dharula...japo kuna wengine hujifanyisha busy ili usimuone wa kitaa😅Ukiona hivyo jua hakupendi au si mpenzi wa kupigapiga simu....
Mimi nina ugonjwa wa kutokupenda kutafuta watu au kupiga simu. Na sipendi kuongea na simu zaidi ya dak 5, labda iwe ishu ya ela.
Na hapa ndipo wengi niliokuwa nao walishindwa kunielewa na kuona siwajali.
Wkt mwingine sio kwamba ni ubize, bali kutopenda kupigapiga simu au kupokea simu.
Ninaweza kujiunga na kifurushi cha dak za mwezi mzima lkn nikatumia 20% tu.
Muwe mnaelewa na aina ya mtu pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina tabia ya kumsoma mtu ....anapenda nini na nini hapendi...... Sasa nikijua umeibua mambo mapya tofauti na ninayoyajua sikuwezi
Pole bibi etu,.hilo nalo litapita...ni muda tuu.I need a time to heal for now
Hapo vzr,Nina tabia ya kumsoma mtu ....anapenda nini na nini hapendi...... Sasa nikijua umeibua mambo mapya tofauti na ninayoyajua sikuwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hataki kusema lililomfika rohoniPole sana Shemeji....
Kuna maisha zaidi ya mahusiano....
Lkn, unaona tatizo lipo kwake tu?
Kwann isiwe ww?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mambo yapo,Na kweli..ndio maana nikasema penye upendo wa kweli hakuna mambo kama hayo,.hutokea kwa dharula...japo kuna wengine hujifanyisha busy ili usimuone wa kitaa![]()
Malizaneni bhana...Tatizo hataki kusema lililomfika rohoni
Umezidi kwakweliii khaaa mpaka wazazi!!!?Hayo mambo yapo,
Mimi hata wazazi wangu wenyewe wananijua, na wenyewe ndo hupiga simu sio mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app